-
Raisi: Umoja na mshikamano wa Waislamu ni jambo muhimu, la kimkakati
May 25, 2023 01:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja mshikamano, umoja na mfungamano wa Waislamu kuwa ni jambo muhimu na la kistratijia.
-
Kulalamikia vikali Waislamu Kanada sheria mpya ya marufuku ya kusali shuleni
May 23, 2023 02:22Waislamu nchini Kanada wamelalamikia vikali marufuku ya kusali iliyowekwa katika shule za serikali kwenye jimbo la Quebec.
-
Waislamu Canada walalamikia marufuku ya kusali iliyowekwa katika skuli za serikali
May 21, 2023 06:34Waislamu nchini Canada wamelalamikia marufuku ya kusali iliyowekwa katika skuli za serikali kwenye jimbo la Quebec.
-
Uturuki yawasilisha malamiko rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Denmark
Apr 02, 2023 03:06Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imemwita balozi wa Denmark nchini humo ili kutoa malalamiko yake ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Kukosoa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kampeni za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu
Mar 12, 2023 12:12Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa uenezaji hofu juu ya Uislamu na chuki za aina mbalimbali dhidi ya Uislamu na Waislamu duniani.
-
Waislamu Uingereza waandamana kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
Jan 29, 2023 07:23Waislamu wa Uingereza wamekusanyika mbele ya uubalozi wa Sweden mjini London wakilaani kitendo kiovu cha nchi hiyo ya Ulaya cha kuruhusu kudhalilishwa na kuvunjiwa heshika kitabu kitakatifu cha Qur'ani.
-
Nchi za Kiislamu zalaani kuvunjiwa heshima tena Qurani Uholanzi
Jan 25, 2023 11:48Mataifa na jumuiya za Kiislamu kote duniani zimelaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu nchini Uholanzi, siku chache baada ya kutokea uafriti mwingine wa kukichoma Kitabu hicho Kitakatifu cha Waislamu nchini Sweden.
-
Maulamaa wa India wakosoa hatua za serikali ya Modi dhidi ya Waislamu
Oct 16, 2022 02:25Jumuiya ya maulamaa wa Kiislamu wa India imewataka viongozi wa nchi hiyo katika jimbo la Utta Pradesh wakomeshe kile ilichokiita "hatua ya upande mmoja" dhidi ya Waislamu.
-
Waislamu London walaani kuvunjiwa heshima thamani za Kiislamu
Oct 02, 2022 07:38Waislamu wanaoishi London, mji mkuu wa Uingereza wamefanya maandamano ya kulalamikia vitendo vya kuvunjiwa heshima thamani za Kiislamu na chokochoko dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Kushadidi ubaguzi dhidi ya Waislamu nchini Uingereza; kielelezo cha chuki dhidi ya Uslamu barani Ulaya
Sep 16, 2022 04:01Katika muendelezo wa ubaguzi dhidi ya Waislamu wanaoishi nchini Uingereza, vyombo vya habari vimeripoti wiki hii juu ya kuweko mpango wa kupokonywa uraia wa nchi hiyo Waislamu wanaoishi nchini Uingereza na kutangazwa kuwa raia wa daraja la pili.