-
Tuhuma mpya za Uturuki dhidi ya Imarati
Feb 17, 2020 22:08Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki Suleyman Soylu ameituhumu serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati au UAE) kuwa inahusika katika kuchochea fitina ndani ya nchi yake.
-
Viongozi wa Uturuki waendelea kutoa kauli za vitisho dhidi ya Syria kuhusiana na Idlib
Feb 15, 2020 10:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ametoa indhari ya kitakachotokea endapo mazungumzo ya nchi hiyo na Russia kuhusu kadhia ya Idlib hayatokuwa na tija.
-
Wizara ya Ulinzi ya Russia yatoa jibu kwa chokochoko za Uturuki ndani ya ardhi ya Syria
Feb 13, 2020 03:54Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa, kutoheshimu Uturuki ahadi zake kutotekeleza majukumu yake ndiko kulikosababisha kuzuka mgogoro huko Idlib nchini Syria.
-
Uturuki yaendelea kujizatiti kijeshi kinyume cha sheria kaskazini mwa Syria
Feb 09, 2020 23:38Jeshi la Uturuki limeendelea kujizatiti kaskazini mwa Syria baada ya kuingia msafara mpya wa kijeshi wa nchi hiyo katika mkoa wa Idlib.
-
Mapigano yashtadi kati ya majeshi ya Uturuki na Syria, askari kadhaa wa pande mbili wauawa
Feb 04, 2020 04:10Askari kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano kati ya majeshi ya Syria na Uturuki yaliyotokea kwenye eneo la kaskazini ya ardhi ya Syria.
-
Russia yatiwa wasi wasi na mashambulizi ya magaidi katika mkoa wa Idlib, Syria
Feb 04, 2020 01:15Serikali ya Russia imetoa radiamali yake kufuatia baadhi ya ripoti zinazohusu kushambuliwa askari wa Uturuki katika operesheni zinazofanywa na askari wa Syria.
-
Tisho la Erdoğan kuishambulia kijeshi Syria
Feb 02, 2020 22:59Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametishia kuishambulia kijeshi Syria.
-
Ripoti ya Independent: Kengele za vita zasikika zaidi katika milango ya Libya
Jan 29, 2020 11:35Ripoti iliyotolewa na gazeti la Independent la Uingereza imefichua kuwa, mapatano tete ya kusitisha vita yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya madola makubwa mjini Berlin huko Ujerumani yanaelekea kuporomoka kutokana na mashambulizi ya anga yanayoshuhudiwa sasa nchini Libya na vitisho vinavyoendelea kutolewa na pande hasimu.
-
Mtetemeko mkubwa wa ardhi waua 19 Uturuki, Iran tayari kutuma misaada ya dharura
Jan 25, 2020 01:19Mtetemeko mkubwa wa ardhi umetikisa mkoa wa Elazig mashariki mwa Uturuki na kuua watu wasiopungua 19 na kupelekea wengine wengi kujeruhiwa na idadi kubwa ya nyumba kubomoka.
-
Ankara: Uturuki haitatuma askari wala silaha nchini Libya
Jan 24, 2020 06:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema kwamba kwa mujibu wa mapatano yaliyofikiwa katika mkutano wa Berlin nchini Ujerumani, Uturuki haitatuma tena askari wala silaha huko Libya.