-
Kenya yakiri kuhusika na utekaji wa Kizza Besigye jijini Nairobi
May 21, 2025 22:52Kenya imekiri kwamba ilisaidia katika utekaji wa mwanasiasa wa upinzani wa Uganda katika ardhi yake mwaka uliopita.
-
Madaktari Wasio na Mipaka: Kiasi cha misaada kwa Gaza ni kichekesho
May 21, 2025 22:51Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetangaza katika taarifa yake jana (Jumatano) kwamba kiasi cha misaada ambayo utawala wa Israel umeruhusu kuhamishiwa Ukanda wa Gaza ni kichekesho.
-
Jeshi la Sudan latangaza kuukomboa kikamilifu mji wa Khartoum
May 21, 2025 06:39Jeshi la Sudan (SAF) limetangaza kuwa Jimbo la Khartoum limekombolewa kikamilifu na kwamba wapiganaji wote wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) wamefukuzwa mjini humo. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Khartoum imekuwa bila ya wanamgambo wa RSF kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka miwili.
-
AU yapongeza kuteuliwa Waziri Mkuu raia nchini Sudan
May 21, 2025 06:39Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) Mahmoud Ali Youssouf amepoongeza kuteuliwa Kamil Idris kwa Waziri Mkuu mpya wa Sudan, na kusema kuwa hiyo ni hatua ya kuelekea kwenye utawala jumuishi katika nchi hiyo inayoendelea kuteseka kwa migogoro.
-
Muhoozi Kainerugaba: Ninamkubali Rais Samia Suluhu Hassan; 'Asante mama'
May 21, 2025 04:02Mkuu wa Majeshi ya Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba amemsifu Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwa ni mmoja wa viongozi anaowafadhilisha zaidi wa Afrika aliowataja kuwa "wana maamuzi makubwa".
-
Utoshelevu wa chakula; Afrika yatakiwa iongeze bajeti kwenye kilimo
May 21, 2025 02:24Serikali za nchi za Afrika zimehimizwa kuongeza uwekezaji katika sekta ya kilimo ili kuimarisha usalama wa chakula na kufungua mustakbali wa maendeleo endelevu ya kiuchumi.
-
Jeshi la Sudan: Tunakaribia kudhibiti tena Khartoum
May 20, 2025 22:56Jeshi la Sudan lilisema jana Jumanne kwamba, vikosi vyake vinakaribia "kusafisha kabisa" Jimbo la Khartoum toka mikononi mwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).
-
Miili 105 ya wahamiaji 'haramu' iliopolewa katika pwani ya Senegal 2024
May 20, 2025 22:55Jumla ya miili 105 iliopolewa kutoka baharini pwani ya Senegal mwaka 2024 baada ya kupinduka kwa mitumbwi yao iliyohusishwa na uhamiaji 'usio wa kawaida'.
-
Hatimaye Sudan yapata Waziri Mkuu mpya
May 20, 2025 09:52Kiongozi wa Kijeshi wa Sudan Abdel Fattah al-Burhan amemteua Kamil El-Tayeb Idris Abdelhafiz kuwa waziri mkuu mpya wa taifa hilo, ikiwa ni miaka miwili tangu vita kuzuka nchini humo.
-
Wanaharakati wa Kenya kuishtaki serikali ya Tanzania kwa ukiukaji wa haki
May 20, 2025 09:46Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Kenya wanapanga kwenda mahakamani kuishtaki serikali ya Tanzania, kwa kile wanasema imekiuka haki za kibinadamu.