Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • FIBA yaruhusu mabinti wa Kiirani kushiriki katika mashindano ya kimataifa wakiwa na vazi la Hijabu

    FIBA yaruhusu mabinti wa Kiirani kushiriki katika mashindano ya kimataifa wakiwa na vazi la Hijabu

    May 04, 2017 14:10

    Shirikisho la Mpira wa Kikapu Duniani (FIBA) limetangaza kuafiki pendekezo la Iran la kutaka wanawake wa Kiislamu na mabinti wenye Hijabu wa Kiirani kushiriki katika michezo ya kimataifa ya mpira wa kikapu (basketiboli).

  • HRW yapinga uanachama wa Saudia katika Baraza la Haki za Wanawake la UN

    HRW yapinga uanachama wa Saudia katika Baraza la Haki za Wanawake la UN

    Apr 25, 2017 03:43

    Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) amepinga vikali uanachama wa utawala wa Saudi Arabia katika Baraza la Haki za Wanawake la Umoja wa Mataifa.

  • Wanawake wa Saudia waendeleza juhudi za kudai haki zao za msingi

    Wanawake wa Saudia waendeleza juhudi za kudai haki zao za msingi

    Apr 06, 2017 07:30

    Wanawake wa Saudi Arabia wameendelea na juhudi za kudai haki zao za kijamii kukiwemo kuendesha magari binafsi, ambapo wameanzisha kampeni maalumu katika uwanja huo.

  • Kiongozi Muadhamu: Ni dharura kuelewa nafasi ya mwanamke wa Kiislamu katika jamii

    Kiongozi Muadhamu: Ni dharura kuelewa nafasi ya mwanamke wa Kiislamu katika jamii

    Mar 19, 2017 16:32

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, amesema kuna uwezekano mkubwa kwamba kumfanya mwanamke kuwa chombo cha anasa katika ulimwengu wa Magharibi, ni sehemu ya njama za Wazayuni kwa ajili ya kusambaratisha jamii ya mwanadamu.

  • Wanawake Yemen waandamana nje ya ofisi za UN kulaani jinai za Saudia

    Wanawake Yemen waandamana nje ya ofisi za UN kulaani jinai za Saudia

    Mar 15, 2017 06:59

    Wanawake wa Yemen wamefanya maandamano na kukita kambi nje ya ofisi za Umoja wa Mataifa katika mji mkuu Sana’a, kuutaka umoja huo usitishe jinai na uvamizi wa Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo.

  • HRW: Wanawake ni wahanga wa vitendo vya ubakaji vya kundi la Daesh nchini Iraq

    HRW: Wanawake ni wahanga wa vitendo vya ubakaji vya kundi la Daesh nchini Iraq

    Feb 20, 2017 16:00

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, wanawake nchini Iraq ni wahanga wa vitendo vya ubakaji vinavyofanywa na kundi la kigaidi la Daesh.

  • Wanawake Waislamu Nigeria walaani kukandamizwa hijabu

    Wanawake Waislamu Nigeria walaani kukandamizwa hijabu

    Feb 02, 2017 14:01

    Muungano wa makundi ya wanawake kwa jina la "Hijab Rights Advocacy Initiative" wa nchini Nigeria jana ulilaani kile ulichokitaja kuwa kuendelea kukandamizwa wanawake wanaovaa vazi la stara la hijabu, na kulitaka bunge la nchi hiyo kubuni sheria ili kukomesha unyanyasaji huo wa wanawake wanaovaa hijabu.

  • Abuja: Wanawake wa Boko Haram wanatumia vitoto vichanga katika mashambulizi ya kigaidi

    Abuja: Wanawake wa Boko Haram wanatumia vitoto vichanga katika mashambulizi ya kigaidi

    Jan 25, 2017 03:00

    Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa, baadhi ya wanawake wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wanatumia watoto wachanga wanaonyonya kwa ajili ya kuwahadaa askari usalama na kufanya mashambulizi ya kigaidi.

  • Morocco yapiga marufuku uzalishwaji na uuzaji wa burqa

    Morocco yapiga marufuku uzalishwaji na uuzaji wa burqa

    Jan 11, 2017 15:20

    Serikali ya Morocco imepiga marufuku uzalishaji na uuzaji wa vazi la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.

  • Austria kupiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa hijabu

    Austria kupiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa hijabu

    Jan 07, 2017 07:21

    Waziri wa Mambo ya Nje na Utangamano wa Austria ametoa wito wa kupigwa marufuku vazi la stara la hijabu linalovaliwa na wanawake Waislamu katika maeneo ya umma nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS