-
Ripoti ya kila mwaka ya Human Rights Watch: Idadi ya mashahidi waliouawa Gaza inazidi makadirio rasmi
Feb 04, 2026 07:31Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limethibitisha katika ripoti yake ya kila mwaka iliyotolewa leo Jumatano kwamba katika mwaka mzima wa 2025 Israel ilifanya uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu, vitendo vya mauaji ya kimbari na maangamizii ya kizazi dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi, na kusababisha vifo, majeraha na kuhamishwa kwa lazima mamia ya maelfu ya watu, kwa kushirikiana na Marekani.
-
Duru za Kimataifa: Israel inatumia mrengo wa kulia wa Ulaya kupiga vita Uislamu
Feb 04, 2026 07:20Vyombo vya habari vya kimataifa viimefichua uhusiano unaokua kati ya utawala haramu wa Israel na mrengo wa kulia barani Ulaya, hasa katika kupiga vita Uislamu na Waislamu katika nchi za bara hilo.
-
Waislamu waadhimisha siku ya kuzaliwa Mwokozi wa Akheri Zamani
Feb 04, 2026 04:27Waislamu wa madhehebu ya Shia katiika maeneo mbalimbali ya dunia Leo Jumatano mwezi 15 Shaaban wanaadhimisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam wa Zama, Imam Mahdi AS, Imam wa 12 wa katika kizazi cha Mtume wetu Muhammad (SAW).
-
Russia yakosoa vitisho vya Marekani dhidi ya Iran yasema 'havikubaliki'
Feb 03, 2026 09:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Ruussiia amesoa vitisho vya Marekani dhidi ya Iran akisema 'havikubaliki' huku Moscow ikitaka kupunguzwa mashinikizo ya Marekani dhiidi ya Iran.
-
Pompeo aanika nafasi ya US katika ghasia za karibuni nchini Iran
Feb 03, 2026 03:11Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA, Mike Pompeo, amekiri kwamba, Washington ilikuwa na mchango wa moja kwa moja katika ghasia za hivi karibuni nchini Iran, akisema Marekani "iliwasaidia moja kwa moja" wafanya fujo.
-
Nazma Khan: Chuki dhidi ya Uislamu Magharibi inalenga kunyamazisha sauti za wanawake Waislamu
Feb 03, 2026 02:27Nazma Khan, mwanzilishi wa "Siku ya Hijabu Duniani", ameiambia televisheni ya Al Jazeera ya Qatar kwamba chuki dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi haiishii tena katika vitendo vya ukatili au uonevu, bali imechukua sura hatari zaidi ya kunyamazisha sauti za wanawake Waislamu kwa jina la kutetea haki zao.
-
Jinai za kigaidi za majeshi ya Ulaya; Hadithi 5 zilizochaguliwa kutoka mabara 5
Feb 03, 2026 02:26Majeshi ya nchi za Ulaya yamefanya jinai barani Ulaya na katika mabara mengine duniani katika karne chache zilizopita.
-
Maelfu waandamana kote Ulaya kuunga mkono Palestina, kulaani ukatili wa Israel
Feb 01, 2026 10:32Waelfu kwa maelfu ya watu wamejitokeza mitaani katika nchi kadhaa za Ulaya kushiriki maandamano ya kuunga mkono Palestina, huku wakiushutumu utawala wa Israel kwa kukiuka mara kwa mara makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza kati yake na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas.
-
Majasusi wa Magharibi: Iran haiundi silaha za nyuklia
Feb 01, 2026 09:41Mashirika ya ujasusi ya nchi za Magharibi yamesema hakuna dalili yoyote inayoashiria kwamba Iran inarutubisha urani kwa ajili ya "kufikia kiwango cha mabomu," gazeti la New York Times limeripoti, likinukuu vyanzo mbali mbali.
-
US yaidhinisha kuiuzia silaha Israel za $ bilioni 6.6 zikiwemo inazotumia kuulia Wapalestina
Feb 01, 2026 02:27Serikali ya Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 6.67 kwa utawala wa kizayuni wa Israel wakati huu ambapo kuna usitishaji mapigano unaolegalega katika vita vya mauaji ya kimbari vilivyoanzishwa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.