Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Kubadilika msimamo wa Uturuki kuhusu uanachama wa Sweden katika muungano wa Nato

    Kubadilika msimamo wa Uturuki kuhusu uanachama wa Sweden katika muungano wa Nato

    Jul 13, 2023 02:16

    Baada ya mivutano mikubwa ya kisiasa kuhusu suala la kujiunga Sweden na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO), na upinzani wa Uturuki dhiidi ya suala hilo, hatimaye Rais Reccep Tayyep Erdogan amekubali Sweden kuwa mwanachama ndani ya NATO.

  • "Umoja ndiyo njia bora ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu"

    Jul 09, 2023 10:53

    Rais wa Uturuki amesema kuna haja kwa umma wa Kiislamu kuungana na kuwa na mshikamano, ili uweze kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vilivyoshtadi katika nchi za Magharibi.

  • Kutokana na hali mbaya ya uchumi, Uturuki yawatia mbaroni na kuwahamisha mamia ya wahamaji

    Kutokana na hali mbaya ya uchumi, Uturuki yawatia mbaroni na kuwahamisha mamia ya wahamaji

    Jul 08, 2023 03:24

    Vikosi vya usalama nchini Uturuki vimewakamata mamia ya wahamiaji na kuwarejesha nchi walikotoka.

  • Uturuki na Misri zateua mabalozi na kurejesha kikamilifu uhusiano wao wa kidiplomasia

    Uturuki na Misri zateua mabalozi na kurejesha kikamilifu uhusiano wao wa kidiplomasia

    Jul 04, 2023 10:18

    Uturuki na Misri zimeteua mabalozi wa pande mbili ili kurejesha rasmi uhusiano wao katika ngazi ya juu ya kidiplomasia.

  • Zakharova: Russia itatumia silaha za nyuklia ikilazimu

    Zakharova: Russia itatumia silaha za nyuklia ikilazimu

    Jun 16, 2023 07:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema nchi hiyo inaweza tu kutumia silaha zake za nyuklia katika mazingira maalum ya kujihami.

  • Kuinusuru Uturuki na kuendelea ukoloni wa Umoja wa Ulaya

    Kuinusuru Uturuki na kuendelea ukoloni wa Umoja wa Ulaya

    Jun 08, 2023 06:52

    Bunge la Ulaya limesema Rais Recep Tayyeb Erdogan wa Uturuki kupata fursa nyingine ya kuiongoza nchi hiyo ya Kiislamu kutakwamisha juhudi za kujiunga nchi hiyo na Umoja wa Ulaya.

  • Syria: Rais Assad hatakutana na Erdogan mpaka Uturuki ikomeshe uvamizi na ukaliaji wa ardhi

    Syria: Rais Assad hatakutana na Erdogan mpaka Uturuki ikomeshe uvamizi na ukaliaji wa ardhi

    May 22, 2023 09:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Faisal al-Miqdad amesema, uhusiano wa nchi hiyo na Uturuki hautarejea katika hali ya kawaida isipokuwa tu kama nchi hiyo itaondoka katika ardhi ya Syria.

  • Upembuzi wa sababu za kuingia katika duru ya pili uchaguzi wa rais wa Uturuki

    Upembuzi wa sababu za kuingia katika duru ya pili uchaguzi wa rais wa Uturuki

    May 18, 2023 01:17

    Kama ilivyokuwa imetabiriwa na duru huru za kisiasa, uchaguzi wa rais wa Uturuki umeingia kwenye duru ya pili na chama tawala cha Uadilifu na Maendeleo (AKP) na muungano wake wa Jamhuri zimeshindwa kupata wingi wa kura zilizohitaji ili kuibuka mshindi katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Sharti la Oğan kumuunga mkono mshindani wa Erdoğan katika duru ya pili ya uchaguzi wa Uturuki

    Sharti la Oğan kumuunga mkono mshindani wa Erdoğan katika duru ya pili ya uchaguzi wa Uturuki

    May 16, 2023 06:41

    Sinan Oğan, mmoja wa wagombea watatu wa uchaguzi wa rais wa Uturuki ametangaza kuwa atamuunga mkono Kemal Kılıçdaroğlu, mgombea wa Muungano wa Taifa, ikiwa tu ataahidi kukiondoa chama cha Kidemokrasia cha Wakurdi katika mfumo wa kisiasa wa Uturuki.

  • Waturuki wapiga kura katika uchaguzi muhimu zaidi tangu wa mwanzo wa vyama vingi 1950

    Waturuki wapiga kura katika uchaguzi muhimu zaidi tangu wa mwanzo wa vyama vingi 1950

    May 14, 2023 11:44

    Upigaji kura katika uchaguzi wa 13 wa urais na wa 28 wa wabunge nchini Uturuki ulianza leo saa mbili asubuhi nchini kote na ulitazamiwa kuendelea hadi saa 11 jioni kwa saa za nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS