-
Wafanyakazi Waturuki wanaojenga reli ya SGR Tanzania wagoma baada ya mishahara kucheleweshwa
Aug 12, 2023 23:10Mamia ya wafanyakazi Waturuki walioajiriwa na kampuni ya ujenzi ya Uturuki ya Yapı Merkezi katika mradi wa reli ya Tanzania ya Standard Gauge (SGR) wamegoma tangu Agosti 5, wakitaka kulipwa mishahara yao ambayo hawajalipwa kwa muda wa miezi saba iliyopita.
-
Kuendelea mashambulio ya kijeshi ya Uturuki dhidi ya Syria na Iraq
Aug 03, 2023 23:02Licha ya kufanyika mazungumzo ya amani kati ya Ankara na Damascus, mashambulizi ya kijeshi ya Uturuki dhidi ya Syria na Iraq yangali ni ajenda inayofanyiwa kazi na serikali ya Ankara.
-
Kubadilika msimamo wa Uturuki kuhusu uanachama wa Sweden katika muungano wa Nato
Jul 12, 2023 22:46Baada ya mivutano mikubwa ya kisiasa kuhusu suala la kujiunga Sweden na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO), na upinzani wa Uturuki dhiidi ya suala hilo, hatimaye Rais Reccep Tayyep Erdogan amekubali Sweden kuwa mwanachama ndani ya NATO.
-
"Umoja ndiyo njia bora ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu"
Jul 09, 2023 07:23Rais wa Uturuki amesema kuna haja kwa umma wa Kiislamu kuungana na kuwa na mshikamano, ili uweze kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vilivyoshtadi katika nchi za Magharibi.
-
Kutokana na hali mbaya ya uchumi, Uturuki yawatia mbaroni na kuwahamisha mamia ya wahamaji
Jul 07, 2023 23:54Vikosi vya usalama nchini Uturuki vimewakamata mamia ya wahamiaji na kuwarejesha nchi walikotoka.
-
Uturuki na Misri zateua mabalozi na kurejesha kikamilifu uhusiano wao wa kidiplomasia
Jul 04, 2023 06:48Uturuki na Misri zimeteua mabalozi wa pande mbili ili kurejesha rasmi uhusiano wao katika ngazi ya juu ya kidiplomasia.
-
Zakharova: Russia itatumia silaha za nyuklia ikilazimu
Jun 16, 2023 04:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema nchi hiyo inaweza tu kutumia silaha zake za nyuklia katika mazingira maalum ya kujihami.
-
Kuinusuru Uturuki na kuendelea ukoloni wa Umoja wa Ulaya
Jun 08, 2023 03:22Bunge la Ulaya limesema Rais Recep Tayyeb Erdogan wa Uturuki kupata fursa nyingine ya kuiongoza nchi hiyo ya Kiislamu kutakwamisha juhudi za kujiunga nchi hiyo na Umoja wa Ulaya.
-
Syria: Rais Assad hatakutana na Erdogan mpaka Uturuki ikomeshe uvamizi na ukaliaji wa ardhi
May 22, 2023 06:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Faisal al-Miqdad amesema, uhusiano wa nchi hiyo na Uturuki hautarejea katika hali ya kawaida isipokuwa tu kama nchi hiyo itaondoka katika ardhi ya Syria.
-
Upembuzi wa sababu za kuingia katika duru ya pili uchaguzi wa rais wa Uturuki
May 17, 2023 21:47Kama ilivyokuwa imetabiriwa na duru huru za kisiasa, uchaguzi wa rais wa Uturuki umeingia kwenye duru ya pili na chama tawala cha Uadilifu na Maendeleo (AKP) na muungano wake wa Jamhuri zimeshindwa kupata wingi wa kura zilizohitaji ili kuibuka mshindi katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.