-
Waziri wa Afya wa Iran alaani shambulio la Marekani dhidi ya uwanja wa michezo wa Lamerd Februari mwaka huu
Aug 05, 2026 12:18Waziri wa Afya wa Iran kwa mara nyingine tena amelaani shambulio lililofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya uwanja wa michezo katika mji wa Lamerd mwanzoni mwa mashambulizi ya nchii hiyo na utawala katili wa Israel mwezi Februari mwaka huu hapa nchini lililosababisha vifo kuwajeruhi raia kadhaa.
-
Gharama Halisi ya Vita vya Marekani dhidi ya Iran: Mara Nne ya Makadirio ya Pentagon
Aug 05, 2026 06:40Gazeti la Uingereza la The Telegraph limefichua kuwa gharama halisi ya vita vya Marekani dhidi ya Iran ni mara nne zaidi ya kiasi kilichotajwa na Pentagon.
-
Mamilioni ya Wairani washiriki Arubaini ya Imam Hussein, watoa wito wa kulipiza kisasi damu ya Kiongozi aliyeuawa shahidi
Aug 04, 2026 14:48Mamilioni ya Wairani wamekusanyika kote nchini kuadhimisha Arubaini ya Imam Hussein bin Ali (AS), ambayo inaashiria siku ya 40 baada ya kuuawa shahidi mjukuu huyo wa Mtume wetu Muhammad (SAW) huko Karbala nchini Iraq mwaka 61 Hijria.
-
Araqchi: Arubaini ya Imam Hussein ni onyesho kubwa la umoja wa kitaifa kati ya Iran na Iraq
Aug 04, 2026 10:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi ameyataja matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein baina ya miji miwili mitakatifu ya Najaf na Karbala nchini Iraq kuwa ni onyesho kubwa la umoja usiovunjika kati ya watu wa Iran na Iraq, akitilia mkazo viunganishi vikubwa vya kidini na kidugu vinavyoendelea kuimarisha uhusiano wa pande mbili.
-
Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Iran iliishinda Marekani katikati ya 'vita vya tatu vya Trump'
Aug 04, 2026 10:30Mohsen Rezaei, Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa Marekani ilishindwa katikati ya "vita vya tatu vya Rais wa Marekani Donald Trump" dhidi ya Iran, huku vikosi vya ulinzi vya Iran vikivuruga mipango ya Marekani, kuilazimisha kuhamisha vituo vyake vya amri na wanajeshi wengi wa nchi hiyo wakiangamizwa na kujeruhiwa; hatua inayozidisha kushindwa kwingine kukubwa katika rekodi ya kufeli ya Marekani.
-
Baghaei: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya maeneo ya raia nchini Iran ni uhalifu wa kivita
Aug 04, 2026 03:09Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, amesema mashambulizi ya Marekani dhidi ya maeneo ya makazi na ya raia katika miji ya Qeshm, Minab, na Lamerd ni uhalifu wa kivita, huku akiahidi kuwa Iran itatumia mifumo yote ya kimataifa inayopatikana kuwafikisha wahalifu mbele ya sheria.
-
Jeshi la Iran laangusha ndege ya kivita ya Marekani ya MQ-9 Reaper katika Lango la Hormuz
Aug 04, 2026 03:08Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza rasmi kuwa kikosi chake cha anga kimeidungua ndege ya kivita isiyo na rubani ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper juu ya Lango la Hormuz, kwa kutumia mfumo wa ulinzi wa anga ulio wa kisasa na wenye uwezo wa hali ya juu.
-
Baqaei: Hakuna mazungumzo na Washington kwa sasa, tunajadiliana na Oman kuhusu njia ya muda Lango-Bahari la Hormuz
Aug 03, 2026 11:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Hatufanyi mazungumzo na Marekani, na mazungumzo yetu na Oman yanahusu njia ya kupita salama meli katika Lango-Bahari la Hormuz."
-
Vibaraka wawili wa Mossad wanyongwa nchini Iran kwa kutoa taarifa za usalama kwa Israel
Aug 03, 2026 09:48Wanaume wawili waliopatikana na hatia ya kufanya ujasusi kwa maslahi ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad, wamenyongwa kwa kosa la kutoa taarifa nyeti kuhusu jeshi na maeneo ya usalama ya Iran katika vita vya hivi karibuni vya Marekani na Israel.
-
Kwa mnasaba wa kuuawa shahidi Haniya, Iran yasisitiza uungaji mkono wake kwa malengo ya Palestina
Aug 03, 2026 03:37Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa pili tangu alipouawa shahidi Ismail Haniya, ambapo mbali na kumuenzi mkuu huyo wa zamani wa ofisi ya kisiasa ya HAMAS imesisitiza kuendelea kuunga mkono malengo matukufu ya Palestina na ulazima wa kuchukuliwa hatua za haraka na jamii ya kimataifa ili kupunguza mateso ya watu wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi, sambamba na kufunguliwa kesi wahusika wa jinai zilizofanywa na utawala wa Kizayuni