-
Kinyume na propaganda za adui, sekta ya ulinzi ya Iran inaendelea kupata mafanikio: Naibu Mkuu wa Jeshi
Jun 29, 2026 12:29Kamanda wa Jeshi la Iran amesema Jamhuri ya Kislamu imepata mafanikio endelevu katika teknolojia ya ulinzi wa ndege zisizo na rubani na anga licha ya madai ya uhasama ya vyombo vya habari.
-
Sardasht; Jeraha Lisilosahaulika Duniani
Jun 29, 2026 07:49Julai 28, 1987, imewekwa alama katika kalenda rasmi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama kumbukumbu ya moja ya jinai za kivita za kutisha dhidi ya ubinadamu. Siku hii, inakumbushia shambulio la kikatili la mabomu ya kemikali katika mji wa Sardasht lililofanywa na utawala wa Baath wa Iraq; jinai ambayo ilitekelezwa kwa uungaji mkono na kimya cha aibu cha madola ya Magharibi.
-
Araghchi: Jukumu la kupanga na kusimamia shughuli Mlango-Bahari wa Hormuz ni la Iran
Jun 29, 2026 03:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa jukumu la kupanga na kusimamia shughuli katika Mlango-Bahari wa Hormuz ni la Iran pekee, akisisitiza kwamba hakuna taasisi wala nchi nyingine yenye mamlaka au wajibu katika suala hilo.
-
Katika ujumbe wa Wiki ya Mahakama, Kiongozi aamuru kufuatiliwa kisheria uhalifu wa kivita wa Marekani na Israel dhidi ya Iran
Jun 28, 2026 13:02Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei ametoa wito kwa Mahakama ya Iran kufuatilia na kurejesha haki za taifa ambazo zimekiukwa kutokana na vita vya uchokozi vya Marekani na Israel tangu mwaka jana.
-
Baqaei: Msaada wa kiufundi na uungaji mkono kwa mvamizi ni sawa na kushiriki katika uvamizi
Jun 28, 2026 09:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, utoaji wa huduma za "kiufundi na msaada" kwa pande zinazoshambulia nchi nyingine ni kushiriki moja kwa moja na waziwazi katika kupigana vita haramu vya hiari na ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa.
-
Gharibabadi: Sardasht, mhanga wa mabomu ya kemikali na undumakuwili wa Magharibi
Jun 28, 2026 09:52Kazem Gharibabadi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisheria na Kimataifa amesisitiza kuwa, Tehran itafuatilia kwa uzito jukumu la wahusika wa uhalifu wa mashambulio ya mabomu ya kemikali yaliyofanywa na utawala wa zamani wa Iraq.
-
Jeshi la Iran lalenga vituo vya jeshi la Marekani kujibu uchokozi
Jun 28, 2026 04:34Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeendesha oparesheni kubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya vituo nane vya kijeshi vya Marekani katika kanda hii, likiitaja hatua hiyo kuwa “jibu madhubuti” dhidi ya uchokozi mpya wa Marekani kwenye ardhi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Meja Jenerali Rezaei: Kama adui ataanzisha vita vingine, atapata maafa na hasara kubwa
Jun 28, 2026 04:29Kamanda wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, "Iwapo adui atafanya kosa na kuanzisha vita vipya, vita hivyo havitakuwa tena kama vita vya tatu vya kulazimishwa, bali vitasababisha hasara na maafa makubwa ya kibinadamu.
-
Araqchi azungumzia makubaliano ya Islamabad na mawaziri wenzake wa mambo ya nje
Jun 27, 2026 11:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amefanya mfululizo wa mazungumzo kwa njia ya simu na mawaziri wa kutoka Pakistan, Misri, Falme za Kiarabu (UAE), Uingereza, na Romania, ambapo walijadili makubaliano ya Islamabad pamoja na maendeleo ya karibuni katika ukanda.
-
Iran yakemea hujuma ya Marekani kusini mwa nchi, yaitaja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa MoU ya Islamabad
Jun 27, 2026 11:07Iran imekemea mashambulizi ya hivi karibuni ya anga ya Marekani dhidi ya maeneo kadhaa kando ya pwani za kusini mwa nchi, ikiyataja kuwa “ukiukaji wa wazi” wa hati ya makubaliano ya maelewano (MoU) iliyopatanishwa na Pakistan.