-
Kwa nini Misri inapinga kuhamishwa kwa nguvu Wapalestina hadi Somaliland?
Jan 13, 2026 00:10Misri imetangaza kupinga vikali kuhamishwa kwa lazima kwa Wapalestina hadi Somaliland eneo lililotangaza kujitenga na Somalia.
-
Waliuliwa huku wakisoma Qur'ani: Simulizi ya kusikitisha ya mauaji ya RSF huko Darfur
Jan 11, 2026 23:44Ushahidi uliotolewa na manusura wa mauaji ya kupanga na kampeni za mauaji ya halaiki na ya kikabila, hasa dhidi ya kabila la "Masalit", yaliyofanywa na wapiganaji wa Rapid Support Forces (RSF) katika eneo la Darfur, umefichua picha ya kutisha ya hali ya kibinadamu katika eneo hilo, kwani athari zake haziishii tu kwenye majeraha ya vita, bali zimegeuka kuwa mauaji ya halaiki.
-
Serikali ya Sudan yarudi Khartoum baada ya zaidi ya miaka miwili ya vita
Jan 11, 2026 23:44Baada ya zaidi ya miaka miwili ya mapigano makali kati ya jeshi la taifa na wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF), serikali ya Sudan imerejea rasmi mjini Khartoum, hatua ambayo Waziri Mkuu Kamel Idris aliitaja kuwa “mgeuko muhimu katika safari ya taifa.”
-
OIC imefanya kikao kujadili kadhia ya Somaliland, baada ya Wazayuni kuitambua rasmi
Jan 11, 2026 07:27Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeitisha kikao mjini Jeddah, Saudi Arabia kujadili kadhia ya Somaliland na hasa baada ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutambua rasmi kujitenga na ardhi nyingine za Somalia.
-
Afrika Kusini yatetea mazoezi ya kijeshi ya BRICS
Jan 11, 2026 07:27Serikali ya Afrika Kusini imetetea mazoezi ya kijeshi ya wiki moja yanayozishirikisha nchi kubwa za Russia, Iran, China na nchi nyingine muhimu, ikisema kuwa maneva hayo kwenye pwani yake ni majibu muhimu ya kuzuia kuongezeka mivutano ya baharini ulimwenguni.
-
Somalia: Israel kuwahamishia kwa nguvu Wapalestina Somaliland ni kinyume cha sheria za kimataifa
Jan 11, 2026 03:26Waziri wa Ulinzi wa Somalia, Ahmed Moalim Fiqi, ameishutumu Israel kwa kupanga kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kuwapeleka katika eneo lililojitenga la Somaliland, akiukashifu mpango huo alioutaja kuwa ni "ukiukaji mkubwa" wa sheria za kimataifa.
-
Ethiopia yaanza ujenzi wa 'uwanja mkubwa zaidi wa ndege barani Afrika'
Jan 11, 2026 03:03Ethiopia imezindua ujenzi wa 'uwanja mkubwa zaidi wa ndege barani Afrika' utakaogharimu dola bilioni 12.5 za Marekani.
-
Uingereza yashirikiana na Imarati kumiliki bandari ya Somaliland dhidi ya Sudan
Jan 10, 2026 23:02Serikali ya Uingereza imeripotiwa kumiliki bandari ya kimkakati inayodhibitiwa na Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika eneo la Somaliland lililotangaza kujitenga la Somalia. Bandani hiyo ni sehemu ya mtandao wa miundombinu ya Imarati inayotumika kuvipelekea silaha Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vinavyofanya mauaji ya umati nchini Sudan.
-
Umoja wa Mataifa: Zaidi ya wakimbizi 50 wa Congo wamefariki Burundi
Jan 10, 2026 23:01Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, zaidi ya wakimbizi 50 wanaokimbia mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamefariki duniani katika nchi jirani ya Burundi.
-
Wamorocco wachoma bendera ya Israel, wasisitiza kufutwa uhusiano wa kawaida na Tel Aviv
Jan 10, 2026 08:40Wananchi Morocco wameandamana na kukusanyika mbele ya bunge la nchi yao ambapo sambamba na kuchoma moto bendera ya utawala haramu wa Israel wametoa mwito kwa serikali ya nchi yao kufuta makubaliano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo ghasibu.