-
Cuba yatangaza vifo vya raia wake 32 katika shambulio la Marekani dhidi ya Venezuela.
Jan 05, 2026 08:27Serikali ya Cuba imetangaza kwamba raia wake 32 waliuawa wakati wa shambulio la Marekani dhidi ya Venezuela siku ya Jumamosi, ambapo askari wa kikosi maalumu wa Marekani walimteka nyara Rais Nicolas Maduro na mkewe na kuwapeleka New York.
-
ECOWAS yasisitiza kuheshimiwa uhuru wa Venezuela kufuatia uvamizi wa kijeshi wa Marekani
Jan 05, 2026 08:02Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imeitaka jamii ya kimataifa kuheshimu uhuru na mamlaka ya kitaifa ya Venezuela kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya nchi hiyo yaliyopelekea kukamatwa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe.
-
Rais wa Colombia atahadharisha: Amerika ya Latini inapasa kuungana la sivyo watafanywa kama watumwa
Jan 05, 2026 07:50Rais Gustavo Petro wa Colombia ametahadharisha kuwa nchi za Amerika ya Latini ni lazima ziungane, kinyume chake zitakabiliwa na hatari ya kufanywa kama watumwa. Rais wa Colombia ametamka haya kufuatia vitisho mtawalia vya Rais Donald Trump wa Marekani vinavyojumuisha uwezekano wa kufanyika oparesheni ya kijeshi dhidi ya Colombia.
-
Vyombo vya habari vya Israel: Madawa ya kulevya ni kisingizio tu; shabaha ya Trump ni mafuta ya Venezuela
Jan 05, 2026 02:44Vyombo vya habari vya Israel vimekiri kwamba, lengo la Rai wa Marekani Donald Trump la kuanzisha shambulio la kijeshi dhidi ya Venezuela halikuwa kupambana na biashara haramu ya madawa ya kulevya bali kupora rasilimali za nchi hiyo.
-
Kwa nini dunia imelaani hatua za kijeshi za Marekani dhidi ya Venezuela?
Jan 05, 2026 02:42Hatua ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela na kutekwa nyara Rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro, imekabiliwa na wimbi kubwa la laana na ukosoaji mkubwa kote duniani.
-
Kaimu Rais wa Venezuela: Kuna mkono wa Israel katika utekaji wa Maduro
Jan 04, 2026 12:36Kaimu Rais wa Venezuela, aliyeidhinishwa na Mahakama ya Juu Zaidi nchini humo, amesema kulikuwa na "kivuli cha Wazayuni" katika operesheni ya kutekwa nyara Rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro.
-
Mashambulizi ya US yaliua makumi ya watu Venezuela; Afrika Kusini yalaani
Jan 04, 2026 10:30Zaidi ya watu 40 waliuawa katika mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Venezuela siku ya Jumamosi, wakiwemo raia na wanajeshi, gazeti la New York Times limeripoti, likimnukuu afisa mkuu wa Venezuela ambaye hakutaka jina lake litajwe.
-
Marekani yaripuka kwa maandamano ya kulaani uvamizi wa kijeshi dhidi ya Venezuela
Jan 04, 2026 10:15Wananchi wa Marekani wamemiminika mitaani na mabarabarani kote nchini humo kushiriki maandamano ya kupinga na kushutumu uchokozi wa kijeshi wa Washington dhidi ya Venezuela, na kutekwa nyara kwa Rais Nicolas Maduro na mkewe, Cilia Flores.
-
Makamu wa Rais Rodriguez: Maduro ndiye rais pekee wa Venezuela; hatukubali kukoloniwa
Jan 04, 2026 07:32Makamu wa Rais wa Venezuela, Delcy Rodríguez, amelaani vikali shambulio la kijeshi la Marekani aliloliita kinyume cha sheria, ambalo limesababisha kutekwa kwa Rais Nicolás Maduro na Mkewe Cilia Flores. Rodríguez ameitaka Marekani iwaachilie wawili hao mara moja na akaonya kuwa Venezuela iko tayari kujilinda.
-
Meya Mamdani wa New York apongezwa kwa hatua dhidi ya Israel
Jan 04, 2026 07:31Wanaharakati wa kutetea haki za Wapalestina wamemsifu Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, kwa kufuta amri za kiutawala zilizokuwa zikizuia shughuli za makundi yanayounga mkono Palestina.