-
Rais wa Iran: Ni lazima tuungane dhidi ya uchokozi wa utawala wa kijinai wa Israel
Jun 16, 2025 11:21Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu wanahitaji umoja na mshikamano wakati huu kuliko wakati mwingine wowote ule, na lazima washikane mikono na kusimama kidete kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Israel unaofanya mauaji ya kimbari.
-
Spika Qalibaf: Utawala wa Kizayuni umechafua tena mikono yake kwa jinai mpya kwa idhini ya Marekani
Jun 16, 2025 12:33Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amebainisha kuwa, utawala haramu wa umechafua mikono yake michafu kwa jinai mpya kwa idhini ya Marekani na kueleza kuwa, "watu wa Iran, wa kila kabila na mirengo tofauti ya kisiasa, wameungana na kuwa kitu kimoja dhidi ya adui katili, na bila shaka walimwengu watashuhudia adhama ya Iran na Wairani."
-
Israel yashambulia hospitali ya watoto Tehran na kuua shahidi kadhaa
Jun 16, 2025 11:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei ameulaani vikali utawala haramu wa Israel kwa kuwaua shahidi watoto katika vita vyake vya kichokozi vinavyoendelea dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yamyonga jasusi wa Mossad; msako dhidi ya maajenti wengine unaendelea
Jun 16, 2025 09:55Iran mapema leo imetekeleza hukumu ya kumnyonga Esmail Fekri, jasusi aliyepatikana na hatia ya kushirikiana na shirika la kijasusi la Israel la Mossad.
-
Uhalifu wa Kivita: Jengo la Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran lalengwa katika hujuma ya Israel
Jun 16, 2025 07:47Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya moja ya majengo yake katika mji mkuu, Tehran.
-
Jeshi la Iran lawaonya walowezi Waisraeli: Ondokeni muokoe maisha yenu
Jun 16, 2025 07:42Majeshi ya Iran yametoa onyo kali kwa walowezi Waisraeli walio katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kimabavu (Israel) na kuwataka waondoke mara moja, huku Iran ikijiandaa kutekeleza mashambulizi makubwa yanayotarajiwa kuenea katika ardhi zote zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Iran yagundua na kusambaratisha karakana ya Mossad ya kuunda droni karibu na Tehran
Jun 16, 2025 07:34Maafisa wa usalama wa Iran wamevamia makazi ya ghorofa tatu nje kidogo ya Tehran, ambapo wamegundia kituo cha siri kinachoendeshwa na shirika la kijasusi la Israel, Mossad, kwa ajili ya kuunganisha droni na vilipuzi.
-
Mazungumzo ya simu kati ya Katibu Mkuu wa OIC na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Jun 16, 2025 07:26Hussein Ibrahim Taha, Katibu Mkuu wa Shirika la Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), katika mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amebainisha wasiwasi mkubwa kuhusu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran.
-
Je, kwa nini Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halikulaani Israel?
Jun 16, 2025 07:21Kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika kwa ombi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel dhidi ya Iran, kwa mara nyingine tena kimefichua siasa za kundumakuwili za kimataifa na mapungufu makubwa yaliyoko katika muundo wa Baraza la Usalama.
-
Wimbi jipya la makombora ya Iran lawawafanya walowezi wa Kizayuni kurudi tena mashimoni
Jun 16, 2025 03:17Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) limefanya wimbi jipya la mashambulio ya makombora yakiwa ni mashambulizi ya nane tangu Ijumaa - dhidi ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni ikiwa ni sehemu ya "Operesheni ya Ahadi ya Kweli III."