-
Kenya: Tumemuua kamanda wa Intelijinsia wa Al-Shabab
Feb 18, 2016 15:06Jeshi la Kenya limetangaza kuwa limemuua kamanda mkuu wa kikosi maalumu cha kundi la kigaidi na kitakfiri la Al-Shabab la Somalia ambaye anaaminika kuwa ndiye aliyepanga shambulio hatari la mwezi uliopita dhidi ya kambi ya wanajeshi wa Kenya huko kusini mwa Somalia.
-
Mashambulio ya Saudia yaua makumi ya raia wa Yemen
Feb 14, 2016 07:09Watu 15 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika mashambulio ya anga yaliyofanywa alfajiri ya kuamkia leo na ndege za kivita za utawala wa Aal Saud katika mji wa kale na wa kihistoria wa Kaukaban ulioko mkoani Al Mahwit magharibi mwa Yemen.
-
Makumi wauawa Nigeria katika mashambulio ya Boko Haram
Feb 14, 2016 07:08Watu 30 wameuawa katika mashambulio mapya yaliyofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika vijiji viwili vya kaskazini mwa Nigeria.
-
Walinda amani wawili wa UN wauawa Mali
Feb 12, 2016 15:20Askari wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wameuawa katika hujuma ya kigaidi kaskazini mwa Mali.
-
Makumi wauawa Nigeria katika mashambulizi ya Boko Haram
Feb 11, 2016 03:38Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi mawili ya bomu yaliyofanywa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram huko kaskazini mwa Nigeria.