-
Ukatili wa kingono dhidi ya watoto nchini Kongo umekithiri na ni wa kimfumo
Dec 31, 2025 22:55Ukatili wa kingono dhidi ya watoto limekuwa jambo la kawaida, la kimfumo na unazidi kuongezeka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF).
-
Rais wa Somalia: Israel inataka kudhibiti njia za baharini Pembe ya Afrika
Dec 31, 2025 06:48Rais wa Somalia kwa mara nyingine amelaani uchokozi wa utawala wa Kizayuni wa kutambua ramsi kujitenga Somaliland na maeneo mengine ya Somalia nakusisitiza kuwa, lengo la Israel ni kudhibiti njia muhimu na za kiistratijia za baharini kwenye eneo la Pembe ya Afrika.
-
Kisu cha ngariba; Vijana 41 waaga dunia Afrika Kusini wakipashwa tohara
Dec 31, 2025 06:47Takriban vijana 41 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na taratibu 'zisizofaa' za upashaji tohara nchini Afrika Kusini mwezi Novemba na Desemba mwaka huu unaomalizika wa 2025, mamlaka za nchi hiyo zilitangaza hayo jana Jumanne.
-
Rais wa Somalia akutana na rais mwenzake wa Uturuki, wazungumzia Somaliland
Dec 31, 2025 02:47Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mwenzake wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud mjini Istanbul na kujadiliana masuala mbalimbali ikiwemo kadhia ya Somaliland.
-
Kiongozi wa kijeshi wa Guinea, Mamadi Doumbouya, ashinda urais kwa kishindo
Dec 30, 2025 23:28Tume ya uchaguzi ya Guinea Conakry ilitangaza jioni ya jana Jumanne kwamba kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo, Mamadi Doumbouya, ameshinda kwa kishindo kwa kupata asilimia 86.72 ya kura katika duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais.
-
Maandamano ya kuilaani Israel kwa 'kuitambua Somaliland' yaenea kote Somalia
Dec 30, 2025 22:56Maelfu ya wananchi wa Somalia wameendelea kumiminika mabarabarani katika miji mbali mbali ya nchi hiyo, kupinga na kulaani uamuzi wa utawala haramu wa Israel wa kulitambua eneo la Somaliland la kaskazini mwa nchi kama taifa huru.
-
Somaliland katika kitovu cha kuzingatiwa kijiopilitiki; Je Israel inataka kutia mguu katika Lango Bahari la Bab al-Mandab?
Dec 30, 2025 22:53Mataifa na asasi mbalimbali za Kiafrika, Kiarabu na Kiislamu zimepinga vikali hatua ya utawala vamizi wa Israel ya kulitambua rasmi eneo la 'Somaliland', ambalo limejitenga na Somalia, kama taifa huru na lenye mamlaka kamili, hatua ambayo imekabiliwa na radiamali kali ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na jamii ya kimataifa.
-
Somaliland; nukta ya makutano ya maslahi ya kimataifa na njama za Kizayuni
Dec 30, 2025 09:07Hatua ya utawala vamizi wa Israel ya kulitambua rasmi eneo la 'Somaliland, ambalo limejitenga na Somalia, kama taifa huru na lenye mamlaka kamili.imekabiliwa na radiamali kali ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na jamii ya kimataifa.
-
Zaidi ya wahamiaji 3,000 wamefariki wakiwa njiani kuelekea Uhispania mwaka 2025
Dec 30, 2025 07:12Takwimu mpya zinaonesha kuwa zaidi ya watu 3,000 wamefariki dunia wakati wakijaribu kufika Uhispania kwa njia ya baharini katika mwaka huu 2025 unaoelekea kuisha.
-
Afrika Kusini yatangaza rasmi kuunga mkono uhuru wa kujitawala ardhi yote ya Somalia
Dec 30, 2025 07:12Wizara ya Mambo ya Nje ya Afrika Kusini imetoa tamko rasmi na kutangaza wasiwasi wake kuhusu tangazo la hivi karibuni la utawala wa Kizayuni la kuitambua Somaliland kama nchi huru.