Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Kusambaratika siasa za vikwazo; Marekani yapigia magoti mafuta ya Venezuela

    Kusambaratika siasa za vikwazo; Marekani yapigia magoti mafuta ya Venezuela

    Nov 29, 2022 02:27

    Baada ya kupita takriban miaka 10 ya vikwazo vikali vya Marekani dhidi ya Venezuela, hatimaye Washington imesalimu amri na imeamua kupigia magoti mafuta ya Venezuela.

  • Mbunge wa EU: Kwa nini Ulaya haikutaka Marekani iwekewe vikwazo ilipowaua Wairaqi kwa halaiki?

    Mbunge wa EU: Kwa nini Ulaya haikutaka Marekani iwekewe vikwazo ilipowaua Wairaqi kwa halaiki?

    Nov 22, 2022 02:24

    Mick Wallace, Mbunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya amesema, umoja huo ulionyesha undumlakuwili kwa kunyamaza kimya wakati askari wa jeshi la Marekani walipowaua kwa umati raia wa Iraq.

  • Kan'ani: Kuvifungia vyombo vya habari vya Iran ni uvunjaji wa wazi wa haki za binadamu

    Kan'ani: Kuvifungia vyombo vya habari vya Iran ni uvunjaji wa wazi wa haki za binadamu

    Nov 18, 2022 11:00

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran ameonesha hisia zake kuhusu kitendo cha nchi za Magharibi cha kuliwekea vikwazo Shirika la Sauti na Televisheni la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, IRIB.

  • Mkuu wa IRIB: Licha ya kuwekewa vikwazo, sauti ya Jamhuri ya Kiislamu itawafikia walimwengu

    Mkuu wa IRIB: Licha ya kuwekewa vikwazo, sauti ya Jamhuri ya Kiislamu itawafikia walimwengu

    Nov 16, 2022 12:38

    Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) amesema: Kanali ya Press TV inaendesha shughuli zake katika uga wa kimataifa licha ya kukabiliana na washindani wenye nguvu; na licha ya kuwekewa vikwazo, sauti ya Jamhuri ya Kiislamu itawafikia walimwengu.

  • Taasisi na shakhsia kadhaa wa EU wataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Iran

    Taasisi na shakhsia kadhaa wa EU wataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Iran

    Oct 25, 2022 13:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amedokeza kuwa karibuni hivi majina ya taasisi na shakhsia kadhaa wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya yataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran: Hatutaipatia Marekani fursa yoyote ya ziada katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo

    Iran: Hatutaipatia Marekani fursa yoyote ya ziada katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo

    Oct 22, 2022 12:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Iran inachukua hatua kwa kutumia mantiki na kuchunga mistari myekundu ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu na haitapatia Marekani fursa yoyote ya ziada katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo.

  • Umoja wa Ulaya wapendekeza kifurushi cha vikwazo vipya dhidi ya Russia

    Umoja wa Ulaya wapendekeza kifurushi cha vikwazo vipya dhidi ya Russia

    Sep 29, 2022 07:57

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya jana usiku alipendekeza duru mpya ya vikwazo dhidi ya Moscow; vikiwemo vikwazo katika bei ya mafuta na kuizuia Russia kuuza mafuta yake ya kiasi cha dola bilioni 7.

  • Ukosoaji wa China kwa vikwazo vya Marekani vinavyosababisha masaibu kwa nusu ya watu wote duniani

    Ukosoaji wa China kwa vikwazo vya Marekani vinavyosababisha masaibu kwa nusu ya watu wote duniani

    Sep 29, 2022 02:26

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imeikosoa Marekani kwa kutekeleza sera ya vikwazo na kusababisha matatizo na masaibu kwa nusu ya watu wote duniani.

  • Rais wa Venezuela: Vikwazo ni jinai dhidi ya binadamu

    Rais wa Venezuela: Vikwazo ni jinai dhidi ya binadamu

    Sep 26, 2022 10:56

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema, vita vya kiuchumi vya nchi za Magharibi dhidi ya nchi yake ni "jinai dhidi ya binadamu" na ametabiri kuundwa ulimwengu wa kambi kadhaa kwa mchango wa Iran, Russia na China.

  • Ripota Maalumu wa UN: Kuna udharura wa kukomesha vikwazo dhidi ya Iran

    Ripota Maalumu wa UN: Kuna udharura wa kukomesha vikwazo dhidi ya Iran

    Sep 12, 2022 15:13

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa amechapisha ripoti yake rasmi kuhusu ulazima wa kukomesha vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS