Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Putin asisitiza, Russia haina nia ya kuingia vitani na Ukraine

    Putin asisitiza, Russia haina nia ya kuingia vitani na Ukraine

    Feb 16, 2022 23:18

    Rais Vladimir Putin wa Rassia aliuambia mkutano wa waandishi wa habari siku ya Jumanne baada ya kukutana na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz, huko Kremlin kwamba ametoa wito kwa nchi za Magharibi kujiepusha kupeleka silaha za kivita kwenye mipaka ya Russia na kwamba zinapaswa kusitisha upanuzi wa shirika la NATO upande wa Mashariki.

  • Kuongezeka indhari kuhusu uwezekano wa kutokea vita mashariki mwa Ulaya

    Kuongezeka indhari kuhusu uwezekano wa kutokea vita mashariki mwa Ulaya

    Feb 12, 2022 06:43

    Nchi za Magharibi zinaendelea kutoa tahadhari mbalimbali kuhusu uwezekano wa Russia kuishambulia Ukraine kufuatia kuongezeka mivutano huko Ulaya Mashariki kati ya Moscow na Kiev.

  • “Huenda Trump akaitumbukiza Marekani katika vita vya pili vya ndani”

    “Huenda Trump akaitumbukiza Marekani katika vita vya pili vya ndani”

    Feb 01, 2022 23:03

    Mchambuzi mmoja wa masuala ya siasa amesema yumkini aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump akaitumbukiza nchi hiyo katika vita vya pili vya wenyewe kwa wenyewe.

  • Jumatano tarehe 26 Januari 2022

    Jumatano tarehe 26 Januari 2022

    Jan 26, 2022 00:41

    Leo ni Jumatano tarehe 23 Jamadithani 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 26 Januari 2022.

  • Poland yaonya: Ulaya ipo katika ncha ya kutumbukia vitani

    Poland yaonya: Ulaya ipo katika ncha ya kutumbukia vitani

    Jan 13, 2022 23:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland ametahadharisha kuwa, bara Ulaya lipo katika hatari kubwa ya kutumbukia kwenye vita wakati huu, kuliko ilivyokuwa miongo mitatu iliyopita.

  • Marekani yaendelea kushirikiana na Saudi Arabia katika vita vya Yemen

    Marekani yaendelea kushirikiana na Saudi Arabia katika vita vya Yemen

    Dec 04, 2021 23:07

    Mashambulio ya mabomu dhidi ya Yemen yanayofanywa na jeshi la muungano unaoongozwa na Saudi Arabia yanaendelea huku nchi za Magharibi, zinazotoa nara za kutetea haki za binadamu hususan Marekani, zikiendelea kuisaidia Saudi Arabia katika kutenda jinai dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • UN na AU zatoa wito wa kusitishwa mapigano nchini Ethiopia, onyo la kukaririwa hali ya Kabul latolewa

    UN na AU zatoa wito wa kusitishwa mapigano nchini Ethiopia, onyo la kukaririwa hali ya Kabul latolewa

    Dec 03, 2021 23:06

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zimetoa wito wa kusitishwa mapigano nchini Ethiopia, huku afisa wa Umoja wa Mataifa akionya dhidi ya kukaririwa hali iliyoshudiwa Kabul nchini Afghanistan baada ya Taliban kuidhibiti nchini hiyo, huko Addis Ababa.

  • Rais Lukashenko: Marekani inataka kuanzisha vita Belarus

    Rais Lukashenko: Marekani inataka kuanzisha vita Belarus

    Nov 27, 2021 01:07

    Rais Alexander Lukashenko wa Belarus amesema Marekani inatumia mgogoro wa wakimbizi kutaka kuibua makabiliano baina ya nchi mbili hizo.

  • Umoja wa Afrika kutuma mjumbe nchini Sudan kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisiasa

    Umoja wa Afrika kutuma mjumbe nchini Sudan kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisiasa

    Nov 14, 2021 23:18

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema umoja huo utatuma mjumbe nchini Sudan kwa ajili ya kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisaisa nchini humo.

  • Serikali ya Ethiopia yatangaza masharti ya mazungumzo ya kusitisha mapigano Tigray

    Serikali ya Ethiopia yatangaza masharti ya mazungumzo ya kusitisha mapigano Tigray

    Nov 12, 2021 04:23

    Serikali ya Ethiopia imetangaza masharti kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya kusitisha mapigano na viongozi wa chama cha Tigray People’s Liberation Front (TPLF), kufuatia juhudi za kidiplomasia za kimataifa zenye lengo la kusitisha uhasama unaozidi kuongezeka huko kaskaqzini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS