-
Rais wa Belarus: Wairani hawajawahi kumpigia magoti mtu yeyote
Sep 20, 2026 04:29Rais Alexander Lukashenko wa Belarus amesema kuwa, warithi wa Wairani, watu wa nchi hiyo, hawajawahi kumpigia magoti mtu yeyote. Je, Marekani haifahamu historia hii?”
-
Timu ya Pakistan yasusia mchezo dhidi ya Israel katika mashindano ya sataranji ikiunga mkono Palestina
Sep 19, 2026 03:07Timu ya taifa ya Pakistan imekataa kucheza dhidi ya timu ya utawala ghasibu wa Israel katika raundi ya kwanza ya Olimpiki ya Dunia ya Sataranji (Chess) ya FIDE 2026, inayoendelea mjini Samarkand, Uzbekistan.
-
Kansela wa Ujerumani: Enzi ya urafiki usio na masharti na Marekani imekwisha
Sep 19, 2026 03:03Kansela wa Ujerumani amesema kuwa, ile enzi ya urafiki usio na masharti kati ya Ulaya na Marekani imekwisha, huku akiyataka madola ya Ulaya kubeba jukumu kubwa zaidi katika ulinzi na usalama wake.
-
Marekani yajitoa Baraza la Haki za Binadamu baada ya ujumbe wa UN kuitaja kuwa ilifanya uhalifu wa kivita nchini Iran
Sep 19, 2026 03:02Marekani imejiondoa rasmi katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), siku moja baada ya ujumbe wa uchunguzi wa UN kusema kwamba kuna ‘sababu za msingi za kuamini’ kuwa vikosi vya Marekani vilifanya uhalifu wa kivita katika mashambulizi mawili dhidi ya maeneo ya raia nchini Iran.
-
Pigo jingine kwa Trump; Korea Kusini yapinga kupeleka wanajeshi Hormuz
Sep 18, 2026 10:37Licha ya kuweko mashinikizo makubwa na ya pande zote ya Marekani, lakini Rais wa Korea Kusini ametangaza kuwa nchi yake haina nia ya kupeleka wanajeshi katika Lango-Bahari La Hormuz la kusini mwa Iran.
-
Petroli ya Euro 3 yazusha fujo na malalamiko Ujerumani
Sep 18, 2026 10:34Kupaa vibaya na kwa kasi bei ya mafuta nchini Ujerumani kumewakasirisha madereva na kuiweka serikali katika mashinikizo ya kutafuta suluhisho la haraka.
-
The Nation: Iran “haikusalimu amri”, Marekani iko katika hatihati ya kupiga magoti
Sep 18, 2026 03:48Chombo cha habari cha Marekani The Nation, katika makala kali iliyoikosoa vikali serikali ya nchi hiyo kwa kuingia vitani na Iran, kimeandika:
-
Je, BRICS iko tayari kuwa na nafasi athirifu zaidi katika mfumo wa dunia?
Sep 17, 2026 05:37Katika mkutano wa 18 wa kilele wa BRICS mjini New Delhi India, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huku akisisitiza umuhimu wa jumuiya hiyo kuunga mkono na kutetea mamlaka ya kitaifa pamoja na umoja wa ardhi na wakati huo huo kupinga matumizi ya nguvu, ametoa wito kwa BRICS kuwa na nafasi zaidi katika mausala ya kimataifa, nafasi inayovuka mipaka ya ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara pekee.
-
Beki Mfaransa wa Klabu ya Barcelona ataka kukombolewa Palestina
Sep 17, 2026 02:44Jules Koundé, beki Mfaransa wa klabu ya soka ya Barcelona ya Uhispania, kwa mara nyingine ameonyesha himaya na uungaji mkono wake kwa taifa la Palestina na kutoa wito wa kukombolewa ardhi hiyo.
-
Von der Leyen: Vita dhidi ya Iran vimeigharimu Ulaya Euro bilioni 90 za ziada
Sep 17, 2026 02:40Rais wa Kamisheni ya Ulaya, Ursula von der Leyen amesema vita dhidi ya Iran hadi sasa vimeisababishia Umoja wa Ulaya gharama ya ziada ya euro bilioni 90 kutokana na kuongezeka gharama za uagizaji wa nishati ya mafuta kutoka nje.