Matukio
  • Ulimwengu wa Michezo, Agosti 26

    Ulimwengu wa Michezo, Agosti 26

    Aug 26, 2024 01:33

    Hujambo mpenzi msikilizaji na hususan shabiki na mfuatiliaji wa habari za spoti. Karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa….

  • Jumapili, 25 Agosti, 2024

    Jumapili, 25 Agosti, 2024

    Aug 24, 2024 23:11

    Leo ni Jumapili 20 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria ambayo inasadifiana na 25 Agosti 2024 Miladia.

  • Ulimwengu wa Spoti, Agosti 19

    Ulimwengu wa Spoti, Agosti 19

    Aug 19, 2024 02:54

    Natumai hujambo mpenzi msikilizaji na hususan shabiki na mfuatiliaji wa habari za spoti. Karibu tuangazie japo kwa mukhtasari baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kote duniani…

  • Ulimwengu wa Michezo, Agosti 12

    Ulimwengu wa Michezo, Agosti 12

    Aug 12, 2024 01:47

    Hujambo msikilizaji mpenzi na karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyoshuhidiwa kote duniani ndani ya siku saba zilizopita…..

  • Ulimwengu wa Michezo, Agosti 5

    Ulimwengu wa Michezo, Agosti 5

    Aug 05, 2024 03:23

    Karibu tuangazie japo kwa ufupi baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyoshuhidiwa kote duniani ndani ya siku saba zilizopita…..

  • Hizbullah yafanya mashambulizi mapya dhidi ya Israel; ving'ora vyalia mtawalia + VIDEO

    Hizbullah yafanya mashambulizi mapya dhidi ya Israel; ving'ora vyalia mtawalia + VIDEO

    Aug 04, 2024 03:54

    Duru za habari za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetangaza kuwa, ving'ora vilisikika mtawalia jana, kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, kutokana na mashambulizi makali yaliyofanywa na Hizbullah ya Lebanon.

  • Kiongozi Muadhamu asalisha Sala ya Maiti ya Ismail Haniyeh na mlinzi wake + VIDEO na PICHA

    Kiongozi Muadhamu asalisha Sala ya Maiti ya Ismail Haniyeh na mlinzi wake + VIDEO na PICHA

    Aug 01, 2024 03:13

    Mapema leo Alkhamisi asubuhi, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesalisha umati mkubwa wa Waislamu waliojitokeza katika Sala ya Maiti ya Mkuu wa Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS Ismail Haniyeh na mlinzi wake. Sala hiyo ya Maiti imesaliwa katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Tehran.

  • Ulimwengu wa Michezo, Jul 29

    Ulimwengu wa Michezo, Jul 29

    Jul 29, 2024 03:49

    Hujambo msikilizaji mpenzi, natumai u mzima wa afya. Kipindi chetu cha leo ni makhsusi kwa ajili ya kuangazia tathmini na dondoo za Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024. Mashindano ya mara hii, yanatumika si tu kama jukwaa la kuitetea Palestina, bali pia ni uwanja wa kulaani na kukosoa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na waitifaki wake Wamagharibi, dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Maelfu waandamana Washington kupinga ziara ya Netanyahu ; wataka kusitishwa mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

    Maelfu waandamana Washington kupinga ziara ya Netanyahu ; wataka kusitishwa mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

    Jul 24, 2024 23:47

    Maelfu ya watu wakiwemo Wayahudi wa Kimarekani jana waliandamana katika mji wa Washington wakati Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Israel alipokuwa akihutubua katika kikao cha pamoja cha Bunge la Kongresi ya Marekani.