-
Erdogan afichua jinsi NATO inavyowasaidia magaidi wa ISIS
Sep 01, 2017 09:35Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amefichua kwamba nchi moja mwanachama wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi NATO ndiye mhusika wakuu wa kuwatumia silaha magaidi wa Daesh yaani ÏSIS.
-
Kuendelea ukosoaji wa wapinzani kuhusiana na siasa za kigeni za serikali ya Uturuki nchini Syria
Aug 26, 2017 02:20Ukosoaji wa wapinzani dhidi ya serikali ya Uturuki kuhusiana na siasa za uingiliaji wa Ankara katika masuala ya ndani ya nchi jirani ungali unaendelea.
-
Israel yapatwa na wasiwasi kwa kupanuka mahusiano ya Iran na Uturuki
Aug 21, 2017 04:00Mchambuzi na mwandishi wa Israel amesema kuwa utawaka Kiizayuni umepatwa na wasiwasi mkubwa kufuatia safari ya Mkuu wa Vikosi vya Jeshi la Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uturuki katika fremu ya kupanua mahusiano ya pande zotei wa nchi hizo mbili.
-
Malengo ya safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani katika nchi za Jordan, Uturuki na Ukraine
Aug 21, 2017 03:44Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis jana Jumapili aliwasili Amman katika awamu ya kwanza ya safari ya kuzitembelea nchi tatu za Jordan, Uturuki an Ukraine.
-
Sababu ya Iran kupinga vikali Kura ya Maoni ya kujitenga Kurdistan ya Iraq
Aug 19, 2017 03:37Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Iran Meja Jenerali Mohammad Baqeri amesema Iran na Uturuki zinaitakidi kuwa kujitenga eneo la Kurdistan na ardhi ya Iraq kunaweza kuwa mwanzo wa machafuko ya muda mrefu na kuwaka moto wa vita nchini Iraq ambao matokeo yake yanaweza kuziathiri Iran na Uturuki.
-
Iran na Uturuki zajadili kuimarisha uhusiano wa kiulinzi
Aug 17, 2017 02:15Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Uturuki mjini Ankara, kuhusu umuhimu wa kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kiulinzi wa pande mbil
-
Iran, Uturuki na Qatar zajadili namna ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara
Aug 06, 2017 02:52Mawaziri watatu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Qatar na Uturuki wamefanya mkutano hapa mjini Tehran na kuzungumzia mikakati ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara wa pande tatu.
-
Ijumaa tarehe 4 Agosti, 2017
Aug 03, 2017 21:57Leo ni Ijumaa tarehe 11 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1438 Hijria, inayosadifiana na tarehe 4 Agosti mwaka 2017.
-
Rais Erdoğan: Takwa la Cyprus la kuondoa askari wetu wote wa Uturuki halikubaliki
Jul 01, 2017 23:43Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa, takwa la Cyprus la kuondoa askari wote wa Uturuki nchini humo halikubaliki.
-
Kundi la pili la wanajeshi wa Uturuki limewasili Qatar
Jun 30, 2017 03:41Televisheni rasmi ya Qatar leo asubuhi imetangaza kuwa, kundi jipya la wanajeshi wa Uturuki limewasili katika kambi ya jeshi la anga ya al Adida iliyopo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Doha.