• Walibya wavamia makazi ya kijeshi ya Haftar, wataka kulipiza kisasi dhidi ya mamluki

    Walibya wavamia makazi ya kijeshi ya Haftar, wataka kulipiza kisasi dhidi ya mamluki

    Jan 01, 2021 09:55

    Wakazi wa mji wa Houn katika eneo la al Jufra huko katikati mwa Libya wamefanya maandamano wakitaka kulipiza kisasi kwa mamluki wa kampuni ya Wagner ya Russia na wapiganaji wa kundi la Janjaweed kutoka Sudan wanaolisaidia jeshi la jenerali muasi, Khalifa Haftar baada ya mauaji ya raia kadhaa wa eneo hilo.

  • Kuendelea mgogoro wa Tigray nchini Ethiopia na hatari zake

    Kuendelea mgogoro wa Tigray nchini Ethiopia na hatari zake

    Nov 23, 2020 09:03

    Mgogoro katika jimbo la Tigray nchini Ethiopia umechukua muelekeo mpya ambapo Abiy Ahmed, Waziri Mkuu wa nchi hiyo amewapa viongozi wa jimbo hilo muda wa masaa 72 wawe wamejisalimisha na kuweka chini silaha zao, la sivyo, atazingira na kuyashambulia makao makuu ya eneo hilo.

  • UN: Hali ya wakimbizi wa Ethiopia nchini Sudan inatia wasiwasi

    UN: Hali ya wakimbizi wa Ethiopia nchini Sudan inatia wasiwasi

    Nov 12, 2020 08:29

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa una wasiwasi kuhusu hali ya wakimbizi wa Ethiopia wanaoendelea kumiminika katika nchi jirani ya Sudan iwapo raia zaidi watalazimika kukimbia mapigano yanayojiri kati ya jeshi la Serikali Kuu ya Ethiopia na wapiganaji wa Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (The Tigray People's Liberation Front (TPLF)) huko kaskazini mwa Ethiopia.

  • Waethiopia waanza kumiminika Sudan wakikimbia vita, wamo wanajeshi wa serikali

    Waethiopia waanza kumiminika Sudan wakikimbia vita, wamo wanajeshi wa serikali

    Nov 10, 2020 06:49

    Serikali ya Sudan imetangaza kuwa makumi ya wakimbizi kutoka Ethiopia wamevuka mpaka na kuingia kusini mashariki mwa nchi hiyo. Taarifa ya serikali ya Sudan imesema kuwa wakimbizi hao ambao wanajumuisha wanajeshi 30 wa serikali ya Ethiopia, wameingia katika eneo la Al-Luqdi mashariki mwa jimbo la al-Qadarif.

  • Onyo la Lavrov kuhusu uwepo wa mamluki 2000 wa kitakfiri huko Karabakh

    Onyo la Lavrov kuhusu uwepo wa mamluki 2000 wa kitakfiri huko Karabakh

    Nov 05, 2020 00:28

    Russia daima imekuwa ikitahadharisha kuhusu hatari ya uwepo wa makundi ya kigaidi yenye misimamo ya kupindukia mpaka katika nchi hiyo na nchi nyingine za Caucasia na Asia ya Kati na kusisitiza udharura wa kupambana na makundi hayo.

  • Kwa amri ya Abiy Ahmed: Jeshi la Ethiopia laanza mashambulizi dhidi ya harakati ya TPLF

    Kwa amri ya Abiy Ahmed: Jeshi la Ethiopia laanza mashambulizi dhidi ya harakati ya TPLF

    Nov 04, 2020 05:24

    Jeshi la Ethiopia mapema leo limeanza mashambulizi dhidi ya Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (The Tigray People's Liberation Front (TPLF)).

  • UN: Mazungumzo ya amani Libya yanaendelea kwa mafanikio huko Ghadames

    UN: Mazungumzo ya amani Libya yanaendelea kwa mafanikio huko Ghadames

    Nov 03, 2020 05:23

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mazungumzo ya pande hasimu nchini Libya yanayoendelea katika mji wa Ghadames ulioko kusini magharibi mwa nchi hiyo yamepiga hatua kubwa katka njia ya kufikia makubaliano juu ya utekelezaji wa mapatano ya kusitisha vita yaliyotiwa saini wiki kadhaa zilizopita.

  • HRW: Imarati imetuma mamia ya vijana wa Kisudan kupigana vita Libya

    HRW: Imarati imetuma mamia ya vijana wa Kisudan kupigana vita Libya

    Nov 02, 2020 23:16

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch lenye makao yake makuu mjini New York nchini Marekani limetangaza kuwa, kampuni ya huduma za ulinzi na usalama ya Black Shield ya Imarati iliajiri karibu vijana 270 za Kisudani kwa ajili ya kufanya kazi za ulinzi katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) lakini vijana hao walijikuta wakitumwa Libya kwenda kupigana katika safu za jenerali muasi, Khalifa Haftar.

  • Indhari ya UN kuhusu hali mbaya ya Yemen na kuendelea jinai za Muungano wa Saudia kwa uungaji mkono wa Magharibi

    Indhari ya UN kuhusu hali mbaya ya Yemen na kuendelea jinai za Muungano wa Saudia kwa uungaji mkono wa Magharibi

    Oct 21, 2020 02:48

    Mnamo mwezi Machi 2015, Saudi Arabia ikishirikiana na Imarati ilianzisha vita vya kidhalimu dhidi ya wananchi wa Yemen kupitia muungano wao wa pamoja wa kijeshi; na hadi sasa muungano huo vamizi umeshaua na kujeruhi makumi ya maelfu ya watu nchini humo.

  • Uamuzi wa Sudan wa kuondoa askari wake katika vita vya Yemen

    Uamuzi wa Sudan wa kuondoa askari wake katika vita vya Yemen

    Oct 11, 2020 03:39

    Katika hali ambayo Saudi Arabia inaendelea kupiga ngoma ya vita huko nchini Yemen, waitifaki wake katika muungano huo wa kijeshi hawako tayari tena kuvumilia siasa za kupenda vita za Riyadh na hivi sasa wamo mbioni kujiondoa katika muungano huo.