-
Jumuiya za kutetea haki za binadamu zatahadharisha kuhusu hali ya wanawake Nigeria
Dec 06, 2016 03:37Jumuia mbalimbali za kutetea haki za binadamu zimetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wanawake nchini Nigeria.
-
Kiongozi wa kidini wa Kizayuni atupwa jela miezi 18 kwa ubakaji Israel
Nov 23, 2016 04:52Mahakama ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, imemuhukumu kifungo cha mwaka mmoja na miezi sita, kiongozi wa kidini wa Kizayuni kwa kuwabaka wanawake watatu.
-
Al Azhar: Uislamu umempa heshima kubwa mwanamke
Nov 16, 2016 07:55Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amesema kuwa, dini tukufu ya Kiislamu imempa heshima kubwa sana mwanamke na kutukuza nafasi yake muhimu katika jamii.
-
Maelfu ya wanawake kuandama baada ya kuapishwa Donald Trump
Nov 14, 2016 15:30Wanawake zaidi ya 66,000 wa Marekani wametangaza kuwa wapo tayari kushiriki katika maandamano makubwa yaliyopangwa kufanyika Januari 21 mwakani, siku moja baada ya kuanza kazi rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump katika Ikulu ya White House.
-
Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania
Oct 12, 2016 07:35Wanawake kutoka nchi kadhaa za Afrika wanakongamana mjini Moshi nchini Tanzania katika mkutano wa kujadili haki za mwanamke, hususan haki ya kumiliki ardhi na maliasili.
-
Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'
Aug 18, 2016 03:39Waziri Mkuu wa Ufaransa ameunga mkono hatua ya mameya wa miji minne nchini humo kupiga marufuku vazi la stara la kuogelea linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu linalofahamika kama 'burqini'.
-
Kongamano la wawekezaji wanawake wa Kenya na Rwanda-Kigali
Jul 25, 2016 08:00Rwanda ni mwenyeji wa kongamano la kwanza la ujasiriamali la kujadili changamoto wanazopitia wafanyabiashara wanawake katika kanda ya Afrika Mashariki.
-
Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe
Jul 17, 2016 07:45Mamia ya wanawake nchini Zimbabwe jana walifanya maandamano dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo kwa kupiga masufuria; kitendo kinashoashiria namna nchi hiyo inavyokabiliwa na njaa na matatizo ya kiuchumi.
-
Iran, Afrika Kusini kushirikiana kuinua hadhi ya wanawake
Apr 25, 2016 04:04Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya wanawake Bi. Shahindokht Molaverdi amesema, Iran na Afrika Kusini zitashirikiana katika kuinua hadhi ya wanawake.
-
Sisitizo juu ya nafasi chanya ya wanawake katika kuleta uthabiti barani Afrika
Mar 29, 2016 12:17Umoja wa Mataifa umesisitiza juu ya ushiriki zaidi wa wanawake barani Afrika katika masuala ya kijamii na kisiasa kwa shabaha ya kuleta amani na uthabiti barani humo.