-
Belarusi: Tuna azma thabiti ya kupanua ushirikiano wetu na Iran
Oct 30, 2025 05:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Belarus amefanya mazungumzo na Naibu Waziri na Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kisiasa na Kimataifa cha Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran na kusisitiza nia na azma thabiti ya nchi yake ya kupanua ushirikiano na Iran.
-
Iran yalaani kuendelea mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wasio na ulinzi wa Gaza
Oct 30, 2025 05:24Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali mashambulizi makubwa ya anga ya utawala wa Israel katika maeneo mbalimbali ya kusini, katikati na kaskazini mwa Gaza.
-
Makamu wa Rais: Maadui wanapasa kujifikiria mara mbili kabla ya kuichokoza Iran
Oct 29, 2025 07:19"Tuna uhakika kwamba ikiwa maadui wana chembe ya sababu hawatathubutu kupanga shambulio jipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran," amesema Jumanne hii Muhammad -Reza Aref Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran yalaani mashambulizi dhidi ya raia katika jimbo la Darfur, Sudan
Oct 29, 2025 07:00Wizara ya Mambo ya Nje imeelezea wasiwasi wake mkubwa kuhusu machafuko yanayoendelea katika jimbo la Darfur Kaskazini nchini Sudan, na kulaani mauaji ya raia na uharibifu wa miundombinu katika mji wa El-Fasher.
-
Makubaliano ya mpaka kati ya Iran na Afghanistan
Oct 28, 2025 05:55Kikao cha maafisa wa ngazi za juu wa mpaka kati ya Iran na Afghanistan kimefanyika kwa kuhudhuriwa ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran.
-
Idadi ya mashahidi huko Gaza imefikia 68,527
Oct 28, 2025 05:51Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa, idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi ya jeshi la Israel Ukanda wa Gaza imefikia 68,527.
-
Velayati: Uhusiano wa Iran na China ni wa kimkakati na wa kina
Oct 27, 2025 10:22Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa wa kina uhusiano wa kihistoria na mzuri uliopo kati ya Iran na China na kusema: "Uhusiano wa nchi hizo mbili una wigo wa kistratejia na wenye mizizi mirefu."
-
Ufaransa yatangaza kuwa tayari kutuma wanajeshi nchini Ukraine
Oct 26, 2025 10:19Pars Today- Mkuu wa Komandi Kuu ya Jeshi la Ufaransa ametangaza kwamba ikiwa Russia na Ukraine zitafikia makubaliano ya kusitisha mapigano, Paris itakuwa tayari kutuma wanajeshi nchini Ukraine kama sehemu ya kutoa dhamana za usalama kutoka kwa nchi za Magharibi.
-
Malaysia yashuhudia maandamano makubwa dhidi ya Israel na Marekani
Oct 26, 2025 06:09Maandamano makubwa yamefanyika nchini Malaysia kuunga mkono wananchi wa Palestina na kulaani himaya ya Marekani kwa Israel na jinai za utawala huo ghasibu katika Ukanda wa Gaza.
-
Mkuu wa majeshi ya Yemen auawa katika mashambulizi ya Israel
Oct 17, 2025 06:56Mkuu wa Majeshi ya Yemen, Meja Jenerali Mohammad Abd al-Karim al-Ghamari ameripotiwa kuuawa shahidi katika mashambulizi ya anga ya Israel, pamoja wapamba wake kadhaa na mtoto wake wa kiume aliyekuwa na umri wa miaka 13, Hussein al-Ghamari.