-
Jeshi la IRGC lashambulia Kamandi ya Jeshi la Marekani na ngome za Israel katika Ghuba ya Uajemi
Apr 06, 2026 04:50Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya shabaha mbalimbali zenye mfungamano na Marekani na Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi katika sehemu ya wimbi la 97 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4.
-
Qalibaf amwambia Trump: Kutii maagizo ya Netanyahu kutawasha moto kwenye kanda nzima
Apr 06, 2026 02:28Spika wa Bunge la Iran amejibu vitisho vya hivi karibuni vya Donald Trump, rais gaidi wa Marekani katika ujumbe wake kwenye mtandao wa kijamii wa X akisema tabia yake ya kutii na kufuata maagizo ya waziri mkuu katili wa Israel Benjamin Netanyahu kutawasha zaidi moto wa vita katika kanda nzima ya Magharibi mwa Asia.
-
Baghaei: Vita vilivyotwishwa Iran vimelenga utambulisho wa Iran
Apr 06, 2026 02:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Vita vya kulazimishwa vya Wamarekani na Wazayuni dhidi ya Iran vimelenga uwepo na utambulisho wa Kiirani.
-
Aragchi: Tishio la Trump dhidi ya miundombinu ya nishati Iran ni kukiri uhalifu wa kivita
Apr 05, 2026 22:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa vitisho vya Marekani vya kushambulia miundombinu ya nishati ya Iran ni kukiri wazi nia ya kutenda uhalifu wa kivita.
-
Qalibaf: Majenerali wa Marekani hawataki kufa kwa ajili ya Israel
Apr 05, 2026 05:42Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran, amekejeli hatua ya Waziri wa Vita wa Marekani, Pete Hegseth ya kuwatimua makamanda wenye uzoefu katika jeshi la nchi hiyo na kuandika: Hawataki tena kumtii mtangazaji wa televisheni anayehatarisha maisha ya Wamarekani kwa ajili ya njozi za Israel.
-
Iran yaangusha helikopta mbili za Black Hawk na ndege mbili za kijeshi za C‑130 za Marekani
Apr 05, 2026 05:36Msemaji wa Kamandi Kuu ya Khatam al‑Anbiya ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vyombo vya anga vya adui vilivyovamia mkoa wa Isfahan, vikijumuisha helikopta mbili aina ya Black Hawk na ndege mbili za usafirishaji wa kijeshi ya C‑130 zimetunguliwa na kuangamizwa na vikosi vya ulinzi.
-
Spika wa Bunge la Iran aonya kuhusu majibu mapana dhidi ya maslahi ya Marekani katika eneo
Apr 05, 2026 03:05Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Ghalibaf, amesisitiza kuwa “usalama endelevu” ndio kipaumbele kikuu cha Iran, akionya kwamba kuendelea kwa mvutano kutasababisha majibu mapana yatakayolenga maslahi ya Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Namna vita dhidi ya Iran vilivyobadilisha muundo wa soko la nishati duniani?
Apr 05, 2026 01:53Taasisi moja ya Marekani imekiri kwamba vita dhidi ya Iran vimebadilisha pakubwa muundo wa soko la nishati duniani.
-
Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran latoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran
Apr 05, 2026 01:48Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran limetoa wito wa kulaaniwa mashambulizi dhidi ya vituo vyake vya amani vya nyuklia, likisema hilo ndilo tarajio la chini kabisa linalotazamiwa kutoka kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki.
-
Ndege kadhaa za kivita za Marekani zatunguliwa Iran, hadi sasa droni 160 za adui zimedunguliwa
Apr 04, 2026 07:28Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema vitengo vyake vya ulinzi wa anga vimeangamiza ndege kadhaa za kijeshi za Marekani katika “siku nyeusi” kwa majeshi ya nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.