-
CNN yakiri kwamba Iran inafanya juhudi kubwa kuvishinda virusi vya Corona
Mar 03, 2020 08:00Kanali ya televisheni ya CNN ya nchini Marekani imekiri kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, inafanya juhudi kubwa kuvishinda virusi hatari vya Corona.
-
Njama za Trump za kuficha sera za Marekani dhidi ya Iran
Mar 02, 2020 07:29Baada ya utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA mwezi Mei 2018, ilianzisha sera za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran; na katika fremu hiyo ikaiwekea Iran vikwazo vikali kabisa hata katika uga wa masuala ya kibinadamu. Pamoja na kuwepo sera hiyo ya White House, hivi sasa rais afriti wa Marekani anajifanya mtu mwenye kuwahurumia wananchi wa Iran na kudai eti yuko tayari kuisaidia Iran.
-
Hatua ya kukurupuka ya Marekani ya kumuwekea vikwazo Katibu Mkuu wa Kataeb Hizbullah ya Iraq
Feb 28, 2020 02:05Marekani imetuma idadi kubwa ya wanajeshi wake huko Iraq tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la Daesh. Katika hatua yake ya kukurupuka Marekani imeliorodhesha jina la kiongozi wa mojawapo ya makundi muhimu ya taasisi ya Kataeb Hizbullah ya Iraq licha ya nafasi muhimu ya kundi la kujitolea la wananchi la al Hashd al Shaabi katika kutoa pigo na kuliangamiza kundi la kigaidi la Daesh huko Iraq.
-
Hemmati: Iran ina uhusiano wa kimataifa wa kibenki usioweza kuwekewa vikwazo
Feb 27, 2020 09:37Gavana wa Benki Kuu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu imebuni uhusiano wa kibenki wa kimataifa usioweza kuwekewa vikwazo na wala usiohusiana na jopokazi la eti kupambana na utakatishaji wa fedha chafu linalojulikana kwa kimombo kama Financial Action Task Force (FATF).
-
Russia: tutapinga kurejeshwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran
Feb 26, 2020 23:24Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amevitaja vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kuwa kinyume cha sheria na kueleza kuwa Moscow itapinga juhudi zozote kwa lengo la kuirejeshea Tehran vikwazo vya Umoja wa Mataifa.
-
Uamuzi wa Marekani wa kushadidisha vikwazo vya mafuta dhidi ya Venezuela
Feb 26, 2020 09:36Serikali ya Marekani ikiwa na lengo la kuendeleza mashinikizo dhidi ya Venezuela imeazimia kushadidisha vikwazo vya mafuta dhidi ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini.
-
Nchi zilizoliwekea taifa la Iran vikwazo vya madawa ni katili
Feb 25, 2020 04:26Mkuu wa Baraza la Haki za Binadamu la Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi ambazo zinazuia madawa kuingia hapa nchini ni katili na wauaji wa binadamu.
-
Rais Rouhani: Vikwazo vya Marekani vinashabihiana na virusi vya corona
Feb 24, 2020 01:11Rais Hassan Rouhani amesema vikwazo vya Marekani vinafanana na virusi vya corona, ambapo wasi wasi unaozushwa navyo ni mkubwa kuliko ukweli wa mambo.
-
Vikwazo vya dawa dhidi ya Iran ni kinyume cha hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu
Feb 06, 2020 06:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Marekani imefunga njia zote za miamala ya kifedha ya benki ya Iran katika uga wa ununuzi wa dawa na chakula."
-
Wanaharakati wanaopinga vita: Vikwazo ni jinai ya kivita
Jan 20, 2020 04:00Washiriki katika kikao cha kukumbuka maangamizi ya kizazi kilichofanyika jana mjini London Uingereza wamesema kuwa vikwazo ni miongoni mwa siasa za Marekani katika uwanja huo ambazo ni sawa na jinai za kivita.