-
Balozi wa Marekani Denmark alalamikiwa kuhusu juhudi za Marekani kujipenyeza kwa siri Greenland
Aug 28, 2025 08:14Wizara ya Mambo ya Nje ya Denmark ilitangaza Jumatano kwamba imemwita balozi wa Marekani kufuatia ripoti za intelijensia zinazosema kwamba raia wa Marekani wamehusika kwa siri katika kuchochea upinzani dhidi ya mamlaka ya Copenhagen huko Greenland.
-
Save The Children: Njaa huko Gaza ni ya makusudi na ya kubuniwa
Aug 28, 2025 08:12Katika taarifa yake siku ya Jumatano, mkuu wa shirika la kimataifa la Save the Children ameashiria hali mbaya ya Gaza na kusema njaa katika ukanda huo ni jambo lililopangwa, linalotabirika na linalosababishwa na mwanadamu.
-
Yemen yashambulia uwanja wa ndege wa Ben-Gurion kwa kombora la masafa marefu
Aug 28, 2025 08:09Msemaji wa jeshi la Yemen ametangaza kuwa uwanja wa ndege wa Ben Gurion huko Tel Aviv umelengwa kwa shambulio la kombora la balestiki la nchi hiyo.
-
Jerusalem Post: Wayemen hawawezi kushindwa
Aug 28, 2025 08:08Katika ripoti yake ya siku ya Jumatano, gazeti moja la Kizayuni sambamba na kusisitiza kutoweza kushindwa taifa la Yemen limesema kuwa, utawala ghasibu wa Israel hautaki kuingia katika mzozo wa moja kwa moja na Yemen.
-
Utumiaji mbaya wa silaha Marekani wasababisha vifo vya watu wawili
Aug 28, 2025 08:05Shule moja katika mji wa Minneapolis, ulioko katika jimbo la Minnesota, siku ya Jumatano, ilishuhudia maafa mengine yaliyotokana na utumizi mbaya wa silaha zilizoko mikononi mwa raia.
-
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusiana na uamuzi wa serikali ya Australia wa kupunguza kiwango cha uhusiano wa kidiplomasia na Iran
Aug 27, 2025 12:53Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imechapisha taarifa ikiutaja uamuzi wa serikali ya Australia wa kupunguza kiwango cha uhusiano wa kidiplomasia na Iran kuwa kinyume na utamaduni wa uhusiano mkongwe wa nchi hizi mbili.
-
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran: Hatuna budi ila kuwa na nguvu
Aug 27, 2025 12:51Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran haina chaguo jingine isipokuwa kujiimarisha kijeshi na kuwa na nguvu.
-
Hamas: Kitendo cha utawala wa Kizayuni kukataa kukabidhi miili ya mashahidi wa Kipalestina kinaonyesha ukatili
Aug 27, 2025 12:49Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeashiria kuwa, utawala ghasibu wa Israel umekataa kukabidhi maiti 726 za mashahidi wa Kipalestina na kukitaja kitendo hicho kuwa jinai na ukatili wa kutisha wa adui Mzayuni.
-
Sisitizo la Malaysia juu ya uungaji mkono endelevu kwa Palestina
Aug 27, 2025 12:47Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Malaysia amesema kuwa, nchi hiyo itadhibiti na kusimamia vilivyo vitisho au ugaidi wowote unaohusiana na suala la uungaji mkono wa Kuala Lumpur kwa Palestina na kuwa itadumisha misimamo ya kuwaunga mkono Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni.
-
Abbas Araghchi: Wakaguzi wa IAEA wanaingia nchini kwa uamuzi wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa
Aug 27, 2025 12:44Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuingia nchini kwa wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA ni uamuzi uliochukuliwa na Baraza Kuu la Usalama wa Taifa kwa ajili ya kuchunguza suala la kubadilishwa mafuta ya kiwanda cha kuzalisha umeme cha Bushehr. Amesema hakuna maafikiano yoyote yaliyofikiwa kuhusu ushirikiano mpya wa Iran na wakala huo.