Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waziri wa Mambo ya Nje

  • Kwa mara nyingine Ujerumani yaihimiza Ulaya kuitenga Marekani katika mfumo wa fedha

    Kwa mara nyingine Ujerumani yaihimiza Ulaya kuitenga Marekani katika mfumo wa fedha

    Sep 01, 2018 02:53

    Kwa mara nyingine tena, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumiani amezihimiza nchi za Ulaya kutafuta njia za kuwa na mfumo wao wa kujitegemea wa kifedha kama njia ya kudumisha mapatano ya nyuklia na Iran yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA.

  • Kukaririwa tuhuma zisizo na msingi za Marekani dhidi ya Iran

    Kukaririwa tuhuma zisizo na msingi za Marekani dhidi ya Iran

    Aug 19, 2018 00:01

    Katika kipindi chote cha miaka 40 ya kuasisiwa mfumo wa Jamhuriya Kiislamu nchini Iran, Marekani daima imekuwa ikifuatilia na kutoa tuhuma maalumu na zisizo na msingi dhidi ya taifa la Iran.

  • Spika wa Bunge la Iran: Wamarekani hawatekelezi ahadi

    Spika wa Bunge la Iran: Wamarekani hawatekelezi ahadi

    Aug 09, 2018 03:30

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wamarekani wakati wa mazungumzo huzungumza vizuri mno, lakini inapofikia wakati wa utekelezaji hawatekelezi hata ahadi moja waliyoahidi.

  • Austria yaikosoa vikali Marekani kutokana na kujiondoa katika JCPOA

    Austria yaikosoa vikali Marekani kutokana na kujiondoa katika JCPOA

    Jul 29, 2018 02:56

    Kujiondoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA Mei mwaka huu, hatua ambayo ilichukuliwa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo, kulifuatiwa na ukosoaji mkubwa wa nchi zingine wanachama wa kundi la 5+1 zikiwemo nchi tatu za Troika ya Ulaya za Ufaransa, Uingereza na Ujerumani.

  • Misri: Migogoro ya kieneo haiwezi kupatiwa ufumbuzi kwa mtutu wa bunduki

    Misri: Migogoro ya kieneo haiwezi kupatiwa ufumbuzi kwa mtutu wa bunduki

    Jul 05, 2018 03:03

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Misri amesema kuwa, nchi yake inafanya juhudi kubwa katika mwenendo wa kupatiwa ufumbuzi migogoro wa Syria na Libya na kusisitiza kwamba, migogoro inayoshuhudiwa hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati na kaskazini mwa Afrika ufumbuzi wake sio mtutu wa bunduki.

  • Kukiri Uingereza kuwa inahusika moja kwa moja katika vita dhidi ya Yemen

    Kukiri Uingereza kuwa inahusika moja kwa moja katika vita dhidi ya Yemen

    Jun 03, 2018 06:00

    Boris Johnson, waziri wa mambo ya nje wa Uingereza amekiri kwamba nchi yake sambamba na kutuma askari wake nchini Saudia, inashiriki pia katika vita dhidi ya Yemen.

  • Msimamo wa kiuhasama wa Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa Marekani dhidi ya Russia

    Msimamo wa kiuhasama wa Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa Marekani dhidi ya Russia

    Apr 29, 2018 22:09

    Ijumaa iliyopita Mike Pompeo, Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa Marekani akizungumza kando ya mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi zinazounda Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) mjini Brussels Ubelgiji, alitaka 'kuwepo mabadiliko ya wazi katika hatua za Russia na vilevile kuitaka ifuate sheria za kimataifa'.

  • Rais Rouhani aitaka Saudia ihitimishe mauaji yake dhidi ya raia wa Yemen

    Rais Rouhani aitaka Saudia ihitimishe mauaji yake dhidi ya raia wa Yemen

    Feb 21, 2018 11:52

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaka Saudi Arabia na washirika wake waache mchezo wao wa kuilaumu na kuituhumu Iran kuhusiana na mgogoro wa Yemen na badala yake wahitimishe mauaji wanayoyafanya dhidi ya raia wa nchi hiyo.

  • Qatar: Tutaimarisha na kulinda uhusiano wetu na Iran

    Qatar: Tutaimarisha na kulinda uhusiano wetu na Iran

    Nov 13, 2017 11:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, Iran ni nchi jirani na nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi na kwamba Doha ina manufaa ya pamoja na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivyo haiwezi kukata uhusiano wake na Tehran.

  • Rais Rouhani: Matatizo ya Mashariki ya Kati yakiwemo ya Afghanistan ni ya kutatuliwa kieneo

    Rais Rouhani: Matatizo ya Mashariki ya Kati yakiwemo ya Afghanistan ni ya kutatuliwa kieneo

    Sep 12, 2017 00:10

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matatizo ya Mashariki ya Kati yakiwemo yale yanayoikabili Afghanistan yanaweza kupatiwa ufumbuzi kieneo na kwamba, katu matatizo hayo hayawezi kutatuliwa na maajinabi na madola kutoka nje ya eneo hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS