Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki

    Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki

    Dec 20, 2017 12:54

    Serikali ya Uturuki imekasirishwa sana na hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) aliyetuma ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter na kumtuhumu Rais Recep Tayyip Erdogan kuwa ni kutoka kizazi cha Waturuki waliofanya wizi mjini Madina na kukandamiza Waarabu wakati wa utawala wa Uthmaniyyah (Ottoman Empire).

  • Uturuki: Baadhi ya nchi za Kiarabu zinaiogopa mno Marekani

    Uturuki: Baadhi ya nchi za Kiarabu zinaiogopa mno Marekani

    Dec 13, 2017 00:23

    Uturuki imekosoa kile ilichokieleza kama hatua na msimamo dhaifu wa nchi za Kiarabu kuhusiana na uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuitambua Baitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Rais Rouhani kushiriki mkutano wa dharura wa OIC, Quds ndiyo ajenda kuu

    Rais Rouhani kushiriki mkutano wa dharura wa OIC, Quds ndiyo ajenda kuu

    Dec 12, 2017 04:49

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo anaelekea Uturuki kwa shabaha ya kushiriki katika kikao cha dharura cha viongozi wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) nchini Uturuki.

  • Lawama kali za Erdogan kwa uingiliaji wa Marekani; asema Marekani ndiyo iliyoiunda na kuipa silaha ISIS

    Lawama kali za Erdogan kwa uingiliaji wa Marekani; asema Marekani ndiyo iliyoiunda na kuipa silaha ISIS

    Nov 20, 2017 02:34

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amelalamikia vikali uingiliaji wa kijeshi wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati na kuahidi kuwaangamiza magaidi wote wanaotumia eneo la kaskazini mwa Iraq kufanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya nchi yake.

  • Rais Erdoğan aichoma moyo Saudia, asisitiza kuendelea kuiunga mkono Qatar

    Rais Erdoğan aichoma moyo Saudia, asisitiza kuendelea kuiunga mkono Qatar

    Nov 16, 2017 04:39

    Katika kile kinachonekana kuwa ni kuwachoma moyo viongozi wa Saudi Arabia katika mgogogro unaoendelea kati ya nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi, Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesisitizia uungaji mkono wake kwa Qatar.

  • Rais wa Uturuki akosoa kauli ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi kuhusu Uislamu

    Rais wa Uturuki akosoa kauli ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi kuhusu Uislamu

    Nov 12, 2017 04:08

    Katika msururu wa kurushiana maneneo viongozi wa Saudi Arabia na Uturuki, Rais Reccep Tayyip Erdogan wa Uturuki amekosoa vikali matamshi ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia Mohammad Bin Salman kuhusu kile alichodai kuwa ni "Uislamu wa misimamo ya wastani."

  • Ombi la Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kwa Iran na Uturuki

    Ombi la Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kwa Iran na Uturuki

    Oct 08, 2017 09:51

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kupitia taarifa rasmi iliyoiwasilisha kwa balozi za Iran na Uturuki mjini Baghdad, imezitaka nchi hizo mbili sambamba na kufunga vivuko vyote vya eneo la Kurdistan ya Iraq, kusimamisha pia miamala ya mauziano ya mafuta na eneo hilo.

  • Mkakati wa Uturuki wa kutaka kustawisha ushirikiano wa kiulinzi na kiusalama na Iraq

    Mkakati wa Uturuki wa kutaka kustawisha ushirikiano wa kiulinzi na kiusalama na Iraq

    Oct 07, 2017 03:14

    Waziri Mkuu wa Uturuki amesema, kufuatia kura ya maoni iliyofanyika hivi karibuni katika eneo la Kurdistan ya Iraq, nchi yake inataka kuimarisha ushirikiano na serikali kuu ya Iraq katika nyuga za uchumi, ulinzi na usalama.

  • Rais Erdoğan: Hatua ya Barzani ya kuitisha kura ya maoni Kurdistan ilikuwa ya kitoto

    Rais Erdoğan: Hatua ya Barzani ya kuitisha kura ya maoni Kurdistan ilikuwa ya kitoto

    Oct 06, 2017 10:54

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa, mienendo ya Masoud Barzani, kiongozi wa eneo la Kurdistan ya Iraq ya kuitisha kura ya maoni yenye lengo la kutaka kujitenga na serikali kuu ya Baghdad, ilikuwa ya kitoto.

  • Alkhamisi 5 Oktoba, 2017

    Alkhamisi 5 Oktoba, 2017

    Oct 05, 2017 00:44

    Leo ni Alkhamisi tarehe 14 Muharram 1439 Hijria sawa na Oktoba 5, 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS