-
Zarif amhutubu Trump: Hakuna vita vibaya na vita vizuri
Sep 11, 2020 03:42Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemhutubu Rais Donald Trump wa Marekani na kumwambia kwamba, hakuna kitu kinachofahamika kama vita vizuri, na kusisitiza kuwa vita vyote ni vibaya.
-
Mlipuko watikisa kambi ya jeshi Mogadishu; watu 8 wapoteza maisha
Aug 08, 2020 07:11Mlipuko mkubwa umetokea leo katika kambi ya jeshi huko Mogadishu mji mkuu wa Somalia na kuuwa watu 8 na kujeruhi wengine 14.
-
Tukio la kushushwa bendera ya Marekani katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu
Jul 29, 2020 01:30Vyombo vya habari vya China juzi viliripoti kuwa bendera ya Marekani imeshushwa na kuondolewa katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu.
-
Baadhi ya wanamgambo wa Taliban walioachiwa huru kutoka jela wamerudi tena vitani
Jul 25, 2020 02:49Msemaji wa Baraza la Usalama wa Taifa la Afghanistan amesema wafungwa kadhaa wanamgambo wa kundi la Taliban ambao wameachiwa huru kutoka jela wamerudi tena kwenye medani za vita vya ndani vya nchi hiyo.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yakemea vikali hatua ya ndege zakivita za Marekani ya kuhatarisha usalama wa ndege ya abiria ya Iran
Jul 24, 2020 09:19Msemaji wa Wizara Mambo ya Nchi za Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekemea vikali hatua ya ndege mbili za kijeshi za Marekani ya kutishia usalama wa ndege ya abiria ya Iran katika anga ya Syria na kusema: Habari zaidi kuhusu tukio hilo zinafanyiwa uchunguzi na hatua za dharura za kisiasa na kisheria zitachukuliwa baada ya kukamilika uchunguzi huo.
-
Ujumbe mbalimbali wa operesheni ya kulipiza kisasi ya jeshi la Yemen dhidi ya Saudia
Jun 25, 2020 05:09Brigedia Jenerali Yahya Saree, Msemaji wa Majeshi ya Yemen, Jumanne tarehe 23 Juni alitangaza habari ya kufanyika operesheni kubwa ya kijeshi ya kulipiza kisasi cha jinai zinazofanywa na Saudi Arabia dhidi ya wananchi wa Yemen.
-
Vita vya maneno vyashtadi kati ya Imarati na Uturuki
May 01, 2020 21:06Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imeitaka Imarati kukomesha misimamo yake ya uhasama dhidi ya nchi hiyo.
-
Kushadidi vita nchini Libya katika kivuli cha virusi vya Corona
Apr 14, 2020 06:43Licha ya kuibuka virusi vya Corona na kuenea kote ulimwenguni na hilo kupelekea kusitishwa vita na mapigano katika maeneo mengi ya dunia, lakini nchini Libya kwa sasa vita vimeshika kasi.
-
Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU
Apr 01, 2020 05:11Tangu mwezi Machi 2015, Saudi Arabia iliunda muungano kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kuanzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hadi sasa makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameshauawa shahidi na kujeruhiwa.
-
Tripoli yaitaka Khartoum kuwaondoa mamluki wa Kisudani nchini Libya
Mar 21, 2020 07:17Mjumbe katika Baraza la Utawala la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya, Muhammad Ammari amesema Libya ingali inasubiri ufafanuzi wa Serikali ya Sudan kuhusu uwepo wa mamluki wa Kisudani katika safu za wapiganaji wa jenerali muasi, Khalifa Haftar wanaoendelea kuhujumu mji wa Tripoli.