-
Rouhani: Iran na Uturuki ni nanga ya utulivu katika eneo hili
Oct 04, 2017 12:56Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi mbili za Iran na Uturuki ni rafiki na zenye nguvu katika eneo hili na kwamba Iran na Uturuki ni nanga ya utulivu katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati.
-
Rouhani: Mabadiliko yoyote ya mipaka yanahatarisha usalama na uthabiti M/Kati
Oct 03, 2017 04:28Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia udharura wa kuimarishwa serikali kuu za Iraq na Syria na kufafanua kuwa, mabadiliko yoyote ya mipaka ya kijiografia wakati huu yatasababisha ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo lote la Mashariki ya Kati.
-
Wakuu wa Majeshi ya Iran na Uturuki wapinga kujitenga eneo la Kurdistan la Iraq
Oct 03, 2017 00:32Wakuu wa Majeshi ya Iran na Uturuki wametangaza bayana kupinga kujitenga eneo la Kurdistan la Iraq huku wakibainisha uungaji mkono wao kwa umoja na kulindwa ardhi yote ya Iraq.
-
Uturuki yafungua kituo chake kikubwa cha kijeshi nchini Somalia
Oct 01, 2017 03:13Uturuki imefungua kituo chake kikubwa zaidi cha kijeshi barani Afrika ambacho kiko katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Safari ya Rais wa Russia nchini Uturuki; juhudi za kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili
Sep 29, 2017 04:27Alkhamisi ya jana tarehe 28 Septemba, Rais Vladimir Putin wa Russia alikutana na kufanya mazungumzo mjini Ankara Uturuki na Rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdoğan, ambapo viongozi hao wawili wamebadilishana mawazo kuhusiana na hali ya mambo katika eneo la Mashariki ya Kati pamoja na uhusiano wa pande mbili.
-
Rais Erdoğan: Kupeperushwa bendera ya Israel Kurdistan, hakutawaokoa watu wake
Sep 27, 2017 01:32Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametoa radiamali kufuatia kupeperushwa bendera ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndani ya eneo la Kurdistan la Iraq lililofanya kura ya maoni Jumatatu iliyopita.
-
Uturuki: Ikiwa Kurdistan itaendelea na kiburi tutaikabili kwa vikwazo na jeshi
Sep 25, 2017 11:07Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametoa onyo kali akisema kuwa, ikiwa viongozi wa eneo la Kurdistan wataendelea na kujichukulia maamuzi ya upande mmoja, basi Ankara italazimika kuliwekea vikwazo eneo hilo sambamba na kutekeleza chaguo la kijeshi.
-
Rais Rouhani na Erdogan wamepinga kura ya maoni ya kujitenga Kurdistan, Iraq
Sep 25, 2017 03:41Marais Hassan Rouhani wa Iran na Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki wamefanya mazungumzo ya simu wakipinga katakata kura ya maoni inayofanyika katika eneo la Kurdistan kwa ajili ya kujitenga eneo hilo na Iraq na kutilia mkazo udharura wa kulindwa umoja wa ardhi yote ya nchi hiyo.
-
Serikali Nigeria yaeleza wasiwasi wake kuhusu silaha za magendo nchini humo
Sep 22, 2017 23:06Serikali ya Nigeria imetangaza kwamba, ina wasiwasi kuhusu silaha zinazoingizwa kwa wingi nchini humo kupitia njia za magendo.
-
Marais Rouhani na Erdogan wafanya kikao kabla ya kuanza kongamano la OIC
Sep 09, 2017 23:45Marais Hassan Rouhani wa Iran na Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki wamekutana na kufanya mazungumzo katika mji mku wa Kazakhstan, Astana, kabla ya kuanza Kongamano la viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC); na wawili hao wametoa mwito wa kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili kati ya Tehran na Ankara.