Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Obama: Waislamu ni wahanga wa ugaidi

    Obama: Waislamu ni wahanga wa ugaidi

    Mar 30, 2016 22:05

    Rais Barack Obama wa Marekani amekiri kwamba Waislamu ni wahanga wa ugaidi.

  • Kukandamizwa Waislamu Marekani kunafanywa kwa uratibu wa serikali na Wazayuni

    Kukandamizwa Waislamu Marekani kunafanywa kwa uratibu wa serikali na Wazayuni

    Mar 30, 2016 11:30

    Imam wa Msikiti wa al-Islam mjini Washington, Marekani amesema serikali ya nchi hiyo na Wazayuni wana muelekeo wa pamoja na wanashrikiana katika kuwakandamiza Waislamu wa nchi hiyo.

  • Idadi ya Waislamu yaongezeka Uganda, ya Wakatoliki yadidimia

    Idadi ya Waislamu yaongezeka Uganda, ya Wakatoliki yadidimia

    Mar 27, 2016 22:29

    Imearifiwa kuwa idadi ya watu wanaojiunga na dini tukufu ya Kiislamu nchini Uganda inazidi kuongezeka kwa kasi huku idadi ya wanaojiunga na Kanisa Katoliki ikizidi kupungua.

  • Wabangali waandamana kulaani njama za kufuta Uislamu kuwa dini rasmi

    Wabangali waandamana kulaani njama za kufuta Uislamu kuwa dini rasmi

    Mar 26, 2016 03:42

    Maelfu ya wananchi wa Bangladesh wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo kukosoa kile walichokitaja kuwa njama za baadhi ya watu wanaojiita 'mashuhuri' nchini humo kutaka Uislamu usitambuliwe kuwa dini rasmi ya nchi hiyo.

  • Sanders: Matamshi ya Trump kuhusu Waislamu yanakera

    Sanders: Matamshi ya Trump kuhusu Waislamu yanakera

    Mar 24, 2016 03:34

    Mgombea tiketi ya chama cha Democratic kwa ajili ya kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais nchini Marekani, Bernie Sanders amekosoa vikali matamshi yanayotolewa na mgombea mwenzake wa chama cha Republican, Donald Trump dhidi ya Waislamu akisema mashambulizi dhidi ya Waislamu wote duniani kwa kutumia kisingizio cha matukio kama yale ya hivi majuzi mjini Brussels yanakasirisha na yanapingana na katiba ya Marekani.

  • Mgombea mwingine wa rais Marekani afuata nyayo za Trump

    Mgombea mwingine wa rais Marekani afuata nyayo za Trump

    Mar 23, 2016 02:57

    Mgombea wa kiti cha rais kupitia chama cha Republican Ted Cruz amependekeza kuazishwa msako mkali dhidi ya wafuasi wa dini ya Kiislamu eti kwa shabaha ya kuwazuia ‘wasiingie kwenye kundi la wenye misimamo iliyofurutu ada’.

  • Mabudha wa Myanmar waendelea kutenda jinai na mauaji dhidi ya Waislamu

    Mabudha wa Myanmar waendelea kutenda jinai na mauaji dhidi ya Waislamu

    Mar 22, 2016 00:06

    Hali ya Waislamu wa Myanmar imeripoti kuwa inaendelea kutia wasiwasi licha ya ushindi wa chama cha National League for Democracy kinachoongozwa na Aung San Suu Kyi ambao umekomesha utawala wa kipindi kirefu wa kijeshi nchini humo.

  • Mabudha wa Myanmar waendelea kutenda jinai na mauaji dhidi ya Waislamu

    Mabudha wa Myanmar waendelea kutenda jinai na mauaji dhidi ya Waislamu

    Mar 21, 2016 23:08

    Hali ya Waislamu wa Myanmar imeripoti kuwa inaendelea kutia wasiwasi licha ya ushindi wa chama cha National League for Democracy kinachoongozwa na Aung San Suu Kyi ambao umekomesha utawala wa kipindi kirefu wa kijeshi nchini humo.

  • Wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la ubaguzi duniani

    Wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la ubaguzi duniani

    Mar 18, 2016 23:26

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amebainisha wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la ubaguzi na ghasia inayohusiana na chuki za kibaguzi duniani kote.

  • Waislamu Nigeria watoa sharti la kufika mbele ya tume ya uchunguzi

    Waislamu Nigeria watoa sharti la kufika mbele ya tume ya uchunguzi

    Mar 15, 2016 11:51

    Waislamu nchini Nigeria wamekataa kufika mbele ya jopo lililobuniwa na serikali ya Abuja kuchunguza mauaji ya Waislamu wa Zaria Disemba mwaka jana, huku wakitoa sharti la kuachiwa huru msomi wa Kiislamu Sheikh Ibrahim Zakazky ambaye anazuiliwa katika mazingira magumu tangu wakati huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS