-
Umoja wa Mataifa: Watu milioni 30 nchini Sudan wanahitajia msaada wa haraka
Jan 10, 2026 08:39Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watu milioni 30 nchini Sudan wanahitajia msaada wa haraka wa kibinadamu.
-
Mkuu wa Baraza la Utawala Sudan: RSF itaangamizwa hivi karibuni
Jan 10, 2026 02:07Kiongozi wa Baraza la Utawala wa Mpito nchini Sudan amesema kuwa kundi la wapiganaji la Rapid Support Forces (RSF) litaangamizwa hivi karibuni.
-
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amwalika Rais Putin baada ya ushindi
Jan 09, 2026 23:03Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Faustin-Archange Touadera, ambaye hivi karibuni ametangazwa mshindi katika uchaguzi wa rais, amemwalika Rais Vladimir Putin wa Russia kutembelea nchi hiyo jambo linaloashiria azma yake ya kushirikiana na Russia.
-
Nchi za Kiislamu zapinga safari za waziri wa Israel katika eneo la Somalia la 'Somaliland'
Jan 09, 2026 07:32Nchi 22 za Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) zimetoa taarifa na kutenga zinapinga vikali kujitenga eneo la Somaliland la Somalia huku zikilaani vikali safari ya waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo hilo.
-
Somalia yakanusha madai ya Marekani ya kutwaa chakula cha WFP
Jan 08, 2026 22:53Somalia jana Alhamisi ilikanusha madai ya Marekani kwamba maafisa wa eneo hilo wametwaa bidhaa za chakula kutoka katika ghala la shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), huku Washington ikisimamisha misaada kwa Mogadishu kusubiri uchunguzi.
-
Afrika Kusini: Hatutazuia mpango wa Washington wa kuwapa hifadhi wazungu waliowachache
Jan 08, 2026 09:33Afrika Kusini imesema haitapinga mpango wenye utata wa serikali ya Washington wa kuwapeleka Marekani raia wazungu walio wachache wa Afrika Kusini.
-
Bobi Wine: Nitapitia upya mikataba ya mafuta ya Uganda iwapo nitachaguliwa Rais
Jan 08, 2026 09:18Bobi Wine mgombea mkuu wa upinzani katika uchaguzi wa kiti cha urais nchini Uganda uliopangwa kufanyika wiki ijayo, amesema kuwa atapitia upya makubaliano yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na makampuni ya mafuta duniani iwapo ataibuka na ushindi. Amesema ataifanyia marekebisho mikataba yoyote ambayo haina manufaa na maslahi kwa watu wa Uganda.
-
SWAPO yaitaka Marekani imuachie Maduro bila masharti yoyote
Jan 08, 2026 02:58Chama tawala nchini Namibia cha South West Africa People's Organization (SWAPO), kimetoa wito wa kuachiliwa huru mara moja na bila masharti yoyote Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe.
-
Vyama vya Tunisia vyamjia juu Trump kwa kukiuka sheria za kimataifa
Jan 08, 2026 02:39Vyama vya kisiasa na harakati za kijamii na kiraia nchini Tunisia zimetangaza kupinga vikali ajenda ya sera ya kigeni ya Rais wa Marekani Donald Trump, hasa uingiliaji wake wa masuala ya ndani ya Venezuela na ushupaliaji wake wa kutaka kuidhibiti Greenland.
-
Mwanachuoni Nigeria: Israel itafutwa katika uso wa dunia ikiishambulia tena Iran
Jan 08, 2026 02:38Mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu wa kaskazini mashariki mwa Nigeria amezionya Israel na Marekani dhidi ya kufanya mashambulizi yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran, akisema matokeo yake yatakuwa mabaya zaidi kuliko yale ya vita vya siku 12 vya mwezi Juni mwaka uliopita 2025, na kuilazimisha Israel kuomba usitishaji vita.