-
Iran yalaani jaribio la kichochezi la E3 la kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa
Sep 20, 2025 07:57Iran imelaani vikali jaribio la mataifa matatu ya Ulaya—Uingereza, Ufaransa na Ujerumani—la kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi yake kupitia kile kinachoitwa utaratibu wa “snapback,” na kuitaja hatua hiyo kuwa “kitendo kisicho halali, kisicho na msingi na cha kichochezi”
-
Iran: Baraza la Usalama la UN limeihasiri diplomasia kwa kupinga vikwazo visiondolewe moja kwa moja
Sep 20, 2025 03:41Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema, uamuzi wa Baraza la Usalama la umoja huo wa kutoondoa moja kwa moja vikwazo ilivyowekewa Iran unadhoofisha chombo hicho kikuu cha kimataifa, unavuruga diplomasia na unahatarisha Mkataba wa Kuzuia Uenezaji Silaha za Nyuklia (NPT).
-
Araqchi alitaka Baraza la Usalama la UN kuchagua diplomasia badala ya makabiliano
Sep 20, 2025 02:47Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuingilia kati na kuchagua njia ya diplomasia badala ya makabiliano.
-
Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika
Sep 20, 2025 02:33Mauzo ya Iran barani Afrika yameongezeka maradufu.
-
Haj Ali Akbari: Hatutahadaika na mchezo wa Snapback
Sep 19, 2025 13:20Khatibu wa muda wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuhusiana na kuhuishwa utaratibu wa "Snapback" kwamba: Inapasa kuzingatiwa kuwa baada ya kuvuka vikwazo vinavyolemaza; masuala haya kwa kiasi kikubwa ni ya kisaikolojia na ni hila yenye lengo la kupotosha fikra za waliowengi, na kamwe Iran haiwezi kuhadaika na michezo hii.
-
Baghaei: Wafuasi wa utawala katili wa Israel lazima waache kushiriki mauaji ya kimbari
Sep 19, 2025 04:27Ismail Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia ripoti ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa na kusema kuwa, ripoti ya Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa haikubakisha chembe ya shaka kwamba jinai za Israel huko Ghaza ni mauaji ya kimbari, hivyo waungaji mkono wa utawala huo ghasibu wanapaswa kuacha kushiriki katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina.
-
Saudia yaitaarifu rasmi Iran makubaliano yake ya kijeshi na Pakistan
Sep 19, 2025 02:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amefanya mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran n kumtaarifu rasmi kuhusu makubaliano ya hivi karibuni ya ulinzi ya Saudia na Pakistan.
-
Ushirikiano wa Iran na Saudi Arabia kwenye njia ya kusaidiana na utaratibu mpya wa kikanda
Sep 18, 2025 11:11Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mohammed bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia wamekutana mjini Riyadh na kujadili uhusiano wa pande mbili na matukio ya kieneo.
-
Pezeshkian: Ushirikiano wa "mafanikio" wa Iran na Russia unaashiria mwisho wa zama za uchukuaji hatua za upande mmoja
Sep 18, 2025 11:04Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kigezo "kilichofanikiwa" cha ushirikiano kati ya nchi huru, zikiwemo na Iran na Russia, utathibitisha kwamba zama za uchukuaji hatua za upande mmoja duniani zimemalizika.
-
Araqchi: Nchi za Ulaya zinapasa kuonyesha nia ya dhati na ya kweli katika diplomasia
Sep 18, 2025 07:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi jana amezungumza kwa simu na Mawaziri wenzake wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza na pia na mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa Umoja wa Ulaya kujadili kadhia ya nyuklia na kuondoa vikwazo haramu na kusema: Wakati umefika sasa kwa nchi za Ulaya kudhihirisha nia ya dhati na ya kweli katika diplomasia.