-
Katibu Mkuu wa UN alaani mashambulizi yasiyokoma ya RSF dhidi ya mji wa El Fasher, Sudan
Aug 30, 2025 02:23Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amelaani vikali mashambulizi yanayofanywa na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka, RSF dhidi ya mji wa El Fasher, kaskazini mwa jimbo la Darfur nchini Sudan huko akitoa indhari juu ya maafa makubwa ya kibinadamu na ukiukaji wa sheria za kimataifa unaofanywa katika mji huo.
-
Mapigano ya ndani Sudan Kusini yaibua hofu kuhusu makubaliano tete ya amani
Aug 29, 2025 23:15Mapigano ya siku mbili kati ya vikosi vya jeshi la serikali na wapiganaji waasi nchini Sudan Kusini yamezua hofu kuhusu makubaliano tete ya amani ya nchi hiyo.
-
Wabunge chipukizi waapa kukomboa Kenya, watadhamini mgombea urais 2027
Aug 29, 2025 23:13Kundi la Kenya Moja, linaoshirikisha wabunge chipukizi, limeahidi kudhamini mgombeaji urais katika uchaguzi mkuu ujao na kuahidi kufanya “ukombozi wa tatu nchini humo”.
-
Viuatilifu vilivyopigwa marufuku Ulaya vyaangamiza nyuki Afrika
Aug 29, 2025 07:28Tafiti za hivi karibuni zinaonyesha kuwa mazao ya thamani kama kahawa, alizeti na mengine yako hatarini kufifia kutokana na kupungua kwa idadi ya nyuki, waliokumbwa na athari za viuatilifu katika maeneo mbalimbali ya Afrika Mashariki.
-
Mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini kuendelea hata kama Trump hatohudhuria
Aug 29, 2025 07:23Afrika Kusini imesisitiza msimamo wake kwamba mkutano ujao wa nchi zilizostawi kiuchumi za G20, utakaofanyika Johannesburg mwezi Novemba, utaendelea kama ulivyopangwa; awepo au asiwepo Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Polisi Kenya wagundua miili zaidi ya waliouawa na pote la Kikristo
Aug 29, 2025 07:18Uchunguzi nchini Kenya kuhusu vifo vinavyoshukiwa kutekelezwa na wafuasi wa kikundi cha Kikristo chenye misimamo mikali katika kaunti ya Kilifi ulichukua mkondo wa kutisha siku ya Alhamisi, baada ya polisi kufukua miili mingine saba katika kijiji cha Kwa Binzaro.
-
Mahakama Kuu ya Kenya yaamuru kusitishwa ujenzi wa 'kanisa la Ruto, katika ikulu zote
Aug 29, 2025 04:05Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru kusitishwa kwa muda ujenzi wa kanisa la kudumu au jengo lolote la kidini katika majengo ya Ikulu, jijini Nairobi. Agizo hilo la muda linazuia pia ujenzi kama huo katika Ikulu za Rais zilizoko maeneo mbalimbali nchini humo.
-
Rwanda yakiri kuwa imepokea wahamiaji saba waliotimuliwa Marekani
Aug 29, 2025 04:02Rwanda imekiri kuwa imepokea wahamiaji saba waliotimuliwa nchini Marekani mapema mwezi huu.
-
Waislamu Nigeria wataka kuachiwa huru kiongozi wa Palestina
Aug 28, 2025 22:54Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imelaani vikali hatua ya polisi ya Nigeria kumkata kiongozi wa Jumuiya ya Wapalestina katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi, Ramzy Abu Ibrahim, ikisisitiza kuwa kukamatwa huko kunafungamana na makubaliano ya hivi karibuni ya usalama kati ya Nigeria na utawala wa Israel.
-
UNICEF yaonya: Watoto wamenasa kwenye janga la kutisha El Fasher, Sudan
Aug 28, 2025 22:53Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeonya juu ya janga kubwa la kuogofya linalowawajihi watoto walionasa mjini El-Fasher, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.