-
Sababu za kusalia imara Muqawama-2
Nov 17, 2024 02:39Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya kipindi chetu cha leo ambacho kinaendelea kuzungumzia sababu za kuendelea kusimama imara kambi ya Muqawama dhidi ya mabeberu na utawala wa Kizayuni wa Israel...
-
Filamu ya 'animesheni' kuhusu Palestina yatikisa hisia za walimwengu + Video
Nov 07, 2024 10:03Mtengenezaji filamu mmoja Muislamu raia wa Marekani ametengeneza filamu ya 'animesheni' iitwayo "Mimi ni kutoka Palestina" na kutikisa hisia za walimwengu katika kona mbalimbali za dunia.
-
Yahya Sinwar; Nembo ya Istiqama ya Palestina na Kusimama Imara Kukabiliana na Ughasibu
Nov 06, 2024 11:26Natumai hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Nakukaribisha kutegea sikio kipindi hiki maalumu, ambacho kitasimulia maisha na ushujaa wa Yahya Sinwar, mmoja wa viongozi watajika wa Kambi ya Muqawama na miongoni mwa waasisi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.
-
Sayyid Hashem Safiyyuddin, Mjenga Hamasa ya Muqawama Itakayodumu Milele
Nov 06, 2024 09:06SalamuLlahi Alaykum wapenzi wasikilizaji, na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kuuawa shahidi Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Sayyid Hashem Safiyyuddin.
-
Satelaiti mbili za Iran zarushwa kwa mafanikio katika anga za mbali + Video
Nov 05, 2024 03:16Satelaiti mbili za Iran zilizotengenezwa na wanasayansi wenyewe wa Jamhuri ya Kiislamu mapema leo Jumanne zimerushwa kwa mafanikio angani na kufungua mlango kwa sekta binafsi ya Iran kuingia katika tasnia ya anga za mbali.
-
Hizbullah yawatwanga tena Wazayuni kwa zaidi ya makombora 100 + Video
Nov 04, 2024 06:29Jeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kwamba kwa uchache makombora 100 ya Hizbullah ya Lebanon yametwanga vituo vya kijeshi vya Israel katika kipindi cha saa 24 zilizopita.
-
Jumatatu, 04 Novemba, 2024
Nov 04, 2024 02:46Leo ni Jumatatu tarehe Pili Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 4 Novemba 2024.
-
Kwa mara nyingine wananchi wa Tunisia wataka balozi wa Marekani atimuliwe + Video
Nov 04, 2024 02:40Kwa mara nyingine tena wananchi wa Tunisiia wameandamana karibu na ubalozi wa Marekani mjini Tunis na kushinikiza balozi huyo wa dola la kibeberu atimuliwe nchini mwao.
-
Sababu za kusalia imara Kambi ya Muqawama: "Imani na kutawakali kwa Mola Muumba"
Oct 31, 2024 09:35Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika Makala ya Wiki ambayo leo inazungumzia kwa ufupi sababu za kuendelea kuimarika Kambi ya Muqawama na mapambano dhidi ya dhulma na Uonevu.
-
Walowezi sita wa Israel waangamizwa na makumi wajeruhiwa karibu na Tel Aviv + Video + Picha
Oct 28, 2024 02:56Takriban walowezi sita wa utawala wa Kizayuni wameangamizwa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika operesheni ya kulipiza kisasi ya lori kwenye kituo cha mabasi karibu na makutano ya barabara ya Glilot kaskazini mwa Tel Aviv. Eneo lilipotokea tukio hilo kitovu cha kibiashara cha mji mkuu huo wa utawala wa Kizayuni wa Israel.