Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • Jumuiya za kutetea haki za binadamu zatahadharisha kuhusu hali ya wanawake Nigeria

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu zatahadharisha kuhusu hali ya wanawake Nigeria

    Dec 06, 2016 03:37

    Jumuia mbalimbali za kutetea haki za binadamu zimetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wanawake nchini Nigeria.

  • Kiongozi wa kidini wa Kizayuni atupwa jela miezi 18 kwa ubakaji Israel

    Kiongozi wa kidini wa Kizayuni atupwa jela miezi 18 kwa ubakaji Israel

    Nov 23, 2016 04:52

    Mahakama ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, imemuhukumu kifungo cha mwaka mmoja na miezi sita, kiongozi wa kidini wa Kizayuni kwa kuwabaka wanawake watatu.

  • Al Azhar: Uislamu umempa heshima kubwa mwanamke

    Al Azhar: Uislamu umempa heshima kubwa mwanamke

    Nov 16, 2016 07:55

    Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amesema kuwa, dini tukufu ya Kiislamu imempa heshima kubwa sana mwanamke na kutukuza nafasi yake muhimu katika jamii.

  • Maelfu ya wanawake kuandama baada ya kuapishwa Donald Trump

    Maelfu ya wanawake kuandama baada ya kuapishwa Donald Trump

    Nov 14, 2016 15:30

    Wanawake zaidi ya 66,000 wa Marekani wametangaza kuwa wapo tayari kushiriki katika maandamano makubwa yaliyopangwa kufanyika Januari 21 mwakani, siku moja baada ya kuanza kazi rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump katika Ikulu ya White House.

  • Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania

    Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania

    Oct 12, 2016 07:35

    Wanawake kutoka nchi kadhaa za Afrika wanakongamana mjini Moshi nchini Tanzania katika mkutano wa kujadili haki za mwanamke, hususan haki ya kumiliki ardhi na maliasili.

  • Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'

    Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'

    Aug 18, 2016 03:39

    Waziri Mkuu wa Ufaransa ameunga mkono hatua ya mameya wa miji minne nchini humo kupiga marufuku vazi la stara la kuogelea linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu linalofahamika kama 'burqini'.

  • Kongamano la wawekezaji wanawake wa Kenya na Rwanda-Kigali

    Kongamano la wawekezaji wanawake wa Kenya na Rwanda-Kigali

    Jul 25, 2016 08:00

    Rwanda ni mwenyeji wa kongamano la kwanza la ujasiriamali la kujadili changamoto wanazopitia wafanyabiashara wanawake katika kanda ya Afrika Mashariki.

  • Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe

    Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe

    Jul 17, 2016 07:45

    Mamia ya wanawake nchini Zimbabwe jana walifanya maandamano dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo kwa kupiga masufuria; kitendo kinashoashiria namna nchi hiyo inavyokabiliwa na njaa na matatizo ya kiuchumi.

  • Iran, Afrika Kusini kushirikiana kuinua hadhi ya wanawake

    Iran, Afrika Kusini kushirikiana kuinua hadhi ya wanawake

    Apr 25, 2016 04:04

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya wanawake Bi. Shahindokht Molaverdi amesema, Iran na Afrika Kusini zitashirikiana katika kuinua hadhi ya wanawake.

  • Sisitizo juu ya nafasi chanya ya wanawake katika kuleta uthabiti barani Afrika

    Sisitizo juu ya nafasi chanya ya wanawake katika kuleta uthabiti barani Afrika

    Mar 29, 2016 12:17

    Umoja wa Mataifa umesisitiza juu ya ushiriki zaidi wa wanawake barani Afrika katika masuala ya kijamii na kisiasa kwa shabaha ya kuleta amani na uthabiti barani humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS