Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waziri wa Mambo ya Nje

  • Russia yakosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya Iran

    Russia yakosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya Iran

    Jun 21, 2019 09:18

    Baada ya kujitoa kinyume cha sheria katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani imekuwa ikitekeleza siasa za 'mashinikizo ya juu zaidi' dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Pompeo akiri kutotekelezeka mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Pompeo akiri kutotekelezeka mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Jun 04, 2019 07:12

    Licha ya juhudi kubwa zinazofanywa na serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kutekeleza mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini hata Mike Pompeo mwenyewe, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo hana matumaini ya kutekelezwa mpango huo.

  • Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini kuhusu JCPOA

    Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini kuhusu JCPOA

    May 28, 2019 03:12

    Umoja wa Ulaya na troika ya umoja huo inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza daima imekuwa ikidai kuwa inaunga mkono mapatano ya nyuklia na Iran maarufu kwa jina la JCPOA na kwmba nchi hizo zimekuwa zikisisitizia muda wote umuhimu wa kutekelezwa kivitendo mapatano hayo.

  • Sisitizo la Ujerumani la kutokuwa na natija siasa za

    Sisitizo la Ujerumani la kutokuwa na natija siasa za "mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi" za Donald Trump dhidi ya Iran

    May 19, 2019 07:04

    Rais Donald Trump wa Marekani iwe ni katika kipindi cha kampeni zake za uchaguzi au baada ya kuingia katika ikulu ya White House Januari 2017, ametanguliza mbele mkondo wa siasa za kutaka kuudhoofisha na kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Riyadh al-Maliki: Mpango wa

    Riyadh al-Maliki: Mpango wa "Muamala wa Karne" ni sawa na kurejea katika ukoloni

    May 19, 2019 01:20

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, kuukubali mpango wa amani wa Marekani katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel unaojulikana kama "Muamala wa Karne" ni kurejea katika kipindi cha ukoloni.

  • Uungaji mkono wa jeshi la Venezuela kwa mpango wa Rais Maduro wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo

    Uungaji mkono wa jeshi la Venezuela kwa mpango wa Rais Maduro wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo

    Apr 10, 2019 14:36

    Mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela uliibuka tangu tarehe 10 Januari mwaka huu, wakati Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo aliposhinda kwa kuchaguliwa kwa mara ya pili na kuapishwa kuwa rais wa taifa hilo la Amerika ya Latini, katika uchaguzi ambao ulisusiwa na wapinzani.

  • Qatar: Nchi za Kiarabu zina haja ya kuwa na uhusiano mzuri na Iran

    Qatar: Nchi za Kiarabu zina haja ya kuwa na uhusiano mzuri na Iran

    Feb 28, 2019 02:30

    Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi zina wajibu wa kuwa na uhusiano mzuri na Iran kwani zinaihitajia nchi hiyo.

  • Palestina yaomba uanachama wa kudumu katika Umoja wa Mataifa

    Palestina yaomba uanachama wa kudumu katika Umoja wa Mataifa

    Dec 27, 2018 02:28

    Riyad al Maliki, Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, Rais Mahmoud Abbas wa mamlaka hiyo mwezi ujao wa Januari ataelekea mjini New York Marekani kuwasilisha rasmi ombi la serikali ya Palestina kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kuwa mwanachama wa kudumu wa umoja huo.

  • Takwa la Ujerumani la kuasisiwa Baraza la Usalama la Umoja wa Ulaya

    Takwa la Ujerumani la kuasisiwa Baraza la Usalama la Umoja wa Ulaya

    Oct 10, 2018 07:59

    Kuibuka hitilafu na mizozo mikubwa baina ya Marekani na Umoja wa Ulaya baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trump hususan katika masuala ya kiulinzi, nafasi na umuhimu wa Shirika la Kijeshi la NATO sambamba na kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya (Brics) ni mambo ambayo yamezifanya nchi wanachama wa EU zichukue hatua za kuimarisha mipango na mikakati ya kujitegemea katika uga wa ulinzi na usalama.

  • Canada yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran na kuondoa utegemezi kwa sarafu ya dola ya Marekani

    Canada yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran na kuondoa utegemezi kwa sarafu ya dola ya Marekani

    Sep 04, 2018 02:34

    Maamuzi ya upande mmoja ya kisiasa na kimabavu ya Marekani katika kipindi cha utawala wa rais Donald Trump yanaendelea kukabiliwa na upinzani kote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS