Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanajeshi wa utawa wa Kizayuni

  • Zaidi ya asilimia 54 ya askari wa Israel wanatumia madawa ya kulevya ili 'kujisahaulisha' na uhalisia unaowakabili

    Zaidi ya asilimia 54 ya askari wa Israel wanatumia madawa ya kulevya ili 'kujisahaulisha' na uhalisia unaowakabili

    Dec 22, 2018 08:02

    Gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limeripoti kuwa umegunduliwa mtandao wa magendo ya mihadarati na usambazaji wa madawa hayo ya kulevya unaofanywa na askari wa Israel kwenye mipaka ya kaskazini ya eneo la Ukanda wa Gaza.

  • Wanajeshi wa Kizayuni wamewasababishia ulemavu Wapalestina 94 katika maandamano ya Haki ya Kurejea

    Wanajeshi wa Kizayuni wamewasababishia ulemavu Wapalestina 94 katika maandamano ya Haki ya Kurejea

    Dec 04, 2018 03:11

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wamesababisha Wapalestina 94 kupata ulemavu tangu mwanzoni mwa maandamano ya Haki ya Kurejea huko Ghaza.

  • Jeshi la Israel lawapiga risasi makumi ya wanafunzi wa Kipalestina

    Jeshi la Israel lawapiga risasi makumi ya wanafunzi wa Kipalestina

    Nov 12, 2018 04:27

    Makumi ya wanafunzi wa Palestina wanauguza majeraha baada ya kumiminiwa risasi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wanajeshi wa utawala wa Saudia wavamia mji wa Waislamu wa Kishia wa Qatif, mashariki mwa nchi hiyo

    Wanajeshi wa utawala wa Saudia wavamia mji wa Waislamu wa Kishia wa Qatif, mashariki mwa nchi hiyo

    Oct 19, 2018 07:13

    Askari wa jeshi la utawala wa Aal Saud wameuvamia na kuuzingira kwa kutumia magari ya deraya mji wa Qatif ambao wakazi wake ni Waislamu wa madhehebu ya Shia mashariki mwa Saudi Arabia.

  • Wazayuni wawapiga na kuwatukana wanawake wa Palestina

    Wazayuni wawapiga na kuwatukana wanawake wa Palestina

    Aug 21, 2018 07:36

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga na kuwashambulia kwa maneno wanawake kadhaa wa Kipalestina.

  • Wazayuni wa Israel washambulia kaburi la Nabii Yuusuf, Nablos

    Wazayuni wa Israel washambulia kaburi la Nabii Yuusuf, Nablos

    Aug 02, 2018 14:47

    Makumi ya Wazayuni wa Israel wameshambulia kaburi na Nabii Yusuf (as) huko mashariki mwa mji wa Nablus katika Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan.

  • Mwaka 2017; Israel iliwauwa shahidi watoto 15 wa Kipalestina

    Mwaka 2017; Israel iliwauwa shahidi watoto 15 wa Kipalestina

    Jan 10, 2018 07:43

    Harakati ya Kimataifa ya Kuwatetea Watoto tawi la Palestina imetangaza kuwa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni mwaka uliopita wa 2017 uliwauwa shahidi watoto 15 wa Kipalestina katika eneo la Ukanda wa Ghaza, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds.

  • Kuongezeka pakubwa vitendo vya kujiua miongoni mwa wanajeshi wa Kizayuni

    Kuongezeka pakubwa vitendo vya kujiua miongoni mwa wanajeshi wa Kizayuni

    Jan 03, 2018 07:53

    Idadi ya wanajeshi wa Israel wanaojiua inazidi kuongezeka pakubwa kutokana na kulazimishwa kujiunga jeshini na kushindwa mtawalia utawala wa Kizayuni mbele ya muqawama wa Wapalestina.

  • UN yalaani kitendo cha Israel kumpiga risasi na kumuua Mpalestina mlemavu

    UN yalaani kitendo cha Israel kumpiga risasi na kumuua Mpalestina mlemavu

    Dec 20, 2017 08:20

    Kamishna Mkuu wa haki za binadamu kwenye Umoja wa Mataifa amesema amestaajabishwa sana na kitendo cha jeshi la Israel kumuua kwa kumpiga risasi mtu mwenye ulemavu aliyekuwa anaelekea msikitini siku ya Ijumaa.

  • Wanajeshi 3 Waisraeli waangamizwa katika Oparesheni ya Mpalestina Quds

    Wanajeshi 3 Waisraeli waangamizwa katika Oparesheni ya Mpalestina Quds

    Sep 26, 2017 16:03

    Wanajeshi watatu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa katika oparesheni ya kujitolea kufa shahidi ya Mpalestina katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS