Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Zarif amhutubu Trump: Hakuna vita vibaya na vita vizuri

    Zarif amhutubu Trump: Hakuna vita vibaya na vita vizuri

    Sep 11, 2020 03:42

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemhutubu Rais Donald Trump wa Marekani na kumwambia kwamba, hakuna kitu kinachofahamika kama vita vizuri, na kusisitiza kuwa vita vyote ni vibaya.

  • Mlipuko watikisa kambi ya jeshi Mogadishu; watu 8 wapoteza maisha

    Mlipuko watikisa kambi ya jeshi Mogadishu; watu 8 wapoteza maisha

    Aug 08, 2020 07:11

    Mlipuko mkubwa umetokea leo katika kambi ya jeshi huko Mogadishu mji mkuu wa Somalia na kuuwa watu 8 na kujeruhi wengine 14.

  • Tukio la kushushwa bendera ya Marekani katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu

    Tukio la kushushwa bendera ya Marekani katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu

    Jul 29, 2020 01:30

    Vyombo vya habari vya China juzi viliripoti kuwa bendera ya Marekani imeshushwa na kuondolewa katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu.

  • Baadhi ya wanamgambo wa Taliban walioachiwa huru kutoka jela wamerudi tena vitani

    Baadhi ya wanamgambo wa Taliban walioachiwa huru kutoka jela wamerudi tena vitani

    Jul 25, 2020 02:49

    Msemaji wa Baraza la Usalama wa Taifa la Afghanistan amesema wafungwa kadhaa wanamgambo wa kundi la Taliban ambao wameachiwa huru kutoka jela wamerudi tena kwenye medani za vita vya ndani vya nchi hiyo.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yakemea vikali hatua ya ndege zakivita za Marekani ya kuhatarisha usalama wa ndege ya abiria ya Iran

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yakemea vikali hatua ya ndege zakivita za Marekani ya kuhatarisha usalama wa ndege ya abiria ya Iran

    Jul 24, 2020 09:19

    Msemaji wa Wizara Mambo ya Nchi za Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekemea vikali hatua ya ndege mbili za kijeshi za Marekani ya kutishia usalama wa ndege ya abiria ya Iran katika anga ya Syria na kusema: Habari zaidi kuhusu tukio hilo zinafanyiwa uchunguzi na hatua za dharura za kisiasa na kisheria zitachukuliwa baada ya kukamilika uchunguzi huo.

  • Ujumbe mbalimbali wa operesheni ya kulipiza kisasi ya jeshi la Yemen dhidi ya Saudia

    Ujumbe mbalimbali wa operesheni ya kulipiza kisasi ya jeshi la Yemen dhidi ya Saudia

    Jun 25, 2020 05:09

    Brigedia Jenerali Yahya Saree, Msemaji wa Majeshi ya Yemen, Jumanne tarehe 23 Juni alitangaza habari ya kufanyika operesheni kubwa ya kijeshi ya kulipiza kisasi cha jinai zinazofanywa na Saudi Arabia dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • Vita vya maneno vyashtadi kati ya Imarati na Uturuki

    Vita vya maneno vyashtadi kati ya Imarati na Uturuki

    May 01, 2020 21:06

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imeitaka Imarati kukomesha misimamo yake ya uhasama dhidi ya nchi hiyo.

  • Kushadidi vita nchini Libya katika kivuli cha virusi vya Corona

    Kushadidi vita nchini Libya katika kivuli cha virusi vya Corona

    Apr 14, 2020 06:43

    Licha ya kuibuka virusi vya Corona na kuenea kote ulimwenguni na hilo kupelekea kusitishwa vita na mapigano katika maeneo mengi ya dunia, lakini nchini Libya kwa sasa vita vimeshika kasi.

  • Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Apr 01, 2020 05:11

    Tangu mwezi Machi 2015, Saudi Arabia iliunda muungano kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kuanzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hadi sasa makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameshauawa shahidi na kujeruhiwa.

  • Tripoli yaitaka Khartoum kuwaondoa mamluki wa Kisudani nchini Libya

    Tripoli yaitaka Khartoum kuwaondoa mamluki wa Kisudani nchini Libya

    Mar 21, 2020 07:17

    Mjumbe katika Baraza la Utawala la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya, Muhammad Ammari amesema Libya ingali inasubiri ufafanuzi wa Serikali ya Sudan kuhusu uwepo wa mamluki wa Kisudani katika safu za wapiganaji wa jenerali muasi, Khalifa Haftar wanaoendelea kuhujumu mji wa Tripoli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS