-
Mshauri wa Trump aliyejiuzulu adai: Marekani inaweza ikaishambulia Iran kwa silaha za nyuklia
Aug 30, 2026 12:17Mshauri wa zamani wa rais wa Marekani wa masuala ya kupambana na ugaidi Joe Kent, amedai kuwa Marekani inaweza ikatumia silaha za nyuklia dhidi ya Iran baada ya kushindwa kuupindua mfumo wa utawala wa Iran kwa kutumia silaha za kawaida.
-
Guterres ataka mataifa yenye silaha za nyuklia yakomeshe majaribio ya nyuklia huku tishio la Israel likishadidi
Aug 30, 2026 03:37Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amezitaka nchi zote zinazomiliki silaha za nyuklia kuendeleza usitishaji wa majaribio ya nyuklia na kuchukua hatua za haraka kuhakikisha Mkataba wa Kupiga Marufuku Majaribio ya Nyuklia (CTBT) unaanza kutekelezwa.
-
Mafuriko ya Nepal na China: Watu 676 wapoteza maisha, karibu 3,000 hawajulikani walipo
Aug 30, 2026 03:33Wakati juhudi za uokoaji katika jamii zilizofukiwa na mafuriko makubwa ya ghafla kando ya mpaka wa Nepal na China zikiingia siku ya nne siku ya Jumamosi, mamlaka husika ziliendelea kuwaokoa manusura na kuwahamishia maeneo salama.
-
Waziri wa Fedha wa Ujerumani amwambia Trump: Komesha vita 'visivyo na uwajibikaji' dhidi ya Iran
Aug 29, 2026 10:14Waziri wa Fedha wa Ujerumani amemtaka Rais Donald Trump wa Marekani kukomesha vita "visivyo vya kuwajibika" dhidi ya Iran.
-
"Wanataka kututisha": Mwanachama wa zamani wa Palestine Action akosoa vikwazo vya Trump
Aug 29, 2026 02:44Mwanachama wa zamani wa harakati ya Palestine Action ameikosoa serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kwa kuliwekea vikwazo shirika hilo, ambalo linafanya kazi kwa bidii kupinga biashara ya silaha inayounga mkono mashambulizi ya kijeshi ya Israel dhidi ya watu wa Palestina.
-
Mamia waaga dunia katika mafuriko ya Nepal, zaidi ya 1000 hawajulikani walipo
Aug 28, 2026 09:59Idadi ya vifo kutokana na mafuriko katika milima ya Himalaya imeongezeka hadi kufikia watu 469, huku zaidi ya watu 1,000 wakiwa bado hawajulikani walipo.
-
Boris Johnson: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran yalikuwa “kosa kubwa la kimkakati”
Aug 28, 2026 09:57Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Boris Johnson, amesema hatua ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran ilikuwa “kosa”, akieleza kuwa Washington iliingia katika mtego wa wazi bila kuwa na mkakati madhubuti wala malengo yaliyoainishwa.
-
Russia: Vituo vya kijeshi vya UK ndani ya Ukraine na kwengineko vinaweza vikawa walengwa wa mashambulizi yetu
Aug 28, 2026 03:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia Maria Zakharova ameonya kuwa, zana na vifaa vya kijeshi vya Uingereza vilivyoko nchini Ukraine na kwingineko vinaweza kuwa walengwa halali wa mashambulizi ya Russia ikiwa Kiev itaendelea kutumia silaha zinazotolewa na Uingereza kushambulia maeneo ya ardhi ya Russia.
-
Ripoti: Nchi 125 zawajibika kisheria kumkamata Netanyahu huku hati ya ICC ikimnyemelea Waziri Mkuu huyo wa Israel
Aug 27, 2026 04:20Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anakabiliwa na vizuizi vikali kimataifa vya kusafiri huku nchi 125 duniani zikiwajibika kisheria kwa kuwa wanachama katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kumtia mbaroni mtenda jinai huyo iwapo awasili katika nchi hizo.
-
Ripoti mpya: Mashambulizi ya Iran yalisababisha uharibifu kwa vituo vya ujasusi vya US ambao "haujawahi kushuhudiwa"
Aug 26, 2026 11:16Mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamesababisha "uharibifu ambao haujawahi kushuhudiwa" kwa vituo vya ujasusi vya Marekani na vifaa vyake vya upelelezi kote Mashariki ya Kati.