Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Iran: Pande husika katika masuala ya Zimbabwe zitatue matatizo yao kwa njia ya mazungumzo

    Iran: Pande husika katika masuala ya Zimbabwe zitatue matatizo yao kwa njia ya mazungumzo

    Nov 17, 2017 00:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka pande zote zinazohusika na matukio ya hivi sasa ya Zimbabwe, kutatua matatizo yao kwa njia ya mazungumzo.

  • Taharuki Zimbabwe, Mugabe ang'ang'ania madaraka, AU na UN zatoa kauli

    Taharuki Zimbabwe, Mugabe ang'ang'ania madaraka, AU na UN zatoa kauli

    Nov 16, 2017 12:40

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye yuko katika ncha ya kuuzuliwa amekataa kuachia madaraka akisisitiza kuwa yeye ndiye kiongozi halali wa nchi hiyo.

  • Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe aondolewa madarakani

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe aondolewa madarakani

    Nov 15, 2017 12:04

    Jeshi la Zimbabwe limemuondoa madarakani rais wa nchi hiyo Robert Gabriel Mugabe.

  • Mapinduzi ya Zimbabwe; maji yamfika shingoni Mugabe, ajiandaa kujiuzulu

    Mapinduzi ya Zimbabwe; maji yamfika shingoni Mugabe, ajiandaa kujiuzulu

    Nov 15, 2017 04:49

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe anajiandaa kuondoka madarakani saa chache baada ya jeshi la nchi hiyo kutwaa madaraka kwa njia isiyo ya umwagaji damu.

  • Jeshi la Zimbabwe lakanusha uvumi kwamba lilitaka kufanya mapinduzi ya kiejeshi dhidi ya Mugabe

    Jeshi la Zimbabwe lakanusha uvumi kwamba lilitaka kufanya mapinduzi ya kiejeshi dhidi ya Mugabe

    Nov 15, 2017 01:17

    Maafisa wa jeshi nchini Zimbabwe wamekanusha uvumi wa kuendesha mapinduzi ya kijeshi baada ya kuripotiwa taarifa za kujiri milipuko ya bomu katika mji mkuu wa nchi hiyo, Harare.

  • MDC: Kuuita uwanja wa ndege wa kimataifa

    MDC: Kuuita uwanja wa ndege wa kimataifa "Mugabe" ni tusi kwa Wazimbabwe

    Nov 10, 2017 23:42

    Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe cha MDC kimekosoa vikali hatua ya kubadilisha jina la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare na kuuita Robert Gabriel Mugabe, jina la rais wa nchi hiyo.

  • Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyeuzuliwa akimbia nchi

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyeuzuliwa akimbia nchi

    Nov 09, 2017 04:28

    Makamu wa Rais wa Zimbabwe aliyefutwa kazi na kutimuliwa ndani ya chama tawala Zanu-PF hivi karibuni amekimbilia uhamishoni akidai kuwa maisha yake yamo hatarini.

  • Rais Mugabe wa Zimbabwe amfuta kazi makamu wake

    Rais Mugabe wa Zimbabwe amfuta kazi makamu wake

    Nov 07, 2017 01:08

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amempiga kalamu nyekundu makamu wake Emmerson Mnangagwa, kutokana na kile kilichotajwa kama ukosefu wa uaminifu kwa rais na kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo.

  • Mmarekani aliyemtukana Rais Mugabe wa Zimbabwe aswekwa jela

    Mmarekani aliyemtukana Rais Mugabe wa Zimbabwe aswekwa jela

    Nov 03, 2017 10:54

    Polisi nchini Zimbabwe imemtia mbaroni raia wa Marekani kwa tuhuma za kumtusi Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo.

  • Rais Mugabe ataka kurejeshwa hukumu ya kifo nchini Zimbabwe

    Rais Mugabe ataka kurejeshwa hukumu ya kifo nchini Zimbabwe

    Nov 02, 2017 04:46

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametoa mwito wa kurejeshwa hukumu ya kifo baada ya watu 50 kutuma maombi ya kujaza nafasi iliyo wazi ya mtu wa kutekeleza adhabu ya kunyongwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS