Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • WFP yaonya juu ya kupungua msaada wa chakula kwa wakimbizi Kenya

    WFP yaonya juu ya kupungua msaada wa chakula kwa wakimbizi Kenya

    May 23, 2025 02:59

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) jana Alkhamisi lilionya kwamba, wakimbizi nchini Kenya wanakabiliwa na hatari kubwa ya njaa huku uhaba mkubwa wa fedha ukilazimisha shirika hilo kupunguza msaada wa chakula hadi viwango vya chini zaidi.

  • IOM yaomba ufadhili wa dola milioni 81 kwa ajili ya Afrika Mashariki

    IOM yaomba ufadhili wa dola milioni 81 kwa ajili ya Afrika Mashariki

    Feb 12, 2025 09:22

    Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa (IOM) na washirika 45 wa masuala ya kibinadamu na kimaendeleo wameiomba jamii ya kimataifa msaada wa dola milioni 81 kwa ajili ya kuokoa maisha kwa zaidi ya wahamiaji milioni moja wakiwemo wanawake na watoto na jumuiya zinazowahifadhi katika nchi za Djibouti, Ethiopia, Somalia, Tanzania, Kenya na Yemen.

  • Wakuu wa Amerika Kusini: Uamuzi wa Trump wa kuwafukuza wahamiaji ni ukiukaji wa haki za binadamu

    Wakuu wa Amerika Kusini: Uamuzi wa Trump wa kuwafukuza wahamiaji ni ukiukaji wa haki za binadamu

    Jan 19, 2025 11:32

    Katika kipindi cha kukaribia kuanza awamu nyingine ya utawala wa Donald Trump kama Rais wa Marekani, wawakilishi na maafisa wa nchi mbalimbali za Amerika Kusini, katika tamko lao, wamebainisha wasiwasi wao kuhusu utekelezaji wa sera ya kufukuzwa wahamiaji kutoka nchi tofauti.

  • Umoja wa Mataifa wapongeza ukarimu wa Iran kwa wakimbizi

    Umoja wa Mataifa wapongeza ukarimu wa Iran kwa wakimbizi

    Aug 22, 2024 02:18

    Afisa msimamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR hapa nchini Iran ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu kwa kuwapokea kwa ukarimu na kuwa mwenyeji wa wakimbizi.

  • Le Monde: Hakuna matumaini ya kukomeshwa vita hivi karibuni nchini Sudan

    Le Monde: Hakuna matumaini ya kukomeshwa vita hivi karibuni nchini Sudan

    Feb 11, 2024 12:07

    Ripoti iliyochapishwa na gazeti la Ufaransa la Le Monde imesema kwamba, baada ya zaidi ya miezi 9 ya vita kati ya Jeshi la Sudan linaloongozwa na Abdel Fattah al-Burhan na Vikosi vya Msaada wa Haraka chini ya uongozi wa Mohamed Hamdan Dagalo, hakuna uwezekano wa kumalizika vita hivyo karibuni.

  • Kuendelea hitilafu katika Umoja wa Ulaya kuhusu wahamiaji

    Kuendelea hitilafu katika Umoja wa Ulaya kuhusu wahamiaji

    Oct 08, 2023 02:27

    Hitilafu kuhusu kadhia ya wahamiaji miongoni mwa nchi za Umoja wa Ulaya zingali zinaendelea licha ya makubaliano ya hivi karibuni kuhusu suala hilo.

  • Indhari ya Borrell kuhusu uwezekano wa kusambaratika Umoja wa Ulaya

    Indhari ya Borrell kuhusu uwezekano wa kusambaratika Umoja wa Ulaya

    Sep 24, 2023 02:20

    Josep Borrell Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametahadharisha kuwa umoja huo unakabiliwa na mgawanyiko mkubwa kuhusu sera za uhamiaji na kwamba suala hilo linaweza kuufanya Umoja wa Ulaya uvunjike.

  • Makumi ya wakimbizi wakufa njaa Gambella, Ethiopia

    Makumi ya wakimbizi wakufa njaa Gambella, Ethiopia

    Sep 22, 2023 02:43

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Ethiopia (EHRC) imesema wakimbizi zaidi ya 30 wamepoteza maisha kutokana na njaa na utapiamlo katika jimbo la Gambella lililoko magharibi ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • EU yashutumiwa kwa kuwabagua wakimbizi wa Kiafrika

    EU yashutumiwa kwa kuwabagua wakimbizi wa Kiafrika

    Aug 19, 2023 03:52

    Umoja wa Ulaya umeendelea kukosolewa kwa kutekeleza sera za kibaguzi dhidi ya wakimbizi kutoka Ukraine kwa upande mmoja, na wale wanaotoka nchi za Afrika na bara Asia kwa upande wa pili.

  • Iran: Mapuuza ya Magharibi yameshadidisha mgogoro wa wakimbizi

    Iran: Mapuuza ya Magharibi yameshadidisha mgogoro wa wakimbizi

    Jun 21, 2023 03:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Magharibi inajaribu kukwepa kubeba dhima ya mgogoro wa wakimbizi unaoshuhudiwa hivi sasa, na kwamba sera mbovu za Marekani na nchi za Ulaya ndizo zinazofaa kulaumiwa kwa mgogoro huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS