Mateso ya wakimbizi barani Ulaya
https://parstoday.ir/sw/news/world-i2212-mateso_ya_wakimbizi_barani_ulaya
Wakimbizi kutoka nchi za Mashariki ya Kati hususan Syria wanaendelea kuteseka barani Ulaya.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Mar 01, 2016 06:39 UTC
  • Mateso ya wakimbizi barani Ulaya

Wakimbizi kutoka nchi za Mashariki ya Kati hususan Syria wanaendelea kuteseka barani Ulaya.

Mateso wanayopata wakimbizi wa Mashariki ya Kati hususan wa Syria barani Ulaya ni makubwa kiasi kwamba, wamechoka kutelekezwa kwenye maeneo ya mpakani katika mazingira magumu ya baridi kali na hali mbaya sana ya hewa.