Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wananchi

  • Kiongozi Muadhamu awashukuru wananchi na kusisitizia udharura wa kukabiliana na njama za maadui

    Kiongozi Muadhamu awashukuru wananchi na kusisitizia udharura wa kukabiliana na njama za maadui

    Feb 23, 2020 07:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amewashukuru wananchi kwa kuufuzu kwa kiwango cha kuridhisha mtihani mkubwa wa uchaguzi na kuweza kuzima propaganda za kila upande za maadui na kutumia kwao vibaya suala hilo na akasisitiza kwamba: Taifa zima linapaswa kuwa macho na kujiweka tayari kukabiliana na njama za adui zinazolenga kutoa pigo kwa mihimili tofauti ya nchi.

  • Uchunguzi wa maoni wa CNN: Wamarekani wengi wanataka Trump atimuliwe

    Uchunguzi wa maoni wa CNN: Wamarekani wengi wanataka Trump atimuliwe

    Jan 21, 2020 10:30

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kuwa, Wamarekani wengi wanataka Rais Donald Trump wa nchi hiyo ahukumiwe na kuondolewa madarakani.

  • Akthari ya watu wa Ulaya wanaunga mkono jitihada za kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Akthari ya watu wa Ulaya wanaunga mkono jitihada za kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Sep 16, 2019 04:36

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliowajumuisha raia wa nchi 14 wanachama wa Umoja wa Ulaya yanaonyesha kuwa akthari ya wananchi hao wanaunga mkono juhudi za kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Salami: Usalama Ghuba ya Uajemi utapatikana kwa ushiriki wa Iran

    Salami: Usalama Ghuba ya Uajemi utapatikana kwa ushiriki wa Iran

    Aug 24, 2019 07:32

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: "Usalama katika Ghuba ya Uajemi utapatikana kwa uwepo wa majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Karibu asilimia 70 ya watu duniani hawana imani na siasa za Trump

    Karibu asilimia 70 ya watu duniani hawana imani na siasa za Trump

    Oct 15, 2018 03:47

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na Taasisi ya Marekani ya PEW unaonyesha kuwa karibu asilima 70 ya walimwengu hawana imani na siasa zinazotekelezwa na rais wa Marekani.

  • James Dobbins: Chuki ya Wairan kwa Marekani ina mzizi wa kihistoria

    James Dobbins: Chuki ya Wairan kwa Marekani ina mzizi wa kihistoria

    Aug 07, 2018 02:19

    James Dobbins, Afisa wa zamani wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema kuwa, chuki waliyonayo raia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa Marekani ni ya kihistoria na inarudi kwenye uungaji mkono na misaada ya Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) kwa utawala wa ukandamizaji wa Shah.

  • Wairani waandamana kupinga mauaji ya Waislamu nchini Myanmar

    Wairani waandamana kupinga mauaji ya Waislamu nchini Myanmar

    Sep 08, 2017 17:05

    maelfu ya Wairani waliohudhuria ibada ya Swala ya Ijumaa kote hapa nchini leo wamefanya maandamo katika miji mbalimbali wakipinga na kulaani mauaji yanayoendelea kufanywa na jeshi na Mabudha wa Myanmar dhidi ya Waislamu nchini humo.

  • Wananchi wa Iran waandamana kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    Wananchi wa Iran waandamana kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    May 26, 2017 13:52

    Wananchi wa Iran leo wameandamana katika mikoa mbalimbali baada ya Swala ya Ijumaa na kutangaza himaya yao kwa Sheikh Issa Qassim mwanazuoni wa Bahrain anayekabiliwa na vitendo vya ukandamizaji vinavyofanywa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo.

  • Indhari ya jumuiya za wananchi nchini Bahrain dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    Indhari ya jumuiya za wananchi nchini Bahrain dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    May 10, 2017 02:23

    Muungano wa Vijana wa Mapinduzi ya Februari 14 nchini Bahrain umetoa indhari na onyo kuhusiana na matokeo mabaya ya hujuma dhidi ya mwanazuoni wa Kishia Sheikh Issa Qassim.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuhusika jeshi la Sudan Kusini katika machafuko

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuhusika jeshi la Sudan Kusini katika machafuko

    Sep 09, 2016 13:19

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, jeshi la Sudan Kusini lina mkono katika machafuko yanayojiri nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS