Matukio
  • Israel yatwangwa kwa zaidi ya makombora 50 katika kipindi cha dakika mbili + Video

    Israel yatwangwa kwa zaidi ya makombora 50 katika kipindi cha dakika mbili + Video

    Oct 24, 2024 11:55

    Jeshi la utawala wa Kizayuni limetangaza kuwa, maeneo ya al Jalil ya kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni yamepigwa kwa makombora 50 katika kipindi cha dakika mbili huku Israel ikishindwa kutungua makombora hayo.

  • Kumbukumbu ya kuuawa shahidi Yahya Sinwar

    Kumbukumbu ya kuuawa shahidi Yahya Sinwar

    Oct 24, 2024 10:38

    Karibuni wapendwa wasikilizaji wa Radio Tehran katika Makala yetu ya Wiki ambayo inahusu kumbukumbu ya shahidi Yahya Sinwar aliyekuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).

  • Gaza; Jahannamu ya waandishi wa habari

    Gaza; Jahannamu ya waandishi wa habari

    Oct 23, 2024 08:13

    Hamjambo wasikilizaji wapendwa na karibuni kufuatilia kipindi chetu cha Makala ya Wiki ambacho kinabeba anwani: Gaza, Jahanamu ya Waandishi wa Habari”.

  • Wakati Israel ilipofedheheshwa katika mkutano wa IPU; Tulia Ackson ajitetea kwa nguvu zote + Video

    Wakati Israel ilipofedheheshwa katika mkutano wa IPU; Tulia Ackson ajitetea kwa nguvu zote + Video

    Oct 16, 2024 11:02

    Wabunge wa nchi mbalimbali duniani wameususia utawala wa Kizayuni wa Israel na kutoka nje ya ukumbi wakipiga nara za ukombozi wa Palestina wakati wa Mkutano Mkuu wa 149 wa Muungano wa Mabunge ya Umoja wa Mataifa (IPU) mjini Geneva, Uswisi.

  • Spoti, Oktoba 14

    Spoti, Oktoba 14

    Oct 14, 2024 07:21

    Hujambo msikilizaji mpendwa na hususan ashiki wa habari na za spoti. Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa….

  • Spika wa Bunge la Iran akiwa rubani katika safari yake Lebanon + VIDEO

    Spika wa Bunge la Iran akiwa rubani katika safari yake Lebanon + VIDEO

    Oct 13, 2024 12:48

    Mohammad Bagher Ghalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) jana aliwasili Lebanon akiwa rubani wa ndege ya ujumbe wa Iran aliouongoza.

  • Iran na Oman zafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi + Video

    Iran na Oman zafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi + Video

    Oct 11, 2024 02:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na jirani yake Oman zimefanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi yaliyoshirikisha Jeshi la Majini la Iran, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran SEPAH na Jeshi la Majini la Oman.

  • Hizbullah; urithi wa kudumu wa Sayyid Hassan Nasrallah

    Hizbullah; urithi wa kudumu wa Sayyid Hassan Nasrallah

    Oct 10, 2024 08:41

    Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu cha Makala ya Wiki ambacho kinachunguza shambulizi na mauaji ya kigaidi ya Israel dhidi ya Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah...

  • Jumanne 8 Oktoba, 2024

    Jumanne 8 Oktoba, 2024

    Oct 08, 2024 02:18

    Leo ni Jumanne tarehe 4 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria inayosadifiana na Oktoba 8 mwaka 2024