-
Kenya kufunga kambi za wakimbizi kutokana na sababu za kiusalama
May 06, 2016 08:48Kenya imesema inatathmini kufunga kambi zote za wakimbizi nchini humo zikiwemo za Dadaab na Kakuma zenye idadi kubwa ya raia wa Somalia hivi karibuni.
-
Ban atiwa uchungu na suala la wakimbizi wa Palestina
May 05, 2016 00:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, ameeleza kutiwa uchungu na suala la hatima ya wakimbizi wa Palestina wapatao milioni 5.2, ambalo halijapatiwa suluhu kwa muda mrefu.
-
Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji
May 03, 2016 23:53Afrika Kusini na Zimbabwe zimewarejesha nyumbani raia 197 wa Msumbiji. Hayo yamesemwa na Idhaa ya Taifa ya Msumbuji.
-
Nchi za Ulaya haziwasaidii wakimbizi wanaozama baharani
Apr 26, 2016 22:59Nchi za Ulaya hazijachukua hatua za kutosha kuwanusuru wakimbizi wanaozama baharini wakijaribu kufika barani Ulaya kwa njia hatari za baharini.
-
Mfuko wa UN wa kuwasaidia wakimbizi wa Sudan Kusini wakauka
Apr 26, 2016 03:49Umoja wa Mataifa umeonya kuwa unakabiliwa na uhaba mkubwa wa fedha za kuwasaidia maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini na haswa ambao wamekimbilia nchi jirani ya Sudan.
-
Faili la kuchunguza hali ya Burundi lafunguliwa katika mahakama ya ICC
Apr 25, 2016 10:36Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imefungua faili maalumu la kufuatilia hali ya kisiasa na kiusalama ya Burundi.
-
UNHCR: Wananchi wa Burundi wanazidi kuikimbia nchi yao
Apr 22, 2016 23:51Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi (UNHCR), limetangaza kuwa idadi ya wakimbizi wa Burundi wanaoomba hifadhi nchi jirani inaongezeka na sasa imefikia 260,000.
-
UN yathibitisha, mamia ya wahajiri wameghariki pwani ya Libya
Apr 21, 2016 02:44Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa, mamia ya wahamiaji haramu wamezama katika maji ya ya Libya baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama baharini.
-
Ujerumaini kufukuza wakimbizi zaidi
Apr 09, 2016 22:36Mratibu wa masuala ya wakimbizi wa serikali ya Ujerumaini amesema kuwa, nchi hiyo inapaswa kuongeza idadi ya wakimbizi inaowarudisha makwao.
-
NATO kupanua operesheni za kukabiliana na wakimbizi
Mar 07, 2016 12:46Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la NATO, Jens Stoltenberg amesema kuwa jumuiya hiyo itapanua zaidi operesheni zake katika maji ya karibu na nchi za Ugiriki na Uturuki ili kuzuia wimbi la wahamiaji haramu kuelekea katika nchi za Magharibi.