Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Mgogoro wa chakula ulimwenguni  kupungua baada ya Russia, Ukraine kusaini mapatano ya nafaka

    Mgogoro wa chakula ulimwenguni kupungua baada ya Russia, Ukraine kusaini mapatano ya nafaka

    Jul 23, 2022 02:23

    Russia na Ukraine zimesaini mapatano pamoja na Umoja wa Mataifa na Uturuki kuhusu kuanza tena usafirishaji wa nafaka huku kukiwa na matumaini kuwa makubaliano hayo yatapunguza shida ya chakula ulimwenguni.

  • Uturuki yaendelea kukiuka mamlaka ya kujitawala Iraq

    Uturuki yaendelea kukiuka mamlaka ya kujitawala Iraq

    Jul 22, 2022 23:49

    Uturuki kwa mara nyingine imekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq kwa kuvamia mikoa ya kaskazini mwa nchi hiyo. Jeshi la Uturuki lilifanya shambulio katika kituo cha utalii katika mkoa wa Zakho ulioko katika eneo la Kurdistan ya Iraq Jumatano, na kuwauwa wanawake na watoto wasiopungua 11.

  • Mustakabali mwema katika Muungano wa China, Russia na Iran

    Mustakabali mwema katika Muungano wa China, Russia na Iran

    Jul 21, 2022 03:10

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Russia amesema China, Russia na Iran zitaunda muungano mkubwa katika mustakabali wa dunia.

  • Iran: Tunapinga hatua yoyote ya kijeshi inayochukuliwa kwa kisingizio chochote kile

    Iran: Tunapinga hatua yoyote ya kijeshi inayochukuliwa kwa kisingizio chochote kile

    Jul 02, 2022 07:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "sisi tunauelewa wasiwasi ilionao nchi jirani yetu Uturuki na tunapinga vikali hatua yoyote ya kijeshi inayochukuliwa kwa kisingizio chochote kile".

  • Uturuki yaafiki Sweden na Finland zijiunge na NATO na uwezekano wa vita vya dunia

    Uturuki yaafiki Sweden na Finland zijiunge na NATO na uwezekano wa vita vya dunia

    Jun 30, 2022 20:32

    Hatimaye, baada ya mazungumzo mengi, kumetiwa saini mapatano ya pande tatu baina ya Ankara, Stockholm na Helsinki kuhusu Finland na Sweden kujiounga na NATO. Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amethiitisha kuwa Uturuki imeafiki Sweden na Norway zijiunge na NATO.

  • Iran: Utawala wa Kizayuni ndio adui namba moja wa umma wa Kiislamu

    Iran: Utawala wa Kizayuni ndio adui namba moja wa umma wa Kiislamu

    Jun 27, 2022 22:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni ndio adui nambari moja wa ulimwengu wa Kiislamu.

  • Safari ya Uturuki; Urafiki wa kimbinu kati ya Erdogan na Bin Salman

    Safari ya Uturuki; Urafiki wa kimbinu kati ya Erdogan na Bin Salman

    Jun 24, 2022 22:34

    Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman amefanya safari mjini Ankara na kukaribishwa rasmi na Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan.

  • Khatibzadeh: Uturuki isiyanyamazie madai ya kufarakanisha ya Wazayuni

    Khatibzadeh: Uturuki isiyanyamazie madai ya kufarakanisha ya Wazayuni

    Jun 24, 2022 03:37

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Iran amesema, inatarajiwa kuwa Uturuki haitanyamazia kimya madai ya kufarakanisha yaliyotolewa na wazayuni.

  • Uturuki kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika masuala ya usalama

    Uturuki kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika masuala ya usalama

    Jun 24, 2022 03:17

    Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema, baada ya kuongeza kiwango cha uwakilishi wa kidiplomasia, nchi yake itaanzisha ushirikiano wa kiusalama na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Malengo tofauti ya safari ya kieneo ya Bin Salman

    Malengo tofauti ya safari ya kieneo ya Bin Salman

    Jun 22, 2022 05:15

    Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ameanza safari yake ya kieneo kwa kufanya ziara huko Misri na kuzitembelea pia nchi mbili za Jordan na Uturuki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS