Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Rouhani: Iran na Uturuki ni nanga ya utulivu katika eneo hili

    Rouhani: Iran na Uturuki ni nanga ya utulivu katika eneo hili

    Oct 04, 2017 12:56

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi mbili za Iran na Uturuki ni rafiki na zenye nguvu katika eneo hili na kwamba Iran na Uturuki ni nanga ya utulivu katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati.

  • Rouhani: Mabadiliko yoyote ya mipaka yanahatarisha usalama na uthabiti M/Kati

    Rouhani: Mabadiliko yoyote ya mipaka yanahatarisha usalama na uthabiti M/Kati

    Oct 03, 2017 04:28

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia udharura wa kuimarishwa serikali kuu za Iraq na Syria na kufafanua kuwa, mabadiliko yoyote ya mipaka ya kijiografia wakati huu yatasababisha ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo lote la Mashariki ya Kati.

  • Wakuu wa Majeshi ya Iran na Uturuki wapinga kujitenga eneo la Kurdistan la Iraq

    Wakuu wa Majeshi ya Iran na Uturuki wapinga kujitenga eneo la Kurdistan la Iraq

    Oct 03, 2017 00:32

    Wakuu wa Majeshi ya Iran na Uturuki wametangaza bayana kupinga kujitenga eneo la Kurdistan la Iraq huku wakibainisha uungaji mkono wao kwa umoja na kulindwa ardhi yote ya Iraq.

  • Uturuki yafungua kituo chake kikubwa cha kijeshi nchini Somalia

    Uturuki yafungua kituo chake kikubwa cha kijeshi nchini Somalia

    Oct 01, 2017 03:13

    Uturuki imefungua kituo chake kikubwa zaidi cha kijeshi barani Afrika ambacho kiko katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Safari ya Rais wa Russia nchini Uturuki; juhudi za kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili

    Safari ya Rais wa Russia nchini Uturuki; juhudi za kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili

    Sep 29, 2017 04:27

    Alkhamisi ya jana tarehe 28 Septemba, Rais Vladimir Putin wa Russia alikutana na kufanya mazungumzo mjini Ankara Uturuki na Rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdoğan, ambapo viongozi hao wawili wamebadilishana mawazo kuhusiana na hali ya mambo katika eneo la Mashariki ya Kati pamoja na uhusiano wa pande mbili.

  • Rais Erdoğan: Kupeperushwa bendera ya Israel Kurdistan, hakutawaokoa watu wake

    Rais Erdoğan: Kupeperushwa bendera ya Israel Kurdistan, hakutawaokoa watu wake

    Sep 27, 2017 01:32

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametoa radiamali kufuatia kupeperushwa bendera ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndani ya eneo la Kurdistan la Iraq lililofanya kura ya maoni Jumatatu iliyopita.

  • Uturuki: Ikiwa Kurdistan itaendelea na kiburi tutaikabili kwa vikwazo na jeshi

    Uturuki: Ikiwa Kurdistan itaendelea na kiburi tutaikabili kwa vikwazo na jeshi

    Sep 25, 2017 11:07

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametoa onyo kali akisema kuwa, ikiwa viongozi wa eneo la Kurdistan wataendelea na kujichukulia maamuzi ya upande mmoja, basi Ankara italazimika kuliwekea vikwazo eneo hilo sambamba na kutekeleza chaguo la kijeshi.

  • Rais Rouhani na Erdogan wamepinga kura ya maoni ya kujitenga Kurdistan, Iraq

    Rais Rouhani na Erdogan wamepinga kura ya maoni ya kujitenga Kurdistan, Iraq

    Sep 25, 2017 03:41

    Marais Hassan Rouhani wa Iran na Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki wamefanya mazungumzo ya simu wakipinga katakata kura ya maoni inayofanyika katika eneo la Kurdistan kwa ajili ya kujitenga eneo hilo na Iraq na kutilia mkazo udharura wa kulindwa umoja wa ardhi yote ya nchi hiyo.

  • Serikali Nigeria yaeleza wasiwasi wake kuhusu silaha za magendo nchini humo

    Serikali Nigeria yaeleza wasiwasi wake kuhusu silaha za magendo nchini humo

    Sep 22, 2017 23:06

    Serikali ya Nigeria imetangaza kwamba, ina wasiwasi kuhusu silaha zinazoingizwa kwa wingi nchini humo kupitia njia za magendo.

  • Marais Rouhani na Erdogan wafanya kikao kabla ya kuanza kongamano la OIC

    Marais Rouhani na Erdogan wafanya kikao kabla ya kuanza kongamano la OIC

    Sep 09, 2017 23:45

    Marais Hassan Rouhani wa Iran na Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki wamekutana na kufanya mazungumzo katika mji mku wa Kazakhstan, Astana, kabla ya kuanza Kongamano la viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC); na wawili hao wametoa mwito wa kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili kati ya Tehran na Ankara.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS