Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Waislamu Marekani waishtaki FBI kwa orodha ya 'siri' ya kutotumia ndege

    Waislamu Marekani waishtaki FBI kwa orodha ya 'siri' ya kutotumia ndege

    Sep 19, 2023 13:38

    Kundi la kuwatetea Waislamu nchini Marekani limeishtaki Idara ya Upelelezi, FBI, katika jaribio la kukomesha utumiaji wa orodha ya siri ambayo aghalabu inalenga Waislamu pekee kwa uchunguzi wanaposafiri kwa ndege.

  • Raisi: Umma wa Kiislamu ulioungana, ni kizuizi kwa ubeberu wa dunia

    Raisi: Umma wa Kiislamu ulioungana, ni kizuizi kwa ubeberu wa dunia

    Sep 01, 2023 03:06

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ulimwengu wa Kiislamu ambao una umoja na mshikamano ndicho kizingiti kikubwa zaidi kwa ubeberu wa dunia.

  • Hasira zatanda India baada ya mwalimu kuwataka watoto wamchape vibao mwanafunzi Muislamu

    Hasira zatanda India baada ya mwalimu kuwataka watoto wamchape vibao mwanafunzi Muislamu

    Aug 27, 2023 13:32

    Wimbi la hasira limeibuka nchini India baada ya kusambaa kwenye mitandao ya kijamii vidio inayomuonyesha mwalimu wa skuli moja katika jimbo la Uttar Pradesh akimdhalilisha mwanafunzi Muislamu darasani kwa kuwataka wanafunzi wenzake wamchape vibao na kutaka pia afukuzwe skulini hapo kwa sababu ya dini yake.

  • Waislamu waghadhabishwa na kuchomwa moto Qur'ani Uholanzi

    Waislamu waghadhabishwa na kuchomwa moto Qur'ani Uholanzi

    Aug 19, 2023 10:28

    Waislamu katika kona zote za dunia wamehamakishwa na kitendo kingine cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, mara hii katika mji wa The Hague nchini Uholanzi.

  • Wasiwasi wa Waislamu Ujerumani wa kuongezeka hujuma dhidi ya misikiti

    Wasiwasi wa Waislamu Ujerumani wa kuongezeka hujuma dhidi ya misikiti

    Aug 17, 2023 07:24

    Mamilioni ya Waislamu nchini Ujerumani wana wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa wimbi la chuki dhidi ya Uislamu na hujuma na mashambulio dhidi ya misikiti nchini humo.

  • Baada ya kushindwa kijeshi, sasa Wamagharibi wameanzisha vita vya kiitikadi dhidi ya Waislamu

    Baada ya kushindwa kijeshi, sasa Wamagharibi wameanzisha vita vya kiitikadi dhidi ya Waislamu

    Aug 05, 2023 11:36

    Washiriki wa Kongamano la Kielimu na Kiutafiti la "Iraq al Qur'an" wamesisitiza kuwa, baada ya kufeli na kushindwa kijeshi huko Iraq, Syria, Palestina na Lebanon, sasa madola ya kibeberu duniani yameamua kuanzisha vita vya kiitikadi na kiutamaduni dhidi ya Waislamu.

  • "Umoja ndiyo njia bora ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu"

    Jul 09, 2023 10:53

    Rais wa Uturuki amesema kuna haja kwa umma wa Kiislamu kuungana na kuwa na mshikamano, ili uweze kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vilivyoshtadi katika nchi za Magharibi.

  • Iran yayaasa mataifa ya Waislamu kuungana kuzima njama za maadui

    Iran yayaasa mataifa ya Waislamu kuungana kuzima njama za maadui

    Jun 30, 2023 03:25

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu kuwa na umoja na mshikamano mkabala wa njama za maadui na lobi za Kizayuni, zenye azma ya kuibua mifarakano na ukosefu wa uthabiti katika nchi hizo.

  • Rais wa Iran atoa mkono wa baraka za Idi kwa wakuu wa nchi zote za Waislamu

    Rais wa Iran atoa mkono wa baraka za Idi kwa wakuu wa nchi zote za Waislamu

    Jun 29, 2023 02:54

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu na pongezi za Idi viongozi mbalimbali wa nchi za Waislamuu kwa mnasaba wa maadhimisho ya sikukuu ya Idul Adh'ha.

  • Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India

    Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India

    Jun 16, 2023 02:28

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni wa Kituo cha Utafiti wa Jamii Zinazoendelea (CSDS) huko New Delhi unaonyesha kuwa, sera za Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, zimezidisha mgawanyiko wa kidini nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS