-
UNICEF yaonya kuhusu mlipuko wa magonjwa miongoni mwa watoto Gaza
Dec 15, 2025 02:24Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umeonya juu ya ongezeko la hatari ya milipuko ya magonjwa miongoni mwa watoto katika Ukanda wa Gaza, huko Palestina.
-
Brigedia Jenerali Ali Jahanshahi: Iran imejiandaa kukabiliana na aina yoyote ile ya vitisho
Dec 15, 2025 02:22Brigedia Jenerali Ali Jahanshahi, Kamanda wa vikosi vya nchi kavu vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikosi vya ulinzi vikiwa na zana kamili, silaha na uwezo viko tayari kukabiliana na tishio lolote la adui kwa kusikiliza amri ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Idadi ya wahanga wa mashambulizi ya Pakistan nchini Afghanistan yaongezeka
Dec 06, 2025 12:25Idadi ya watu waliouawa na kujeruhiwa katika mashambulio ya Pakistan kwenye mkoa wa Kandahar nchini Afghanistan imeongezeka na kufikia watu 10.
-
Rais Erdogan: Amani haiwezi kupatikana pasi na kuundwa taifa la Palestina
Nov 24, 2025 07:16Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema kuwa, amani haiwezi kupatikana bila kuundwa taifa la Palestina.
-
Iran: Utawala wa kizayuni hauna mpaka katika kutenda jinai
Nov 23, 2025 14:49Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utawala haramu wa Israel hauna mpaka katika kutenda jinai na wqala hauheshimu ahadi wala sheria yoyote ya kimataifa.
-
Umoja wa Mataifa: Wayemeni milioni 17 wanakabiliwa na njaa kali
Nov 18, 2025 06:24Umoja wa Mataifa umetangaza katika ripoti yake ya hivi punde kwamba raia milioni 17 wa Yemen wanakabiliwa na njaa kali, na idadi hii inatarajiwa kuongezeka.
-
WHO yaonya kuhusu vifo vya wagonjwa huko Gaza
Nov 16, 2025 04:26Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kushindwa kupata vibali vya kuondoka mara moja kwa wagonjwa kutoka Gaza kumesababisha vifo vya wagonjwa 900 hadi sasa.
-
Umoja wa Mataifa waonya kuhusu kuongezeka kwa mgogoro wa kibinadamu nchini Sudan
Nov 16, 2025 04:22Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Sudan, ukieleza kuwa watu wengi katika eneo hilo wanahitaji msaada wa haraka.
-
UNRWA: Israel inakiuka sheria za kimataifa kwa kuzuia misaada kwa Gaza
Nov 16, 2025 04:13Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limekosoa kuendelea kuwekewa vikwazo vya misaada katika Ukanda wa Gaza na kueleza kuwa, utawala ghasibu wa Israel kama utawala unaoukalia kwa mabavu hautekelezi wajibu wake kwa mujibu wa sheria za kimataifa za kibinadamu.
-
Hamas yaonya kuhusu kuongezeka janga la kibinadamu Ukanda wa Gaza
Nov 16, 2025 02:45Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeonya kuhusiana na kushadidi janga la kibinadamuu katika Ukanda wa Gaza.