Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Manusura wa zilzala ya Uturuki na Syria: Tulidhani Siku ya Kiyama imewadia

    Manusura wa zilzala ya Uturuki na Syria: Tulidhani Siku ya Kiyama imewadia

    Feb 07, 2023 08:35

    Manusura wa mitetemeko mikubwa ya ardhi ilioyakumba baadhi ya meneo ya Uturuki na Syria wametaja hali ngumu na wahka uliowapa wakati wa mitetemeko hiyo wakisema kuwa hawajawahi kukutana na hali kama hiyo licha ya kushuhidia mitetemeko kadhaa ya ardhi katika miaka ya nyuma.

  • Iran yatoa mkono wa pole kufuatia matetemeko ya ardhi yaliyoua maelfu ya watu Uturuki, Syria

    Iran yatoa mkono wa pole kufuatia matetemeko ya ardhi yaliyoua maelfu ya watu Uturuki, Syria

    Feb 06, 2023 23:34

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kwa serikali na wananchi wa Uturuki na Syria, kufuatia mitetemeko miwili mikubwa ya ardhi iliyoyakumba maeneo ya kusini mashariki mwa Uturuki na kaskazini mwa Syria.

  • Mamia wapoteza maisha katika mtetemeko mkubwa wa ardhi Uturuki, Syria + Video

    Mamia wapoteza maisha katika mtetemeko mkubwa wa ardhi Uturuki, Syria + Video

    Feb 06, 2023 04:36

    Mtemtemeko mkubwa wa ardhi umetikisa maeneo ya kusini mashariki mwa Uturuki na kaskazini mwa Syria na kuua watu wasiopungua 400 huku idadi ya waliopoteza maisha ikitazamiwa kuongezeka.

  • Amir-Abdollahian: Uhusiano wa Iran na Uturuki upo katika mkondo sahihi

    Amir-Abdollahian: Uhusiano wa Iran na Uturuki upo katika mkondo sahihi

    Jan 17, 2023 09:45

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema uhusiano wa pande mbili wa Jamhuri ya Kiislamu na Uturuki upo katika mkondo sahihi.

  • Rais wa Uturuki aikosoa Marekani kwa kuunga mkono ugaidi Syria

    Rais wa Uturuki aikosoa Marekani kwa kuunga mkono ugaidi Syria

    Dec 13, 2022 03:37

    Rais Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki amekosoa hatua ya Marekani ya kuyapa makundi ya kigaidi yaliyopo kaskazini mwa Syria msaada wa fedha na silaha.

  • Erdogan anawania uchaguzi wa rais kwa mara ya mwisho

    Erdogan anawania uchaguzi wa rais kwa mara ya mwisho

    Dec 11, 2022 04:25

    Rais Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki amesema kuwa kwa mara ya mwisho atagombea kiti cha rais katika uchaguzi wa mwaka kesho 2023.

  • Bunge la Waarabu lalaani hatua ya Uturuki ya kuwakatia maji raia milioni moja wa Syria

    Bunge la Waarabu lalaani hatua ya Uturuki ya kuwakatia maji raia milioni moja wa Syria

    Nov 22, 2022 07:55

    Muungano wa Mabunge ya Nchi za Kiarabu umelaani hatua ya Uturuki ya kuwakatia maji raia zaidi ya milioni moja wa Syria katika mkoa wa al-Hasakah.

  • Lavrov asisitiza kushirikiana na Iran, China, Uturuki na India

    Lavrov asisitiza kushirikiana na Iran, China, Uturuki na India

    Nov 18, 2022 23:00

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Ijumaa alisisitiza kuwa kuna umuhimu Moscow kushirikiana na Tehran, Beijing, Ankara, New Delhi na nchi nyingine za pambizoni mwa bahari ya Kaspi.

  • Uturuki na Libya zasaini mikataba miwili ya ushirikiano wa kijeshi

    Uturuki na Libya zasaini mikataba miwili ya ushirikiano wa kijeshi

    Oct 26, 2022 09:27

    Maafisa wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya na wa Uturuki wametia saini mikataba miwili ya ushirikiano wa kijeshi mjini Istanbul.

  • Iran: Ulimwengu wa Kiislamu unakabiliwa na ugaidi wa vyombo vya habari

    Iran: Ulimwengu wa Kiislamu unakabiliwa na ugaidi wa vyombo vya habari

    Oct 23, 2022 09:20

    Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran amesema, vyombo vya habari vyenye uadui vinapindua ukweli na kuandaa habari bandia ili kujaribu kutoa taswira isiyo sahihi kuhusu Iran ya Kiislamu na Ulimwengu wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS