-
Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran
Feb 25, 2026 07:00Kiongozi wa wabunge wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema, Rais wa Marekani Donald Trump anasema uwongo kuhusu Iran.
-
Venezuela yaitaka UN iishinikize Marekani imwachie huru Maduro wiki kadhaa baada ya kumteka nyara
Feb 24, 2026 08:02Venezuela imewasilisha ombi rasmi kwa Umoja wa Mataifa ikitaka kuachiwa huru mara moja Rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro, kufuatia kutekwa nyara na wanajeshi wa Marekani katika operesheni ya mapema mwezi Januari mwaka huu ambayo Caracas imeitaja kuwa 'kinyume cha sheria'.
-
'Hapana, asante': Jibu la Waziri Mkuu wa Greenland kwa Trump kuhusu kuwapatia meli ya hospitali
Feb 24, 2026 04:06Waziri Mkuu wa Greenland Jens-Frederik Nielsen ameikataa ofa ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kutuma meli ya hospitali katika eneo hilo la Denmark linalojiendeshea mambo yake, ambalo Trump amekuwa akilifuatilia kwa muda mrefu ili kulinyakua.
-
Kiongozi wa chama cha BSW Ujerumani atoa wito kwa nchi yake kuondoa vikwazo dhidi ya Iran
Feb 23, 2026 10:01Kiongozi wa chama cha Union for Reason and Justice cha Ujerumani, Sarah Wagenknecht, anatoa wito kwa serikali ya nchi yake kuondoa vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Iran na kuzuia Marekani kutumia kambi za kijeshi nchini Ujerumani kuanzisha mashambulizi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Mwandishi wa habari mtajika wa Marekani: Israel ni mzigo mkubwa zaidi wa kigeni kwa Marekani
Feb 23, 2026 09:35Mwandishi mashuhuri wa habari wa Marekani, amekosoa waziwazi sera za Washington kuhusu Israel, akisema utawala huo ni mzigo mkubwa zaidi wa kigeni kwa Marekani.
-
Wamarekani wahoji: Je, Huckabee anawakilisha maslahi ya Washington au Tel Aviv?
Feb 23, 2026 03:14Kauli na matamshi ya balozi wa Marekani huko Israel, Mike Huckabee, yamesababisha hasira kubwa baada ya kusema kwamba utawala ghasibu wa Israel una haki ya kupanua eneo lake kwa kupora eneo kubwa la Mashariki ya Kati la nchi kadhaa za Kiarabu na Kiislamu, kwa mujibu wa tafsiri maarufu za Torati ndani ya harakati za Kikristo yenye msimamo mkali nchini Marekani.
-
Türk: Akili Mnemba izingatie ujumuishaji, uwajibikaji na viwango vya kimataifa
Feb 22, 2026 12:15Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu, Volker Türk, ameonya kuwa bila kuweka mifumo madhubuti ya udhibiti kwa haraka, akili mnemba (AI) inaweza kuongeza pengo la usawa, kuimarisha upendeleo na kusababisha madhara halisi katika jamii.
-
Pakistan: Suala la kuitambua rasmi Israel halipo kabisa katika ajenga zetu
Feb 22, 2026 06:47Waziri wa Ulinzi wa Pakistan amesisitiza kwamba, suala la kuutambua rasmi utawala wa Kizayuni wa Israel si jambo ambalo lipo katika ajenga za nchi hiyo.
-
Mjibizo hasi wa maoni ya umma wa Marekani kwa sera za kupenda vita za Trump
Feb 22, 2026 06:30Maoni ya umma nchini Marekani katika mwaka huu wa 2026, yanapinga vikali chokochoko yoyote mpya ya kijeshi dhidi ya Iran. Fikra za walio wengi nchini Marekani zina mtazamo hasi kuhusiana na sera za kupenda vita za Rais mtata Donald Trump.
-
Kwa nini Amnesty International imelaani operesheni za kijeshi za Marekani huko Karibiani na Pasifiki?
Feb 22, 2026 02:29Shirika la Amnest International limelaani mashambulizi ya Marekani katika eneo la Karibiani na huko Pasifiki.