-
Iran iko tayari kusaidia Kenya kujenga nyumba milioni moja
Jun 08, 2025 01:04Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa tayari kuisaidia Kenya kujenga nyumba milioni moja za bei nafuu nchini humo.
-
OCHA: Mamilioni Sahel Afrika wanahitaji msaada wa haraka wa kibinadamu
Jun 08, 2025 00:16Mamilioni ya watu katika Ukanda wa Sahel Afrika wanahitajia msaada wa haraka wa kibinadamu na hali yao inatarajiwa kuuwa mbaya zaidi katika siku zijazo kama misaada hiyo haitafikishwa kwa wakati.
-
Sababu za Chad kusimamisha utoaji visa kwa raia wa Marekani
Jun 07, 2025 09:55Kufuatia uamuzi wa Rais wa Marekani wa kuwawekea vikwazo vya usafiri raia wa nchi 12 ambazo kimsingi ni za Waislamu na za Kiafrika, nchi nyingi kati ya hizo zimeuchukulia uamuzi huo kuwa unatokana na siasa za utaifa na zinaziponga uhamiaji za Rais Donald Trump.
-
Bamada: Ukraine inaratibu mashambulizi ya magaidi nchini Mali
Jun 07, 2025 03:28Wakufunzi wa kijeshi wa Ukraine wanawafunza na kuwapa silaha wanamgambo wenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda nchini Mali.
-
Waziri Mkuu wa Libya atoa amri ya kufanyika uchunguzi kuhusu mapigano ya Sabratha
Jun 06, 2025 23:00Waziri Mkuu wa Libya Abdul-Hamed Dbeibah jana Ijumaa alitoa amri kufanyika uchunguzi kuhusu mapigano yaliyozuka siku ya Alkhamisi katika mji wa pwani wa Sabratha wa kaskazini magharibi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Chad yasitisha utoaji wa visa kwa raia wa Marekani katika hatua ya kisasi
Jun 06, 2025 08:14Rais wa Chad, Mahamat Idriss Deby, siku ya Alhamisi alichukua hatua ya kujibu marufuku ya kusafiri iliyotangazwa na Marekani dhidi ya raia wa Chad, kwa kusitisha mara moja utoaji wa visa kwa raia wa Marekani.
-
UN yaelezea hofu yake kuhusu haki za binadamu Libya
Jun 06, 2025 03:18Umoja wa Mataifa umetaka uchunguzi huru ufanyike kuhusu mauaji ya kiholela yanayodaiwa kufanywa na kundi lenye silaha la Libya kufuatia kupatikana makumi ya maiti kwenye makaburi ya umati katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
-
Uchaguzi wa Bunge wafanyika Burundi, chama tawala chatarajiwa kuibuka na ushindi
Jun 05, 2025 09:05Wapiga kura nchini Burundi leo wameelekea katika vituo vya kupiga kura huku kukiwa na ongezeko la mfumuko wa bei, uhaba wa mafuta na malalamiko ya ukandamizaji wa kisiasa.
-
UN yataka uchunguzi wa makaburi ya halaiki yaliyogunduliwa Libya
Jun 05, 2025 03:23Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kufanyika uchunguzi huru na wa kina, baada ya kugunduliwa makaburi ya halaiki katika jela na vituo vya kuzuilia watu nchini Libya.
-
RSF yashambulia tena kambi ya wakimbizi na kuua 14 Darfur, Sudan
Jun 05, 2025 03:22Kwa akali watu 14 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulizi la mizinga la Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.