-
Pezeshkian: Jithada za kuzuia uhusiano mwema kati ya nchi za Kiislamu hazitafanikiwa
Sep 23, 2025 11:57Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria jitihada za maadui za kuzusha hitilafu na mgawanyiko baina ya nchi za Kiislamu; na kushindwa kuasisiwa uhusiano wenye matunda katika eneo hasa kati ya Iran na Jamhuri ya Azerbaijan.
-
Iran yaanza mwaka mpya wa masomo kwa kuwaenzi wanafunzi 34 waliouawa katika uvamizi wa Israel
Sep 23, 2025 11:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amewaenzi wanafunzi 34 waliouawa shahidi katika mashambulizi ya kichokozi ya Israell dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mwezi Juni mwaka huu sambamba na kuanza mwaka wa masomo hapa nchini wa 1404-1405 kulingana na kalenda ya Iran ya hijria shamsia.
-
Rais Pezeshkian: Baraza Kuu la UN ni fursa adhimu ya kubainisha misimamo yetu
Sep 23, 2025 07:19Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusiana na mipango na malengo ya safari yake ya New York ya kuhudhuria mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa: "tutatangaza misimamo yetu kwa kuzingatia amani na usalama katika Umoja wa Mataifa."
-
Araqchi: Jinai za Israel dhidi ya ubinadamu ni udhalilishaji wa wazi kwa haki na ubinadamu
Sep 23, 2025 03:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina ni chuki ya wazi dhidi ya thamani za uadilifu na ubinadamu duniani na vilevile ni shambulio dhidi ya mafundisho ya Mtume Muhammad SAW ambaye amesema: "Kumuua mtu asiye na hatia ni sawa na kuua binadamu wote."
-
Iran na Russia kusaini mikataba ya kujenga mitambo mipya ya nyuklia
Sep 22, 2025 13:02Mkuu wa Shirika la Nishati ya Nyuklia la Iran, Mohammad Eslami, ametangaza kuwa Iran na Russia zitasaini mikataba ya ujenzi wa mitambo mipya ya nyuklia nchini Iran wakati wa ziara yake rasmi nchini Russia.
-
Rais wa Iran atoa wito kwa China kutekeleza kwa vitendo mpango wa utawala wa kimataifa
Sep 22, 2025 07:29Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa Iran inatarajia China kuchukua hatua madhubuti kutekeleza mpango ilioupendekesza kuhusu utawala wa kimataifa, ili kuimarisha ushirikiano wa pande nyingi na kukabiliana na siasa za upande mmoja.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu awapongeza wanamieleka wa Iran kwa kutwaa ubingwa wa dunia
Sep 22, 2025 07:23Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ameipongeza kwa dhati timu ya mieleka ya mtindo wa Greco-Roman ya Iran kwa kutwaa taji la ubingwa wa dunia katika Mashindano ya Dunia ya Mieleka ya mwaka 2025 yaliyofanyika nchini Kroatia.
-
Iran na Pakistan zaja na mkakati wa pamoja wa ustawi wa kiuchumi
Sep 22, 2025 02:44Kamisheni ya 22 ya Pamoja ya Uchumi (JEC) kati ya Iran na Pakistan, iliyofanya kikao chake hapa mjini Tehran imetilia mkazo suala la kurejeshwa mkakati wa kiuchumi kati ya nchi hizo mbili jirani.
-
IRGC: Iran itatoa majibu madhubuti kwa chokochoko mpya za maadui
Sep 21, 2025 11:06Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limewaonya maadui wa Iran hususan Israel na Marekani kwamba, watakabiliwa na majibu makali na madhubuti ya Jamhuri ya Kiislamu iwapo watafanya makosa yoyote mapya au kufanya kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya nchi hii.
-
Kurudi kwenye meza ya mazungumzo; masharti ya Iran na wajibu wa pande za Magharibi na IAEA
Sep 21, 2025 07:12Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa notisi likisisitiza kuwa ushirikiano na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA utasitishwa hivi karibuni.