-
Baqaei: Mauaji ya umati ya Minab ni mfano mmoja tu wa jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani
Jun 07, 2026 11:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ameeleza kuwa mauaji ya Minab ni kati ya mamia ya jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani.
-
Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani
Jun 07, 2026 11:12Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani
-
Kwa nini washirika wa Washington sasa wana wasiwasi kuhusu uwepo wa kambi za Marekani katika ardhi zao?
Jun 07, 2026 11:10Kwa mujibu wa jarida la Foreign Affairs la nchini Marekani, vita na Iran vinaweza kutoa changamoto kubwa kwa jeshi la Marekani na hasa kuhusu hatari ya kushambuliwa kambi zake za kijeshi katika siku zijazo.
-
Eslami: Kituo cha nyuklia cha Bushehr; Iran ni kati ya vituo kumi bora duniani
Jun 07, 2026 11:10Kituo cha Nishati ya Nyuklia cha Bushehr nchini Iran ni miongoni mwa vituo 10 vya juu vya nyuklia duniani kwa upande wa usalama na ufanisi. Haya yamebainishwa na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI).
-
Tehran yatoa jibu kali kwa matamshi ya Rais wa Lebanon
Jun 07, 2026 03:22Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu vikali matamshi ya Rais Joseph Aoun wa Lebanon dhidi ya Iran, akiweka wazi kuwa kiongozi huyo anashindwa kutofautisha kati ya marafiki na maadui wa nchi yake.
-
Meja Jenerali Mohsen Rezaei: Trump amesababisha mazungumzo kusimama
Jun 07, 2026 03:20Meja Jenerali Mohsen Rezaei Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amesimamisha mazungumzo kati ya Tehran na Washington, na kuonya kuwa ikiwa vita vingine vitaanza, wigo wake utaenea kutoka Bahari ya Hindi hadi Bahari ya Shamu na Mediterania.
-
Marekani yawanyima visa maafisa wa timu ya soka ya Iran licha ya majukumu yake kama mwenyeji wa FIFA 2026
Jun 06, 2026 11:28Marekani imekataa kutoa visa kwa maafisa kadhaa wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Iran kabla ya Kombe la Dunia la FIFA la 2026 licha ya majukumu yake kama mmoja wa waandaaji wa tukio hilo la kimataifa.
-
IRGC yashambulia kambi za Marekani huko Kuwait, Bahrain baada ya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika ardhi ya Iran
Jun 06, 2026 11:24Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeshambulia kambi mbili za anga za Marekani huko Kuwait na vituo vilivyobaki vya Kikosi cha Tano cha Marekani (US Fifth Fleet) huko Bahrain ili kujibu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani.
-
Manowari za kivita za Marekani zakimbia Bahari ya Oman baada ya onyo la Jeshi la Wanamaji la Iran
Jun 06, 2026 04:42Jeshi la Iran limetangaza kuwa meli kadhaa za kivita za Marekani katika Bahari ya Oman zimelazimika kuondoka katika eneo hilo baada ya vikosi vya Jeshi la Majini la Iran kufyatua risasi za onyo kwa kutumia makombora ya cruise na ndege zisizo na rubani za kisasa.
-
Ripoti: Starlink ilikuwa sehemu muhimu ya vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Jun 06, 2026 04:41Ripoti mpya imefichua nafasi ya mtandao wa satalaiti wa SpaceX wa Starlink katika mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ikisema teknolojia hiyo inayouzwa kama miundombinu ya raia imekuwa sehemu muhimu ya mashambulizi ya mauaji dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.