Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • NATO kupanua operesheni za kukabiliana na wakimbizi

    NATO kupanua operesheni za kukabiliana na wakimbizi

    Mar 07, 2016 12:46

    Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la NATO, Jens Stoltenberg amesema kuwa jumuiya hiyo itapanua zaidi operesheni zake katika maji ya karibu na nchi za Ugiriki na Uturuki ili kuzuia wimbi la wahamiaji haramu kuelekea katika nchi za Magharibi.

  • Mateso ya wakimbizi barani Ulaya

    Mateso ya wakimbizi barani Ulaya

    Mar 01, 2016 06:39

    Wakimbizi kutoka nchi za Mashariki ya Kati hususan Syria wanaendelea kuteseka barani Ulaya.

  • Rwanda yataka wakimbizi wa Burundi waondoke

    Rwanda yataka wakimbizi wa Burundi waondoke

    Feb 24, 2016 07:09

    Rwanda imesema ni lazima wakimbizi wa Burundi walioko kwenye nchi hiyo wahamishiwe kwenye nchi ya tatu.

  • Ban Ki-moon atembelea kambi ya wakimbizi Goma, DRC

    Ban Ki-moon atembelea kambi ya wakimbizi Goma, DRC

    Feb 24, 2016 04:06

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon baada ya kutoka Burundi ameelekea Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambapo ametembelea kambi ya wakimbizi.

  • Wito wa kimataifa wa kudhamini usalama wa wakimbizi

    Wito wa kimataifa wa kudhamini usalama wa wakimbizi

    Feb 21, 2016 04:48

    Taasisi kadhaa za kimataifa zimetoa wito wa kudhaminiwa usalama na kulindwa maisha ya wakimbizi wanaojaribu kuingia Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranea.

  • Matatizo ya wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania

    Matatizo ya wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania

    Feb 18, 2016 21:57

    Karibu wakimbizi 130,000 kutoka Burundi wameingia Tanzania kufuatia mgogoro unaoendelea ndani ya nchi yao.

  • Wakimbizi wa Burundi waongezeka Tanzania

    Wakimbizi wa Burundi waongezeka Tanzania

    Feb 07, 2016 22:17

    Wakimbizi zaidi kutoka Burundi wanazidi kumiminika Tanzania kutokana na kuzidi kutokota mgogoro wa kisiasa katika nchi hiyo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS