Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Wasiwasi wa Waislamu Ujerumani wa kuongezeka hujuma dhidi ya misikiti

    Wasiwasi wa Waislamu Ujerumani wa kuongezeka hujuma dhidi ya misikiti

    Aug 17, 2023 03:54

    Mamilioni ya Waislamu nchini Ujerumani wana wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa wimbi la chuki dhidi ya Uislamu na hujuma na mashambulio dhidi ya misikiti nchini humo.

  • Baada ya kushindwa kijeshi, sasa Wamagharibi wameanzisha vita vya kiitikadi dhidi ya Waislamu

    Baada ya kushindwa kijeshi, sasa Wamagharibi wameanzisha vita vya kiitikadi dhidi ya Waislamu

    Aug 05, 2023 08:06

    Washiriki wa Kongamano la Kielimu na Kiutafiti la "Iraq al Qur'an" wamesisitiza kuwa, baada ya kufeli na kushindwa kijeshi huko Iraq, Syria, Palestina na Lebanon, sasa madola ya kibeberu duniani yameamua kuanzisha vita vya kiitikadi na kiutamaduni dhidi ya Waislamu.

  • "Umoja ndiyo njia bora ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu"

    Jul 09, 2023 07:23

    Rais wa Uturuki amesema kuna haja kwa umma wa Kiislamu kuungana na kuwa na mshikamano, ili uweze kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vilivyoshtadi katika nchi za Magharibi.

  • Iran yayaasa mataifa ya Waislamu kuungana kuzima njama za maadui

    Iran yayaasa mataifa ya Waislamu kuungana kuzima njama za maadui

    Jun 29, 2023 23:55

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu kuwa na umoja na mshikamano mkabala wa njama za maadui na lobi za Kizayuni, zenye azma ya kuibua mifarakano na ukosefu wa uthabiti katika nchi hizo.

  • Rais wa Iran atoa mkono wa baraka za Idi kwa wakuu wa nchi zote za Waislamu

    Rais wa Iran atoa mkono wa baraka za Idi kwa wakuu wa nchi zote za Waislamu

    Jun 28, 2023 23:24

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu na pongezi za Idi viongozi mbalimbali wa nchi za Waislamuu kwa mnasaba wa maadhimisho ya sikukuu ya Idul Adh'ha.

  • Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India

    Kupanuka zaidi mpasuko wa kidini nchini India

    Jun 15, 2023 22:58

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni wa Kituo cha Utafiti wa Jamii Zinazoendelea (CSDS) huko New Delhi unaonyesha kuwa, sera za Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, zimezidisha mgawanyiko wa kidini nchini humo.

  • Raisi: Umoja na mshikamano wa Waislamu ni jambo muhimu, la kimkakati

    Raisi: Umoja na mshikamano wa Waislamu ni jambo muhimu, la kimkakati

    May 24, 2023 22:29

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja mshikamano, umoja na mfungamano wa Waislamu kuwa ni jambo muhimu na la kistratijia.

  • Kulalamikia vikali Waislamu Kanada sheria mpya ya marufuku ya kusali shuleni

    Kulalamikia vikali Waislamu Kanada sheria mpya ya marufuku ya kusali shuleni

    May 22, 2023 22:52

    Waislamu nchini Kanada wamelalamikia vikali marufuku ya kusali iliyowekwa katika shule za serikali kwenye jimbo la Quebec.

  • Waislamu Canada walalamikia marufuku ya kusali iliyowekwa katika skuli za serikali

    Waislamu Canada walalamikia marufuku ya kusali iliyowekwa katika skuli za serikali

    May 21, 2023 03:04

    Waislamu nchini Canada wamelalamikia marufuku ya kusali iliyowekwa katika skuli za serikali kwenye jimbo la Quebec.

  • Uturuki yawasilisha malamiko rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Denmark

    Uturuki yawasilisha malamiko rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Denmark

    Apr 01, 2023 23:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imemwita balozi wa Denmark nchini humo ili kutoa malalamiko yake ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS