-
Kiongozi wa Mapinduzi: Mzozo uliopo kati ya Iran na Marekani ni wa dhati halisi na wa migongano ya maslahi
Nov 03, 2025 13:25Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, mzozo uliopo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani ni wa "dhati halisi" na wala hautokani na kauli mbiu; na chimbuko lake liko kwenye mgongano wa kimsingi wa maslahi; na akaeleza bayana kwamba, suala la ushirikiano na Marekani linaweza kuja kufikiriwa siku za usoni na si sasa hivi wala katika muda wa karibu,
-
Baghaei: Utawala wa Israel ulikiuka usitishaji vita Gaza tangu mwanzo
Nov 03, 2025 10:12Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran ameashiria kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza na kusisitiza kuwa: "Tangu maelewano ya amani yalipoanzishwa na kuanzishwa usitishaji vita huko Gaza, badala ya dhana ya "kusitisha mapigano," tunakabiliwa na ukweli wa "ukiukaji wa usitishaji vita."
-
Iran: Tumejiandaa zaidi hivi sasa hata kuliko kabla ya vita vya siku 12
Nov 03, 2025 06:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu imejiandaa zaidi kwa vita hivi sasa kuliko hata ilivyokuwa kabla ya vita vya siku 12 akisisitiza kwamba Tehran haiziamini ahadi za Israel wala Marekani lakini iko tayari kwa mazungumzo ya kiuadilifu yaatakayolinda haki zake zote za nyuklia.
-
Araqchi akadhibisha madai ya Marekani na Israel kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, asema ni uongo mtupu
Nov 03, 2025 03:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, kwa mara nyingine tena amepinga hatua ya Marekani na Israel ya kuhalalisha mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, akiitaja kuwa ni uongo mkubwa.
-
Rais Pezeshkian: Sekta ya nyuklia ya Iran inalenga ustawi wa umma, si silaha za nyuklia
Nov 02, 2025 11:59Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza kwamba ustawi wa sekta yake ya nyuklia ya amani nchini Iran unalenga kuimarisha ustawi wa taifa, si kupata silaha.
-
Mkuu wa IAEA akiri Iran haifuatilii mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia
Nov 02, 2025 03:16Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Nishati ya Nyuklia (IAEA) amethibitisha tena kuwa, kwa mujibu wa ukaguzi wa moja kwa moja, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia.
-
Iran yapaa kama nguzo ya kimataifa katika sekta ya shaba
Nov 02, 2025 03:16Iran inaendelea kujiboresha kama mchezaji muhimu katika soko la kimataifa la shaba, huku rasilimali zake tajiri na miradi ya maendeleo inayoendelea ikiweka taifa hilo katika nafasi ya juu zaidi ndani ya sekta hiyo.
-
Araqchi: Hatuwezi kusimamisha urutubishaji urani
Nov 01, 2025 11:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, hatuwezi kusimamisha urutubishaji urani na kwamba kile ambacho maadui hawakukipata kupitia vita hakiwezi kupatikana kwa njia ya kisiasa.
-
Iran yatangaza uungaji mkono wake kwa mamlaka ya kujitawala Sudan
Nov 01, 2025 09:40Iran imesisitiza udharura wa kuendelea kuunga mkono uhuru, umoja wa ardhi na mamlaka ya kujitawala nchi ya Sudan huku vurugu kubwa zikiendelea kulitikisa taifa hilo la Afrika.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran alaani kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia Marekani, asema ni tishio la kimataifa
Nov 01, 2025 03:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelitaja tangazo la Marekani la kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia kuwa ni kitendo kisicho cha kuwajibika na tishio kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa.