Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Kenya: Tumemuua kamanda wa Intelijinsia wa Al-Shabab

    Kenya: Tumemuua kamanda wa Intelijinsia wa Al-Shabab

    Feb 18, 2016 15:06

    Jeshi la Kenya limetangaza kuwa limemuua kamanda mkuu wa kikosi maalumu cha kundi la kigaidi na kitakfiri la Al-Shabab la Somalia ambaye anaaminika kuwa ndiye aliyepanga shambulio hatari la mwezi uliopita dhidi ya kambi ya wanajeshi wa Kenya huko kusini mwa Somalia.

  • Mashambulio ya Saudia yaua makumi ya raia wa Yemen

    Mashambulio ya Saudia yaua makumi ya raia wa Yemen

    Feb 14, 2016 07:09

    Watu 15 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika mashambulio ya anga yaliyofanywa alfajiri ya kuamkia leo na ndege za kivita za utawala wa Aal Saud katika mji wa kale na wa kihistoria wa Kaukaban ulioko mkoani Al Mahwit magharibi mwa Yemen.

  • Makumi wauawa Nigeria katika mashambulio ya Boko Haram

    Makumi wauawa Nigeria katika mashambulio ya Boko Haram

    Feb 14, 2016 07:08

    Watu 30 wameuawa katika mashambulio mapya yaliyofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika vijiji viwili vya kaskazini mwa Nigeria.

  • Walinda amani wawili wa UN wauawa Mali

    Walinda amani wawili wa UN wauawa Mali

    Feb 12, 2016 15:20

    Askari wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wameuawa katika hujuma ya kigaidi kaskazini mwa Mali.

  • Makumi wauawa Nigeria katika mashambulizi ya Boko Haram

    Makumi wauawa Nigeria katika mashambulizi ya Boko Haram

    Feb 11, 2016 03:38

    Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi mawili ya bomu yaliyofanywa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram huko kaskazini mwa Nigeria.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS