-
Je, ni malengo gani yanafuatiliwa na Marekani katika kushambulia miundombinu ya Iran?
Jul 19, 2026 13:45Kwa madai ya kushambuliwa meli kadhaa zinazopita kinyume cha sheria kusini mwa Lango-Bahari la Hormuz na kukiukwa Mkataba wa Islamabad, Rais Donald Trump wa Marekani aliamuru kuanzishwa tena mashambulizi ya kichokozi dhidi ya Iran kuanzia Julai 7, ambapo pia mzingiro wa majini dhidi ya Iran ulirejeshwa mnamo Julai 14.
-
Ayatullah Khamenei awapongeza Wairaqi kwa mahudhurio makubwa katika mazishi ya Kiongozi shahidi
Jul 19, 2026 09:29Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amewashukuru watu wa Iraq kwa mapokezi "makubwa" na mahudhurio yao ya kustaajabisha katika mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, akisema tukio hilo linaonyesha uhusiano mkubwa wa kidini na kihistoria kati ya mataifa ya Iran na Iraq.
-
Spika wa Bunge la Iran: Wito wa Kiongozi wa "Umoja wa Kitaifa" ni muhimu kwa ushindi
Jul 19, 2026 12:51Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amesisitiza kuwa kuzingatia maaagizo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuhusu kudumisha umoja wa kitaifa ni muhimu kwa ajili ya ushindi katika mapambano dhidi ya adui.
-
Jeshi la Iran lafanya mashambulizi mapya ya droni katika kambi za Marekani huko Kuwait/IRGC yatungua droni ya MQ-9 huko Ahvaz
Jul 19, 2026 12:47Jeshi la Iran lafanya mashambulizi mapya ya droni katika kambi za Marekani huko Kuwait/IRGC yatungua droni ya MQ-9 huko Ahvaz
-
Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani'
Jul 19, 2026 03:44Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU) umethibitisha tena kwamba sahihi ya rais wa Marekani "haina thamani kabisa na ni batili."
-
Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan
Jul 19, 2026 03:29Jeshi la Marekani limethibitisha kwamba wanajeshi wake wasiopungua wawili wameuawa katika mashambulizi ya Iran yaliyolenga mali na kambi za kijeshi za za Marekani nchini Jordan.
-
Iravani: Kutochukua hatua UN kunahalalisha haki ya Iran ya kujibu mashambulizi
Jul 19, 2026 03:20Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir Saeid Iravani, ameliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Katibu Mkuu wa umoja huo kufuatia uchokozi wa Marekani dhidi ya Iran, kushambuliwa miundombinu na mauaji ya raia wa Iran.
-
Op. Nasr-2: IRGC yaharibu rada ya kijeshi ya Marekani huko Kuwait katika shambulio la kulipiza kisasi
Jul 18, 2026 11:13Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeharibu kituo cha rada cha jeshi la Marekani katika Kituo cha Anga cha Ali Al Salem na kushambulia mkusanyiko wa wanajeshi wa nchi hiyo katika Kambi ya Arifjan huko Kuwait katika wimbi la 18 la Operesheni Nasr 2.
-
Kamanda wa IRGC aapa kuendeleza mashambulizi 'yenye ufanisi' zaidi hadi utulivu utakaporejea nchini Iran
Jul 18, 2026 03:32Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) ameapa kwamba Jamhuri ya Kiislamu itaendeleza mashambulizi yake ya kulipiza kisasi "yenye ufanisi" hadi utulivu utakaporejeshwa kote nchini.
-
Kulipiza kisasi damu ya Imam shahidi kutaendelea hadi kuondoka Marekani katika eneo hili na kuangamia utawala wa Kizayuni
Jul 17, 2026 12:07Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa, kulipiza kisasi damu ya Imam shahidi kutaendelea hadi kuondoka Marekani katika eneo hili na kuangamia utawala wa Kizayuni wa Israel.