-
Charlotte Slente: Zaidi ya nusu ya Wasudan wanahitaji msaada wa kibinadamu
Nov 16, 2025 03:37Zaidi ya nusu ya idadi ya watu wa Sudan wanahitaji msaada wa kibinadamu. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Baraza la Wakimbizi la Denmark, huku mapigano yakiliharibu taifa hilo la kaskazini mashariki mwa Afrika.
-
DRC na M23 zasaini "muundo kamili" wa mpango wa amani baada ya mazungumzo ya Doha
Nov 15, 2025 22:58Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kundi la waasi la M23 zimesaini makubaliano ya muundo kwa ajili ya mkataba wa amani unaolenga kumaliza mapigano mashariki mwa nchi hiyo.
-
Afrika Kusini inafuatilia kesi ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na Israel
Nov 15, 2025 08:00Serikali ya Afrika Kusini imetangaza kuwa, itaendelea kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki kwa tuhuma za kutenda mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.
-
Ramaphosa: Hatutowarudisha Wapalestina waliokuja Afrika Kusini
Nov 15, 2025 01:52Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema kuwa, makumi ya Wapalestina waliofika nchini humo kwa ndege ya kukodi hawatarudishwa bali watapewa hifadhi nchini Afrika Kusini.
-
Rais wa Tanzania atoa msamaha kwa vijana waliofanya fujo wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu
Nov 15, 2025 01:51Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa msamaha kwa vijana waliofanya fujo wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 akisema kuwa, walifuata mkumbo na hawakujua walifanyalo.
-
Mashambulizi ya anga yaendelea Libya, 71 waokolewa baharini
Nov 15, 2025 01:51Mji wa Zawiya wa magharibi mwa Libya ulioko umbali wa kilomita 60 magharibi mwa mji mkuu Tripoli, umekumbwa na mashambulizi ya mfululizo ya anga. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya karibuni kabisa ya Shirika la Kudhibiti Vitisho vya Usalama mjini Zawiya.
-
Jenerali Al Burhan hakutakuwa na suluhu baina ya SAF na RSF
Nov 15, 2025 01:50Mkuu wa jeshi la Sudan SAF Jenerali Abdel Fattah Al-Burhan alisema jana Ijumaa kwamba hakutakuwa na "suluhu wala amani" kati ya jeshi analoongoza yeye SAF na Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF akisisitiza kwamba operesheni za kijeshi zitaendelea hadi "watakaposambaratishwa kabisa wanamgambo waasi."
-
Samia amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu mpya wa Tanzania
Nov 14, 2025 07:42Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amemwapisha Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuthibitishwa na Bunge jana Alkhamisi Novemba 13, 2025.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Congo DR: Rwanda lazima ionyeshe hamu ya kweli ya kutaka amani
Nov 14, 2025 06:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Thérèse Kayikwamba Wagner, ameikosoa vikali Rwanda, akiitaka ithibitishe dhamira yake ya kweli ya kutaka amani, kutokana na uwepo wa vikosi vyake ndani ya ardhi ya Congo na mvutano unaoongezeka mashariki mwa nchi hiyo.
-
CDC: Afrika inakabiliwa na mlipuko mbaya zaidi wa kipindupindu katika miaka 25
Nov 14, 2025 06:09Shirika la Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (CDC) limetahadharisha kuwa bara la Afrika linakabiliwa na mlipuko mbaya zaidi wa kipindupindu katika kipindi cha robo karne, likifungamanisha ongezeko hilo na miundombinu dhaifu ya maji na migogoro inayoendelea katika sehemu mbalimbali za bara hilo.