Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakala

  • Shughuli za kijeshi za nyuklia za utawala wa Kizayuni, chanzo  cha wasiwasi wa jamii ya kimataifa

    Shughuli za kijeshi za nyuklia za utawala wa Kizayuni, chanzo cha wasiwasi wa jamii ya kimataifa

    Nov 26, 2017 07:21

    Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), amesema shughuli za nyuklia za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel ni chanzo kikuu cha wasiwasi wa mataifa ya eneo la Mashariki ya Kati na jamii ya kimataifa kwa ujumla.

  • Iran itaendelea kushirikiana na IAEA, kufungamana na JCPOA

    Iran itaendelea kushirikiana na IAEA, kufungamana na JCPOA

    Oct 30, 2017 08:00

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema kuna haja Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) uendelee kuwa chombo huru na kisichoegemea upande wowote akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuimarisha ushirikiano wake na wakala huo.

  • IAEA: Iran imeheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    IAEA: Iran imeheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Oct 29, 2017 15:53

    Kwa mara nyingine tena Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) amesema kuwa Iran imefungamana na kutekeleza wajibu na majukumu yake kuhusu makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Kikao cha Bodi ya Magavana wa IAEA, Majukumu na Matarajio

    Kikao cha Bodi ya Magavana wa IAEA, Majukumu na Matarajio

    Sep 12, 2017 07:08

    Kikao cha Bodi ya Magavana wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kilifanyika jana Jumatatu katika makao makuu ya wakala huo mjini Vienna, Austria.

  • IAEA yasisitiza kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    IAEA yasisitiza kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    Jun 03, 2017 07:51

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umetoa ripoti na kwa mara nyingine umethibitisha kuwa Iran imeheshimu kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • IAEA: Iran inatekeleza ipasavyo makubaliano ya nyuklia

    IAEA: Iran inatekeleza ipasavyo makubaliano ya nyuklia

    Apr 02, 2016 07:05

    Kwa mara nyingine tena Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umetoa ithibati kuwa serikali ya Tehran inatekelezwa barabara makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati yake na kundi la 5+1 Julai mwaka jana 2015.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS