-
Taasisi za Palestina: Maelfu ya wafungwa wanateswa katika magereza ya Israel
Dec 27, 2025 06:01Asasi mbili za Kipalestina yametangaza kwamba, zaidi ya mateka na wafungwa 9,300 wa Palestina wanaoshikiliwa katika magereza na vituo vya kuzuiliwa vya Israel wanakabiliwa na "mateso yaliyopangwa."
-
Erdogan: Israel haiheshimu ahadi zake, kamwe Uturuki haitaiacha Gaza
Dec 25, 2025 08:13Rais wa Uturuki amesema: "Utawala wa Israel hauheshimu wala kufungamana na ahadi zake na unazuia misaada ya kibinadamu kuingia Gaza kila mara kwa kutumia visingizio mbalimbali."
-
Ujenzi wa vitongoji haramu Ukingo wa Magharibi walaaniwa kimataifa
Dec 25, 2025 08:06Mataifa ya Ulaya sambamba na Canada na Japan yametoa taarifa ya pamoja na kulaani uamuzi wa Israel wa kuanzisha ujenzi mpya wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Pakistan yapinga vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran katika faili la nyuklia
Dec 24, 2025 13:20Mwakilishi wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa amepinga vikali vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran katika faili la nyuklia.
-
Utayari wa Iran wa kuanzisha mtandao wa nchi za Kiislamu wa bioteknolojia na kuimarisha usalama wa chakula
Dec 24, 2025 08:34Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Bioteknolojia ya Kilimo ya Iran ametangaza utayari wa kuanzisha mtandao wa pamoja wa ushirikiano wa kisayansi na utafiti na nchi za Kiislamu katika sekta ya usalama wa chakula.
-
Ubelgiji yajiunga katika kesi ya ICJ dhidi ya mauaji ya kimbari ya Israel Gaza
Dec 24, 2025 08:31Ubelgiji imetangaza kujiunga katika kesi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Wanazuoni wa Yemen: Kutetea matukufu ya Kiislamu ni wajibu wa kidini
Dec 21, 2025 09:44Jumuiya ya Maulamaa wa Yemeni ilifanya mkutano mkubwa katika mji mkuu Sanaa siku ya Jumamosi, na kusisitiza jukumu la kidini la wasomi na maulamaa katika kutetea Qur’an na matukufu ya Kiislamu.
-
Jibu la Caracas kwa Trump katika Umoja wa Mataifa
Dec 21, 2025 09:38Mwakilishi wa kudumu wa Venezuela katika Umoja wa Mataifa amelaani madai ya Rais Donald Trump kwamba Marekani inamiliki eneo la nchi hiyo na rasilimali za mafuta, akionya kwamba enzi ya ukoloni wa kale imekwisha.
-
Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa: Misri inaunga mkono mauaji ya halaiki ya Wapalestina
Dec 21, 2025 09:34Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa ameitaja hatua ya Misri ya kuidhinisha makubaliano ya ununuzi wa gesi kutoka kwa utawala wa Israel kuwa ni uungaji mkono wa nchi hiyo kwa mauaji ya halaiki ya Wazayuni huko Gaza.
-
Israel yaendelea kushambulia Ghaza na Ukingo wa Magharibi
Dec 15, 2025 06:24Pars Today- Ndege za kivita na mizinga ya Israel kwa mara nyingine tena imeshambulia maeneo mbalimbali ya Ghaza, na wakati huo huo utawala huo katili umefanya mashambulizi makubwa katika Ukingo wa Magharibi dhidi ya wananchi wa Palestina.