-
Hizbullah: Mazungumzo na adui hayana maslahi na taifa
Nov 06, 2025 10:44Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imesitiza kuwa kufanya mazungumzo na adui si kwa maslahi yoyote ya kitaifa, na kubainisha kuwa baadhi walijaribu kukabidhi silaha za muqawama dhidi ya adui kama ushahidi wa nia njema ya Lebanon.
-
Ziara ya Gharibabadi nchini Saudi Arabia inalenga kuimarisha ushirikiano
Nov 06, 2025 10:31Naibu Waziri wa Sheria na Masuala ya Kimataifa wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesafiri hadi Saudi Arabia kwa ajenda ya kuimarisha ushirikiano.
-
China: Tunaunga mkono haki ya Iran ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani
Nov 06, 2025 06:12Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetangaza kuwa, Beijing inaunga mkono haki ya Iran ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani.
-
Zaidi ya Wapalestina 9,000 wanashikiliwa katika jela za Israel
Nov 05, 2025 19:03Taasisi tatu za Palestina zinazohusiana na masuala ya mateka zimetangaza kuwa, utawala wa Israel unawashikilia Wapalestina 9,250 katika jela zake.
-
ElBaradei akosoa kimya cha serikali za Kiarabu kuhusu jinai za Wazayuni huko Gaza
Nov 01, 2025 14:36Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki amekosoa kwenye ukurasa wake wa kibinafsi kwenye Jukwaa la X (zamani Twitter) misimamo ya serikali za Kiarabu kuhusu faili la kesi dhidi ya utawala wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).
-
Mwanamfalme wa Uingereza avuliwa vyeo vyote vya kifalme
Nov 01, 2025 04:14Kasri ya Mfalme wa Uingereza, Buckingham Palace, ilitangaza jana Ijumaa kwamba Andrew, kaka wa mfalme wa Uingereza, atajulikana kama Andrew Mountbatten Windsor na si Mwanamfalme, na hatakuwa tena na haki ya kutumia vyeo vyake vyovyote vya kifalme.
-
Kutawishwa ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi kati ya Moscow na Beijing
Nov 01, 2025 04:10Ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi kati ya Moscow na Beijing unaendelea licha ya vikwazo vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya.
-
Takht-Ravanchi: Oman ni jirani wa kuaminika wa Iran na mshirika muhimu
Nov 01, 2025 04:03Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ambaye pia ni Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameitaja ziara yake ya hivi karibuni nchini Oman kuwa yenye manufaa.
-
Zaidi ya watoto 22,000 wameuawa katika mashambulizi ya Israel Gaza
Oct 30, 2025 13:57Mkurugenzi wa idara ya magonjwa ya watoto na uzazi katika Kituo cha Tiba cha Nasser huko Gaza amesema leo Alkhamisi kuwa, zaidi ya watoto 22,000 wa Kipalestina wameuawa shahidi katika Ukanda huo tangu kuanza kwa mashambulizi ya utawala wa Israel (Oktoba 2023).
-
Iran na Niger zasisitiza kupanua ushirikiano wa utalii
Oct 30, 2025 13:51Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Jamhuri ya Niger leo Alkhamisi amebadilishana mawazo na Waziri wa Utalii na Kazi za Mikono wa nchi hiyo kuhusu ushirikiano wa pamoja katika uga wa utalii.