-
Manowari za kivita za Marekani zakimbia Bahari ya Oman baada ya onyo la Jeshi la Wanamaji la Iran
Jun 06, 2026 04:42Jeshi la Iran limetangaza kuwa meli kadhaa za kivita za Marekani katika Bahari ya Oman zimelazimika kuondoka katika eneo hilo baada ya vikosi vya Jeshi la Majini la Iran kufyatua risasi za onyo kwa kutumia makombora ya cruise na ndege zisizo na rubani za kisasa.
-
Ripoti: Starlink ilikuwa sehemu muhimu ya vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Jun 06, 2026 04:41Ripoti mpya imefichua nafasi ya mtandao wa satalaiti wa SpaceX wa Starlink katika mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ikisema teknolojia hiyo inayouzwa kama miundombinu ya raia imekuwa sehemu muhimu ya mashambulizi ya mauaji dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Ujumbe wa UN nchini Libya wakana kuwepo mipango ya kuwapa makazi wahamiaji nchini humo
Jun 06, 2026 04:35Ujumbe wa Msaada wa Umoja wa Mataifa nchini Libya (UNSMIL) umekana kile ulichokiita "madai" yasiyo ya kweli kuhusu kuwepo mpango wa umoja huo za kuwapa makazi wahamiaji ndani ya Libya, ukisisitiza kwamba madai haya "hayana msingi".
-
Iran yaikosoa Israel na Marekani kwa kuua watoto vitani
Jun 05, 2026 11:10Iran imekosoa vikali Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuwaua watoto wasio na hatia katika nchi mbalimbali kupitia uhalifu wa kivita na uvamizi wa kijeshi.
-
Araqchi: Iran haitaki vita, lakini iko tayari kuendelea kujilinda ikilazimu
Jun 05, 2026 03:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema Iran haitaki vita, lakini iko tayari kuendelea kujilinda inapobidi.
-
Tehran yaikosoa jamii ya kimataifa kwa kutochukua hatua za kukabiliana na ukatili dhidi ya watoto
Jun 05, 2026 03:03Shirika kuu la haki za binadamu la Iran limelaani mwenendo wa jamii ya kiimataifa wa kutochukua hatua za kushughulikia uhalifu wa ukatili unaofanywa dhidi ya watoto, likitaka kutiliwa maanani kimataifa watoto wengi wasio na hatia waliouawa na Marekani na utawala wa Israel katika uchokozi wa karibuni dhidi ya Iran.
-
Kituo cha nyuklia cha Bushehr nchini Iran chafikia rekodi ya kilowati-saa bilioni 80 za uzalishaji wa umeme
Jun 05, 2026 03:00Kituo cha Nguvu za Nyuklia cha Bushehr nchini Iran kimezalisha jumla ya kilowati-saa bilioni 80 za umeme, hatua inayochukuliwa kuwa mafanikio muhimu katika mpango wa nishati ya nyuklia kwa matumizi ya kiraia nchini.
-
Matembezi ya kilomita 10 katika Siku Kuu ya Ghadir jijini Tehran
Jun 04, 2026 15:33Leo joto kali la mwezi Juni katika barabara za Tehran halikuweza kupunguza hamasa na shauku ya wananchi waliojitokeza kushiriki katika “Ugeni wa Ghadir wa Kilomita 10”.
-
Ayatullah Khamenei: Adui aliyefedheheshwa anahamia kwenye vita mseto baada ya kushindwa kijeshi
Jun 04, 2026 12:52Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema mahasimu wa Iran wamegeukia mbinu za "vita vya mseto" baada ya kushindwa vibaya mbele ya vikosi vya ulinzi vya nchi hii na kusisitiza kuhusu umoja na umakini wa kitaifa ili kusambaratisha njama za maadui
-
Wairani wamuenzi Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu Imam Khomeini katika kumbukumbu ya miaka 37 tangu kuaga dunia
Jun 04, 2026 12:49Wananchi wa Iran wa matabaka mbalimbali wameshiriki katika marasimu mbalimbali ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa 37 tangu kufariki dunia Imam Ruhullah Musavi Khomeini (M.A) Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.