Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uvunjaji wa haki za binadamu

  • Kughafilika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa katika utekelezaji wa majukumu yake

    Kughafilika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa katika utekelezaji wa majukumu yake

    Feb 29, 2016 07:20

    Kikao cha kila mwaka cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kimeanza leo Jumatatu mjini Geneva, Uswisi na hafla ya ufunguzi imehudhuriwa na Katibu Mkuu wa UN, Ban Ki moon.

  • Ripoti ya Amnesty International kuhusu ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu duniani

    Ripoti ya Amnesty International kuhusu ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu duniani

    Feb 25, 2016 03:29

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International (AI) limetahadharisha juu ya uwezekano wa kutoweka matunda yote ya miaka 70 iliyopita katika uwanja wa haki za binadamu duniani.

  • Kuendelea ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Misri

    Kuendelea ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Misri

    Feb 16, 2016 04:16

    Katika hali ambayo siku ya tarehe 11 ya mwezi huu wa Februari wananchi wa Misri waliadhimisha mwaka wa tano tangu aliyekuwa rais wa nchi hiyo dikteta Hosni Mubarak alipoondolewa madarakani, serikali ya Rais wa sasa Abdel Fattah el Sisi ingali inaendelea kukiuka haki za binadamu na hasa hasa dhidi ya wafuasi wa Ikhwanul Muslimin.

  • Amnesty International: Magharibi ndiyo inayobeba dhima ya machafuko duniani

    Amnesty International: Magharibi ndiyo inayobeba dhima ya machafuko duniani

    Feb 15, 2016 21:39

    Shirika la Msamaha Duniani limesisitiza kuwa, uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu unaotokea katika kona mbalimbali za dunia unafanyika kwa msaada wa silaha za nchi za Magharibi na kwamba Magharibi ndiyo inayopaswa kubeba ya dhima ya machafuko yote hayo.

  • Bahrain inakiuka haki za watoto wadogo

    Bahrain inakiuka haki za watoto wadogo

    Feb 15, 2016 21:36

    Utawala wa Aal Khalifa unaendelea kukiuka haki za binadamu hususan za watoto wadogo wa nchi hiyo.

  • Wanawake na watoto, wahanga wakuu wa migogoro ya Afrika

    Wanawake na watoto, wahanga wakuu wa migogoro ya Afrika

    Feb 13, 2016 11:52

    Wanawake na watoto wametajwa kuwa ndiyo wahanga wakuu wa migogoro inayozikumba nchi kadhaa za Afrika.

  • Umoja wa Mataifa: Utawala wa Kizayuni wa Israel ni mkiukaji wa haki za binadamu

    Umoja wa Mataifa: Utawala wa Kizayuni wa Israel ni mkiukaji wa haki za binadamu

    Feb 11, 2016 22:32

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu huko Palestina amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ni mkiukaji wa haki za binadamu.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS