-
Hizbullah; imara zaidi kuliko wakati wowote
Oct 07, 2024 02:41Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika kipindi hiki maalumu ambacho kitazungumzia jinsi Hizbullah ya Lebanon ilivyokuwa imara na madhubuti hii leo kuliko wakati mwingine wowote.
-
Sayyid Hassan Nasrullah; Shahidi wa Njia ya Quds na Palestina
Oct 03, 2024 11:00Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel jioni ya Ijumaa (tarehe 6 Oktoba 2024) lilifanya mashambulizi ya kikatili ambayo hayajawahi kutokea katika viunga vya kusini mwa Beirut nchini Lebanon.
-
Wananchi wa mataifa ya eneo wafurahia na kupongeza shambulio la kijeshi la Iran dhidi ya Israel + Picha
Oct 02, 2024 08:56Shambulio halali kisheria la makombora lililofanywa na Iran kwa kulenga maeneo ya kijeshi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, na ambalo limetekelezwa kutokana na kuuawa shahidi viongozi wa Muqawama, limeibua wimbi kubwa la furaha na matumaini kwa wananchi wa eneo la Magharibi mwa Asia.
-
IRGC: Tumelenga moyo wa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu kwa makombora ya balestiki + Picha
Oct 02, 2024 03:12Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuwa makumi ya makombora ya balistiki yametumika kulenga moyo wa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina (Israel).
-
Sayyid wa Muqawama, Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah
Oct 01, 2024 11:20Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji. Karibuni kuwa nami katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kuuawa shahidi Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrullah.
-
Wanaharakati watoa mwito wa kukomeshwa mauaji dhidi ya wanawake Kenya
Sep 07, 2024 02:49Makundi ya wanawake nchini Kenya yametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka ili kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia na mauaji dhidi ya wanawake katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Wazayuni wazidi kutwangana, waziri "aonja joto ya jiwe" + Video
Sep 05, 2024 06:04Wapinzani wa serikali ya Benjamin Netanyahu wamemshambulia waziri wa elimu wa utawala wa Kizayuni huku maandamano ya kupinga udikteta wa Netanyahu na serikali yake ya genge lenye misimamo mikali ya Kizayuni yakizidi kuwa makubwa na makali.
-
Ulimwengu wa Spoti, Sep 1
Sep 01, 2024 04:43Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa yaliyoripotiwa viwanjani ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa…..
-
Iran yatoa mkono wa pole kufuatia vifo vya wananchi wa Sudan katika mafuriko + Video
Aug 28, 2024 06:34Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa salamu za rambirambi kwa familia za wahanga wa mafuriko nchini Sudan.
-
Ulimwengu wa Michezo, Agosti 26
Aug 26, 2024 05:03Hujambo mpenzi msikilizaji na hususan shabiki na mfuatiliaji wa habari za spoti. Karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa….