-
UN yaituhumu RSF kuwa imefanya "uhalifu wa kivita" huko El Fasher
Feb 14, 2026 02:50Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kwamba uhalifu unaofanywa na wapiganaji wa kundi la Rapid Support Forces (RSF) huko El Fasher nchini Sudan ni sawa na uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu.
-
Machungu ya ukoloni; safari za kifo na jinai za kikatili za Ufaransa nchini Madagascar
Feb 13, 2026 22:48Madagascar, kisiwa kikubwa zaidi barani Afrika na makao ya jamii ya Malagasy, iliingia katika moja ya vipindi vya giza zaidi katika historia yake mwishoni mwa karne ya 19.
-
Kenya kufungua tena mpaka wake na Somalia baada ya kufungwa kwa miaka 15
Feb 13, 2026 07:18Rais wa Kenya William Ruto ametangaza kuwa Kenya itafungua tena mpaka wake na Somalia mwezi Aprili, baada ya kufungwa kwa muda wa miaka 15 kufuatia mashambulizi ya mara kwa mara ya kigaidi. Hatua hiyo inaashiria jaribio jipya la kurejesha harakati za mpakani na kuimarisha ushirikiano wa kikanda.
-
Umoja wa Afrika wapongeza mapatano ya kusitisha vita kati ya Serikali ya DRC na waasi wa M23
Feb 13, 2026 07:02Tume ya Umoja wa Afrika (AU) imekaribisha kutiwa saini kwa kanuni za marejeo ya mfumo wa kusitisha mapigano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na muungano wa waasi wa AFC/M23.
-
Takriban watu 21 wameaga dunia baada ya boti kuzama katika Mto Nile, Sudan
Feb 13, 2026 03:50Takriban watu 21 wamekufa maji wakati boti iliyokuwa ikiwasafirisha ilipozama katika Mto Nile kaskazini mwa Sudan.
-
Mashambulizi ya droni ya wanamgambo wa RSF yaua watu 2 na kujeruhi 4 Kordofan, Sudan
Feb 13, 2026 03:50Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (droni) za wanamgambo wa kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) yameuwa raia wawili na kujeruhi wanne katika jimbo la Kordofan Kusini. Haya yamebainishwa jana Mtandao wa Madaktari wa Sudan.
-
Afrika Kusini: Ramaphosa atangaza kutumwa jeshi kukabiliana na jinai
Feb 13, 2026 03:49Katika jitihada za kupunguza viwango vya juu vya magenge ya uhalifu na jinai nyingine, Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza kuwa atatuma jeshi ili kushirikiana na polisi katika suala hilo.
-
AU yasisitiza kuunga mkono umoja wa Somalia; yalaani kuingiliwa masuala ya ndani ya Sudan
Feb 12, 2026 23:19Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU) kwa mara nyingine tena jana Alhamisi lilithibitisha kuhusu mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi nzima ya Somalia na kutupilia mbali suala la kutambuliwa rasmi eneo la Somaliland kama nchi huru.
-
Sudan yataka irejeshewe uanachama katika Umoja wa Afrika
Feb 12, 2026 22:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan, Muhi al-Din Salem Ahmed amekariri wito wake kwa Umoja wa Afrika, akiitaka AU kufuta hatua yake ya kuisimamishia uanachama nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika katika umoja huo.
-
Wazimbabwe watofautiana baada ya mawaziri kupitisha mswada wa kuongeza muda wa rais kusalia madarakani
Feb 12, 2026 07:52Wazimbabwe wametofautiana kuhusu hatua ya baraza la mawaziri ya kuunga mkono muswada unaokusudia kubadilisha katiba ili kumruhusu Rais Emmerson Mnangagwa mwenye umri wa miaka 83 kubakia madarakani hadi angalau mwaka 2030.