-
Uhalifu wa Kivita: Jengo la Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran lalengwa katika hujuma ya Israel
Jun 16, 2025 07:47Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya moja ya majengo yake katika mji mkuu, Tehran.
-
Jeshi la Iran lawaonya walowezi Waisraeli: Ondokeni muokoe maisha yenu
Jun 16, 2025 07:42Majeshi ya Iran yametoa onyo kali kwa walowezi Waisraeli walio katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kimabavu (Israel) na kuwataka waondoke mara moja, huku Iran ikijiandaa kutekeleza mashambulizi makubwa yanayotarajiwa kuenea katika ardhi zote zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Iran yagundua na kusambaratisha karakana ya Mossad ya kuunda droni karibu na Tehran
Jun 16, 2025 07:34Maafisa wa usalama wa Iran wamevamia makazi ya ghorofa tatu nje kidogo ya Tehran, ambapo wamegundia kituo cha siri kinachoendeshwa na shirika la kijasusi la Israel, Mossad, kwa ajili ya kuunganisha droni na vilipuzi.
-
Mazungumzo ya simu kati ya Katibu Mkuu wa OIC na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Jun 16, 2025 07:26Hussein Ibrahim Taha, Katibu Mkuu wa Shirika la Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), katika mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amebainisha wasiwasi mkubwa kuhusu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran.
-
Je, kwa nini Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halikulaani Israel?
Jun 16, 2025 07:21Kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika kwa ombi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel dhidi ya Iran, kwa mara nyingine tena kimefichua siasa za kundumakuwili za kimataifa na mapungufu makubwa yaliyoko katika muundo wa Baraza la Usalama.
-
Wimbi jipya la makombora ya Iran lawawafanya walowezi wa Kizayuni kurudi tena mashimoni
Jun 16, 2025 03:17Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) limefanya wimbi jipya la mashambulio ya makombora yakiwa ni mashambulizi ya nane tangu Ijumaa - dhidi ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni ikiwa ni sehemu ya "Operesheni ya Ahadi ya Kweli III."
-
Uchokozi wa Israel: Rais wa Iran aitaka Iraq kulinda mipaka na anga yake
Jun 16, 2025 03:16Rais Masoud Pezeshkian amesema vitendo vya uchokozi vya Israel dhidi ya ardhi ya Iran vikipitia anga ya Iraq ni dhihirisho wazi la utawala huo kutojali sheria za kimataifa.
-
Iran yawakamata magaidi wa Mossad kaskazini magharibi mwa nchi
Jun 16, 2025 03:16Vikosi vya usalama vya Iran vimewakamata magaidi wawili wa shirika la ujasusi la Mossad la utawala haramu wa Israel kaskazini magharibi mwa Iran.
-
Waziri wa Afya wa Iran: Mashambulizi ya Israel yanalenga raia, hasa wanawake na watoto
Jun 16, 2025 03:15Waziri wa Afya wa Iran, Dakta Mohammadreza Zafarghandi, amesema kuwa wengi wa waathirika wa mashambulizi ya Israel nchini Iran katika siku za hivi karibuni ni raia, ikiwemo idadi kubwa ya wanawake na watoto.
-
Yajue makombora ya 'Emad', 'Ghadr', na 'Kheibar Shekan' yanayotumiwa na Iran dhidi ya Israel
Jun 16, 2025 03:13Kulingana na taarifa za vyombo vya habari vya Iran, kitengo cha anga za juu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kilitumia mifumo mbalimbali ya kisasa ya makombora wakati hujuma ya ulipizaji kisasi dhidi ya Israel iliyopewa jina 'Operesheni Ahadi ya Kweli III' Jumamosi.