Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • Ripoti: Israel imewateka nyara wanawake 15,000 wa Kipalestina

    Ripoti: Israel imewateka nyara wanawake 15,000 wa Kipalestina

    Mar 07, 2018 14:15

    Huku dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake hapo kesho, ripoti mpya ya shirika moja la Palestina inaonyesha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umewatia mbaroni wanawake wasiopungua 15,000 wa Kipalestina tokea mwaka 1967 hadi sasa.

  • Al Shabab inawatumia wanawake kama majasusi katika eneo la Pwani Kenya

    Al Shabab inawatumia wanawake kama majasusi katika eneo la Pwani Kenya

    Dec 19, 2017 08:12

    Imebainika kuwa wanamgambo wa kundi la al Shabab lenye makao yake nchini Somalia wanatumia mbinu mpya kushambulia kambi za usalama katika maeneo yaliyoainishwa katika oparesheni ya usalama inayoendelea kufanywa na mawakala kadha wa usalama kwa jina la "Linda Boni" huko katika kaunti za Lamu, Tana River na Garissa.

  • HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    Dec 14, 2017 15:53

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema makumi ya wanawake walibakwa na maafisa wa polisi wakati wa msimu wa uchaguzi mkuu mwaka huu nchini Kenya.

  • Kila siku wanawake 600 hufanyiwa vitendo vya ukatili nchini Marekani

    Kila siku wanawake 600 hufanyiwa vitendo vya ukatili nchini Marekani

    Nov 27, 2017 03:59

    Vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya wanawake katika nchi za Magharibi na hasa Marekani vimefikia kiwango cha kutia wasiwasi kinyume na inavyodaiwa huku ikiripotiwa kwamba kila siku wanawake 600 hufanyiwa vitendo vya ukatili nchini humo.

  • Iran: Wanawake ndio wahanga wakuu wa magenge ya kigaidi

    Iran: Wanawake ndio wahanga wakuu wa magenge ya kigaidi

    Oct 28, 2017 08:06

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema wanawake ndio wahanga wakuu wa ukatili wa makundi ya kigaidi duniani.

  • Zaidi ya nusu ya wanawake Uingereza  wanadhalilishwa kijinsia katika mazingira ya kazi

    Zaidi ya nusu ya wanawake Uingereza wanadhalilishwa kijinsia katika mazingira ya kazi

    Oct 26, 2017 02:36

    Matokeo ya utafiti uliofanywa na televisheni ya BBC ya nchini Uingereza yanaonyesha kuwa, asilimia 53 ya wanawake nchini humo wanakumbwa na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia wakiwa kazini na mashuleni hata hivyo waathirika wengi hawaripoti vitendo hivyo.

  • Baada ya marufuku ya miaka 60 hatimaye wanawake Saudia waruhusiwa kuendesha magari

    Baada ya marufuku ya miaka 60 hatimaye wanawake Saudia waruhusiwa kuendesha magari

    Sep 27, 2017 04:49

    Baada ya malalamiko ya muda mrefu hatimaye Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa Saudia ametoa amri ya kuwapa leseni za kuendesha magari wanawake wa nchi hiyo.

  • Watu 28 wauawa India, katika machafuko ya kupinga kuhukumiwa kiongozi wa Kihindu aliyebaka

    Watu 28 wauawa India, katika machafuko ya kupinga kuhukumiwa kiongozi wa Kihindu aliyebaka

    Aug 26, 2017 03:59

    Polisi katika jimbo la Haryana nchini India imetangaza kuwa, kwa akali watu 28 wameuawa na wengine 200 kujeruhiwa vibaya katika mapigano yaliyotokea Ijumaa ya jana katika majimbo mawili ya Haryana na Punjab kaskazini mwa nchi hiyo.

  • UN yatiwa wasiwasi na hali za wanawake wa Kiiraqi katika miji inayokaliwa kwa mabavu na Daesh

    UN yatiwa wasiwasi na hali za wanawake wa Kiiraqi katika miji inayokaliwa kwa mabavu na Daesh

    Aug 23, 2017 03:47

    Ujumbe wa misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ulioko nchini Iraq na ofisi ya haki za binadamu ya umoja huo zimetoa ripoti na kutangaza kuwa wanawake na wasichana wa Kiiraqi wanaoishi kwenye miji inayokaliwa kwa mabavu na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanakabiliwa na ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    May 23, 2017 06:54

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tano ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS