-
Kiwanda cha kwanza cha kampuni ya Israel ya uundaji droni za Spike chafunguliwa nchini Morocco
Nov 17, 2025 07:18Kampuni moja ya utawala wa kizayuni wa Israel imefungua kiwanda chake cha kwanza nje ya nchi huko Morocco cha uundaji wa ndege zisizo na rubani za mashambulizi aina ya Spike.
-
Afrika Kusini yaanza kufufua miradi ya nyuklia
Nov 17, 2025 05:44Afrika Kusini imeamua kufufua miradi ya nyuklia iliyokwama kwa muda mrefu na kufungua tena vituo muhimu vya utafiti, kama sehemu ya juhudi za kujenga upya utaalamu wa ndani na kujipanga upya katika masoko yanayochipuka ya mafuta ya mitambo ya nyuklia duniani.
-
Ajali ya mgodi yaua watu 32 nchini DRC
Nov 17, 2025 05:43Daraja la mgodi wa kobalti kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) limeporomoka na kuua wachimbaji wasiopungua 32, afisa wa serikali ya mkoa alithibitisha Jumapili.
-
Hamas yakataa mpango wa vikosi vya kigeni Gaza
Nov 17, 2025 05:41Makundi ya Kipalestina yakiongozwa na Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Palestina, Hamas, yamepinga vikali mpango wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa kupeleka vikosi vya kigeni katika Ukanda wa Gaza.
-
Umoja wa Afrika wakaribisha kutiwa saini kwa mkataba wa amani kati ya DRC na waasi
Nov 17, 2025 05:39Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, Mahmoud Ali Youssouf, amepongeza kutiwa saini kwa makubaliano ya amanikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi hayo akisema ni “hatua kubwa kuelekea kurejesha uthabiti, kujenga tena imani, na kushughulikia mizizi ya migogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).”
-
Vyombo vya usalama Tanzania vyamkamata raia wa Marekani na Kenya akiwa na mabomu
Nov 17, 2025 00:16Polisi ya Tanzania imetangaza kuwa imemkamata raia wa Marekani na Kenya akiwa na mabomu katika mpaka wa Tanzania na Kenya.
-
Somalia yakaribia uchaguzi wa moja kwa moja, wakazi wa Mogadishu wachukua kadi za kupiga kura
Nov 16, 2025 23:17Somalia imezindua rasmi ugawaji wa kadi za wapiga kura katika mji mkuu, Mogadishu, kuelekea uchaguzi wa manispaa, hatua muhimu katika safari ya taifa hilo kuelekea uchaguzi wa ushiriki wa moja kwa moja wa upigaji kura.
-
Israel yamuua kigaidi mtaalamu mwingine wa nyuklia wa Misri
Nov 16, 2025 07:28Ingawa maafisa wa Misri wametangaza kwamba wamemkamata mhusika wa mauaji ya mwanasayansi kijana wa nyuklia wa nchi hiyo; lakini taarifa nyingine zinasisitiza kwamba muuaji aliondoka eneo la tukio mbele ya macho ya kila mtu na inaaminika ana uhusiano na shirika la kijasusi la Israel MOSSAD hasa kwa kuzingatia kuwa, Tel Aviv ina historia chafu ya kufanya jinai kama hizo za kuwaua kigaidi wanasayansi wa nyuklia wa nchi mbalimbali ikiwemo Misri.
-
Watu wasiopungua 20 wauawa katika shambulio la waasi wa ADF mashariki mwa DRC
Nov 16, 2025 07:28Kwa uchache watu 20 wamepoteza maisha katika kipindi cha siku mbili za Ijumaa na Jumamosi katika shambulio lililohusishwa na waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
-
Watu 4 wapoteza maisha baada ya boti za wahamiaji kuzama kwenye pwani ya Libya
Nov 16, 2025 07:27Shiriika la Hilali Nyekundu limetangaza kuwa, kwa uchache watu wanne wamepoteza maisha wakati boti mbili zilizokuwa zimebeba wahamiaji 95 zilipozama kwenye pwani ya mji wa Al Khums wa magharibi mwa Libya.