-
Wanajeshi 3 Waisraeli waangamizwa katika Oparesheni ya Mpalestina Quds
Sep 26, 2017 16:03Wanajeshi watatu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa katika oparesheni ya kujitolea kufa shahidi ya Mpalestina katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Walowezi wa Kizayuni wafanya uvamizi tena katika msikiti wa al-Aqswa
Jul 22, 2016 04:18Walowezi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wamefanya uvamizi dhidi ya msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa huko Quds Tukufu Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Wazayuni wazuia kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS
Apr 03, 2016 07:31Wizara ya Wakfu ya Palestina imetangaza kuwa, mwezi uliopita wa Machi, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni walizuia mara chungu nzima kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS mjini Alkhalil.
-
Wapalestina wengine watatu wauliwa shahidi Al-Khalil
Mar 14, 2016 16:19Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi vijana watatu wa Kipalestina karibu na mji wa Al-Khalil katika Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Ripoti: Israel inawaua kwa makusudi watoto wa Palestina
Mar 05, 2016 15:25Harakati ya Kimataifa ya Kuwalinda Watoto imeripoti kuwa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wanawauwa kwa makusudi watoto wa Kipalestina.
-
Alaeddin Boroujerdi: Msimamo wa PGCC ni tusi kwa serikali na wananchi wa Lebanon
Mar 05, 2016 07:50Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, msimamo wa hivi karibuni wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi dhidi ya Hizbullah ni baraka kwa Israel na ni tusi kwa serikali na wananchi wa Lebanon.
-
Wazayuni waendelea kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa
Feb 17, 2016 08:38Walowezi wa Kizayuni na askari wa utawala ghasibu wa Israel wameendelea kuushambulia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.