Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Middle East Eye: Saudia inazidisha mashaka ya Waislamu wa Rohingya

    Middle East Eye: Saudia inazidisha mashaka ya Waislamu wa Rohingya

    Jan 07, 2020 23:18

    Kituo cha habari cha Middle East Eye kimeripoti kuwa, Saudi Arabia inazidisha mashaka na masaibu ya Waislamu wa jamii ya Rohingya huko Myanmar kwa kuwasaka, kuwakamata na kuwafukuza Warohingya wanaofanya kazi nchini humo.

  • Umoja wa Mataifa wailaani Myanmar kwa kuwandamiza Waislamu Warohingya

    Umoja wa Mataifa wailaani Myanmar kwa kuwandamiza Waislamu Warohingya

    Dec 28, 2019 23:23

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio ambalo linailaani vikali Myanmar kwa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya na jamii za wengine waliowachache katika nchi hiyo ya Mabuddha.

  • Mahathir Mohammad.: Malaysia itawapa hifadhi wakimbizi wa Uyghur kutoka China

    Mahathir Mohammad.: Malaysia itawapa hifadhi wakimbizi wa Uyghur kutoka China

    Dec 27, 2019 09:14

    Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohammad amesema kuwa nchi yake haitawarejesha makwao Waislamu wa jamii ya Uyghur kutoka China iwapo wataomba hifadhi nchini humo.

  • Maandamano yashtadi nchini India kufuatia kupitishwa muswada ulio dhidi ya Waislamu

    Maandamano yashtadi nchini India kufuatia kupitishwa muswada ulio dhidi ya Waislamu

    Dec 14, 2019 21:42

    Maandamano ya kupinga muswada wa uraia nchini India na ambao uko dhidi ya Waislamu, yameendelea kupanua wigo wake ambapo baada ya majimbo ya kaskazini mashariki, pia yamesambaa katika maeneo mengine kama vile Uttar Pradesh, Bihar na New Delhi.

  • Waislamu milioni 27 wameuawa katika 'vita dhidi ya ugaidi' vya Marekani

    Waislamu milioni 27 wameuawa katika 'vita dhidi ya ugaidi' vya Marekani

    Nov 22, 2019 10:38

    Msomi na mwanafikra mashuhuri wa Marekani amesema zaidi ya Waislamu milioni 27 wameuawa kutokana na vita vilivyoibuliwa na Marekani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi, tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11, 2001 hadi sasa.

  • Waislamu ni waathirika wakuu wa ugaidi duniani

    Waislamu ni waathirika wakuu wa ugaidi duniani

    Nov 22, 2019 03:39

    Asasi moja ya Ufaransa imesema Waislamu ni waathirika wakuu wa ugaidi duniani na hilo ni jambo ambalo linapaswa kufahamika vyema barani Ulaya.

  • Jumuiya ya Kiislamu yasisitizia umoja na kuwa macho Waislamu

    Jumuiya ya Kiislamu yasisitizia umoja na kuwa macho Waislamu

    Nov 17, 2019 04:05

    Viongozi wa Kiislamu kutoka nchi mbalimbali duniani walioshiriki mkutano wa 12 wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu hapa Tehran wamesisitizia udharura wa kudumishwa umoja na mshikamano miongoni mwa Waislamu kote duniani.

  • Waislamu Uingereza waanzisha oparesheni ya kumtimua Boris Johnson

    Waislamu Uingereza waanzisha oparesheni ya kumtimua Boris Johnson

    Nov 13, 2019 10:02

    Kundi moja la Waislamu Uingereza limeanzisha kampeni mpya inayojulikana kama "Oparesheni ya Kura ya Waislamu' kuwatimua wabunge wasio zingatia maslahi yao.

  • Waislamu Ujerumani wazidi kuandamwa na vitendo vya chuki na ubaguzi

    Waislamu Ujerumani wazidi kuandamwa na vitendo vya chuki na ubaguzi

    Nov 02, 2019 23:02

    Mmoja wa viongozi wa Kiislamu nchini Ujerumani amesema kuwa, Waislamu wa nchi hiyo ya bara Ulaya wanazidi kuandamwa na mashambulio ambayo chimbuko lake ni vitendo vya ubaguzi na chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.

  • Shule za Kiislamu Uingereza zaweka historia, zashika nafasi tatu za juu na kuongoza kwa ubora

    Shule za Kiislamu Uingereza zaweka historia, zashika nafasi tatu za juu na kuongoza kwa ubora

    Nov 02, 2019 04:44

    Shule za Kiislamu za Uingereza zimeweka historia kwa kushika nafasi tatu za kwanza katika orodha ya shule bora zaidi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS